Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

The Hitchhiker's Guide to the Galaxy: The Trilogy of four kuna mtu aliingia kwangu akakiiba wakati sijaanza hata kukisoma, halafu mbaya zaidi nimeachiwa nikisome na mtu mdogo wangu mwaka 2007 hiyo. Nakumbuka kuna siku mdogo wangu alikuwa anasoma kwa nguvu sura moja inasema something like "Thanks to all the fishes" hata nimesahau.
Hicho kitabu kimeenda dimension nyingine.

Kuna sehemu unaulizwa, vipi kama panya walio katika labotatory wana akili kuzidi watu wanaowafanyia majaribio, na kiukweli hao panya ndio wanawafanyia watu majaribio, lakini wamejifanya kama wao ndio wanafanyiwa majaribio ?
 
Reading is one of my hobbies
I kind of read almost anything i lay my hands on

Nmesoma vingi sana kwa kweli
Ila kwa usingzi nlonao saivi let me just say
*The subtle art of not giving a f***
*An American Marriage
* Becoming by Mrs Obama were among good ones i read this year

nna pending km 10 hivi as of now

*Niwatakie heri ktk usomaji wenu
Becoming by Mrs. Obama was a very inspiring exercise in humility. I read it when it came out.

Mama Obama kawa open mpaka nikawa nasema Mama haya mengine ungebakiza.

Kuna sehemu alihadithia jinsi wazazi wake walivyoweka kipaumbele kwenye kusomesha watoto mpaka wakakosa kuwa na nyumba yao wenyewe kwa miaka mingi

Kutaja kitabu hiki kumenikumbusha mjadala mwingine wa hapa JF unaowanyanyapaa kama kiasi waajiriwa wasiojenga nyumba. Niliwatetea kwa kusema watu tofauti wana malengo tofauti katika maisha.

Wengine labda wanasomesha future leaders.
 
Kwanini? Wakati kila mtu aliona Hawa alivookoa ajali na vifo vya watu huku WANAUME wanashangaa shangaa[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Wapi huko Hawa aliokoa ajali ya vifo ?
 
Write your reply...Kolymsky Heights hadith flan hiv ya kispy pamoja na the animal farm yaan mi kwa kifupi vitabu vyote vya crime thriller with love romance suspension navipenda sana, hapa nasoma kinaitwa the vengeance kinahusu baba drug addict who are on the run from authority baada ya kuua baba na mwanae in a baseball game
Hii The vengeance ameandika nani Wilchuma? nimekitamani innaonekana ni story flani hivi amazing.
 
Jamni pdf wakuuu mnatutamanisha tuuuu,binafsi nimesoma cha how to make friend and influence p, nimepata kitu nime apply nikaanzia kwa watoto imework nina rafiki wengi watoto wadogo mpka wazazi wao wanashangaa,bado kwa watu wakubwa n.k
PDF zimewekwa Godimpare. Anza na zilizowekwa kwanza.
 
