Chaji nimeambiwa siku nne aisee..
mkuu nisaidie kitabu cha marehemu dk mengi cha softcopy .....nitashukuru sana.kama unataka kitabu chochote duniani kasoro tanzania niambie sasa hvi kabla sijaenda offline cha kununua or whatever nambie nkitafute ntakusaidia
ofa ni ya masaa matatu toka sasa
Mkulima wa mahindi
Chaji nimeambiwa siku nne aisee..
I think it depends on how often you read on your Kindle, brightness na pia aina ya Kindle.Yawezekana berti yake tayari haiko imara kama inapokuwa ikiwa mpya lakini pia electronic devices ni matumizi kama ilivyo kwa simu ya mkononi.
Yawezekana nilibahatika kununua ambayo bado iko vizuri upande wa betri kwa sababu naitumia kwa wiki nzima na zaidi.
Tembelea wesite yao tafadhali utaona ninachokisema kama inavyoonekana picha hapo
Asante sana madam.I think it depends on how often you read on your Kindle, brightness na pia aina ya Kindle.
Bila shaka kuna Kindle paperwhite na Kindle Amazon. Kwahiyo ni kuangalia unasoma masaa mangapi kwa siku. Kuna mtu anasoma lisaa limoja, paperwhite..,hapa anamaliza wiki na zaidi.
Ila kama amekuambia inakaa siku nne hiyo ni lugha ya biashara. Pengine kinakaa siku 2.Asante sana madam.
Umenitoa hofu yangu..
Acha nimuagize jamaa japokuwa sina mtu wa kwenda kuikagua ila i hope ubabaishaji sio mkubwa...
Dah kweli mkuu...Ila kama amekuambia inakaa siku nne hiyo ni lugha ya biashara. Pengine kinakaa siku 2.
Labda umuulize ni siku nne ukitumia kusoma masaa mangapi kwa siku. Kama ni chini ya masaa matano, tafuta nyingine.
Kwa kuuza asingepaswa atamke chini ya Wiki.
Vitakuwa vinauzwa labda jaribu kwenye maduka makubwa ya vitabu (library).Dah kweli mkuu...
Akisema siku nne manake ameongeza mda huyu.
Acha niachane nazo tu...
Kwani kwa hapa TZ naweza pata ?
Have you read the book Nownmai?
ntakutumia vyote download app ya lithium kwenye simu yako nakutumia in epub form
Sounds like a fantastic read. Thanks for the recommendation. Looking forward to reading it Nowonmai.Yes I have Paula.
It’s a good study for those who appreciate making big money by using inherent talents without going through the rigors of formal education.
To Charlie( the protagonist), from East End( makazi ya walalahoi London) to owning a shop in West End is just a short distance- as the crow flies.
Charlie, a common soldier rise from a corporal to a brigadier without a change in his common mannerism. After the war he quickly become a highly successful businessman earning a knighthood in a tow.
He marries his childhood sweetheart, a woman whose honour was compromised by Charlie’s former commanding officer( a noble but also a craven and the worst kind of a villain).
Archer is a good yarn spinner and I have read some of his books eg Shall we Tell the President?, Cain and Abel, A Matter of Honour, Honour Among Thieves, and As The Crow Flies.
Kuna epub file inagoma ku-upload hapa.If bookworms naombeni kitabu cha Michelle Obama cha how to become Michelle Obama natanguliza shukrani...[emoji120]
i am better here
Jaman
Unaviuza? Mbona tangazo lako halijajitosheleza Kelvin?𝗧𝗥𝗘𝗡𝗗𝗜𝗡𝗚 𝗕𝗢𝗢𝗞𝗦 𝗔𝗡𝗗 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗘𝗦.
ᴄᴏᴍɪᴄ, sᴛᴏʀɪᴇs, ᴀᴄᴀᴅᴇᴍɪᴄ, ɪɴsᴘɪʀᴀᴛɪᴏɴᴀʟ, ᴄʜɪʟᴅ ᴄᴀʀᴇ, ʟɪғᴇ sᴛʏʟᴇ, sᴄɪ ғɪ, ᴍᴀɢᴀᴢɪɴᴇs, ᴘᴏʟɪᴛɪᴄs, ʙᴜsɪɴᴇss.[emoji3590][emoji427]
🇻 🇮 🇳 🇮 🇪 🇧 🇴 🇴 🇰 🇸
𝗡𝗮𝗺𝗯𝗮 𝗭𝗮 𝗠𝗮𝗹𝗶𝗽𝗼[emoji385]
𝗧𝘁𝗰𝗹. [emoji646][emoji643][emoji639][emoji644][emoji645][emoji646][emoji646][emoji642][emoji645][emoji643]
𝗝𝗜𝗡𝗔: 𝗞𝗘𝗟𝗩𝗜𝗡 𝗠𝗔𝗚𝗪𝗜𝗟𝗔
🆅🅸🅽🅸🅴 [emoji743][emoji745][emoji745]🅺🆂 [emoji427][emoji426][emoji428]
Unamaanisha Becoming by Michelle Obama?If bookworms naombeni kitabu cha Michelle Obama cha how to become Michelle Obama natanguliza shukrani...[emoji120]
i am better here
Unamaanisha Becoming by Michelle Obama?