Zamani kabla sijaanza shule 1994, nilikuwa napitia kila gazeti na kitabu kaka zangu walicholeta ,kushangaa tu picha. Ma-broo wakaona bora wanifundishe kusoma wenyewe. Kweli, yaani nilianza shule nasoma kama cherehani. baadaye nikagundua napenda mno vitabu vya biashara na vya kiislam. Mpaka sasa, nimesoma zaidi ya vitabu 100.Zaidi. Nikaunda whatsapp group kuelezea kwa kifupi concept ya kila kitabu cha biashara kwa kiswahili bure. Hapa nashindwa upload audio zake. Kuna kitabu kizuri kinaitwa ''Blue Ocean Strategy'' kinaelezea umuhimu wa kujikita kwenye skill moja na ku-imaster kiasi cha kukosa mpinzani . Halafu kila kitabu nikisoma nahusianisha na mazingira ya biashara ya Tanzania , napata kitu kipya :Ngoja niwape hapa summary ya hiki kitabu cha ''Blue Ocean Strategy''
Kumbuka biashara nyingi ( ukiacha chache mno) bila kutangaza kwa social media unakuwa Unafanya kitu sahihi ila kwa wakati ulopita, wakati tunahama toka ujamaa kuja soko huria ( 1985 mpaka 1990) ambapo wafanyabiashara wachache walihudumia wateja wengi mno.
Kufika mwaka 1995, sera za wahisani zilitutaka tupunguze waajiriwa wa serikali, hivyo kuongeza wafanyabiashara
Kufika mwaka 2010 Hadi 2015, idadi ya vyuo vikuu vinavyozalisha wahitimu, ikifika vyuo 50 toka chuo kimoja( udsm) wakati tukipata uhuru
Hapa ukazuka msamiati mpya wa ' ujasiriamali' yaani vijana na watu wazima wanajiajiri kwa kutatua matatizo yanayoizunguka jamii ( fursa) na kujipatia kipato
Kama haitoshi, toka 2016 Hadi 2019 wimbi la waajiriwa kujifunza na kufanyia kazi suala la kipato Cha ziada limekuwa likiongezeka
Hivyo, Kama wafanyabiashara Ni mapapa, na wateja Ni samaki, tunasema , mapapa Wengi wanagombea samaki Wengi lakini kwenye bwawa moja, Kuna hatari ya mapapa kuumizana, kung'atana na kumwagana damu. Madhara ya ya papa kuchangia bwawa ndo Kama vile: mjasiriamali kulazimika kushusha bei licha ya kuwa na bidhaa Bora ili aendane na papa wavamizi
NINI SULUHISHO:
Swali zuri wanalouliza wanafunzi wangu Mara kwa mara
Jibu Ni kuwa: Wewe Kama papa, unatakiwa ujitenge na mapapa wengine, kwa kuweka himaya yako na kujilia samaki wa peke yako, na kila papa atayeingia katika himaya yako utajua jinsi ya kumuangamiza. Najua ujaelewa, nakupa mifano
Tuanze ya kimataifa
Bill gates alivyoanza alikuta IBM wanazalisha computer hardware, akaona himaya yake Ni kujitenga , yeye akazalisha software na kuwauzia IBM
Yahoo walivyoona bill gates anazalisha software,wao wakatoa huduma ya email
Google walivyoona emails imeshikwa na Yahoo, wao wakatoa huduma ya search Engines
Hadi kuja kwa Facebook wakaona hawawezi compete kwenye search engine, wakaja na social media, mwanzo Facebook, wakanunua Instagram na Sasa wamenunua Whatsapp
Ukija kwa Tanzania, watu mwanzo waliona watoto wadodo na wakubwa wote wanachanganywa primary, wao wakalenga watoto wadodo tu (3 to 5 years) Wana shinda nao day care
Hii strategy ya biashara inaitwa BLUE OCEAN STRAGETY ( hili Ni jina la kitabu pia, kitafuteni kwa reference). Nishachambua vingi mno
Asante sana kwa huu uchambuzi. Nina imani wengi wamefunguka macho waliokuwa hawajui kwamba vinavoandikwa kwenye kitabu unaweza kuvitumia katika kuwin maisha.
 
"Learn from your past and be better because of your past" she would say, "but don't cry about your past,life is full of pain, let the pain sharpen you, but don't hold on to it. Don't be bitter"..!![emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]

Thank you twinnie, would you mind sharing the the book? I got inspired by your post.
you're so smart twinnie, and I wrote that quotation purposely for you, (ifu yu no wari aimini)..!!

you'll have it babes, it's one of the funniest and sweetest book I've ever read.!
 
I'm not into books but the only book which caught my attention effortlessly is THE CAPITALIST NIGGER..

Written by an African for the black race

nadhani its a must read book to any black person in the world as it vividly shows our roots and the toxic perception that enslave us enough to remain the laughing stock of the world.
Soma na hiki cha I can, I must,I Will cha Dr MENGI. Kina maisha halisi ya mtanzania na pia njia alizotumia au kupitia hadi kufanikiwa ni aplicable kwenye maisha halisi ya mtanzania unlike walizoandika wazungu.
 
It's a real nice book as it reminds us to live our life fully and purposefully by discovering our calls, respect our instincts, practicing tough love, being honest, striving to be a better person and helping others for better or for worse.!!
Great write-up. Thank you for sharing SweetieLee.
 
Back
Top Bottom