Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

You made a great summary.
Halafu ukisoma reviews za hiki kitabu unaweza kuisi ni love story kumbe siyo.
Itabidi nijitahidi niangalie movie yake.
Daisy was imaginary,

Daisy anawakilisha wadada wa Newyork early 1920, ambao waliamini katika materialism (Wala Bata) kipindi Cha Boom.
 
Daisy was imaginary,

Daisy anawakilisha wadada wa Newyork early 1920, ambao waliamini katika materialism (Wala Bata) kipindi Cha Boom.
Ofcourse, Daisy is just a really materialistic.
Vipi kwenye hiyo movie Gatsby alikuwa anampenda kweli Daisy au ni kwa sababu she was rich?.
 
I can't tell about the book "rich dad poor" dad by Robert kiyosaki, its my first book to read and it extremely changed my life. From the book i realised that you don't have to be a professor to make a difference especially in finacial matters also i found myself aware in how our parents perspective on life can affect our own life buy trying to force ourselves to fit in to our parents ideas and view of the world.

"Go to school get good grades and be employed in well established organization", "without education you will never be rich" are statements from our parents and friends through out our life, but the book tell us not to believe on such ideas and trying to think beyond that.

Generally the book goes this way "education alone cannot make you rich"

Are you interested with reading, inspirations or knowing the ideas that will make you think outside the everyday environment we,re living? If yes follow us in Instagram as Kehabrains to get more.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanaponda hiki kitabu eti mwandishi ameponda elimu za shule,kitu ambacho siyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi wa vitabu vya professional tuna post wapi....?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu Kabanga wengi, au pengine wote katika huu uzi ni proffessionals hata kama wana post zaidi kuhusu vitabu wanavyosoma in their leisure time.
Uzi ni kuhusu bookworms wa JF na vitabu wanavyosoma. Kama kuna vitabu kwenye proffession yako ambavyo ungependa ku share nasi angalau katika level ya general interest naomba nikukaribishe kwa niaba ya wachangiaji wengine.
Binafsi, interests zangu katika mambo tunayoweza kudadisi kwa akili zetu hapa duniani na popote pale hazina kikomo na naamini hii ni kwa wengi ambao wanachangia kwenye huu uzi.
cc Paula Paul, Kiranga, Mwalimu RTC, Malcolm Lumumba na wengine.
 
You made a great summary.
Halafu ukisoma reviews za hiki kitabu unaweza kuisi ni love story kumbe siyo.
Itabidi nijitahidi niangalie movie yake.

Been giving this book a passing glance in my local library for years now though I admit the title has always tempted me.
Thanks to you Paula, my yearning to read it is now very much awake and after I complete my current schedule consisting of The Emperor’s New Mind, A Bend in the River, The Future Shock, and A Spy’s Life, I will definitely start on it.
On another note Paula, do you also read poetry?
 
Mkuu Kabanga wengi, au pengine wote katika huu uzi ni proffessionals hata kama wana post zaidi kuhusu vitabu wanavyosoma in their leisure time.
Uzi ni kuhusu bookworms wa JF na vitabu wanavyosoma. Kama kuna vitabu kwenye proffession yako ambavyo ungependa ku share nasi angalau katika level ya general interest naomba nikukaribishe kwa niaba ya wachangiaji wengine.
Binafsi, interests zangu katika mambo tunayoweza kudadisi kwa akili zetu hapa duniani na popote pale hazina kikomo na naamini hii ni kwa wengi ambao wanachangia kwenye huu uzi.
cc Paula Paul, Kiranga, Mwalimu RTC, Malcolm Lumumba na wengine.
ahsante ndugu, nimekuelewa
 
Mkuu Kabanga wengi, au pengine wote katika huu uzi ni proffessionals hata kama wana post zaidi kuhusu vitabu wanavyosoma in their leisure time.
Uzi ni kuhusu bookworms wa JF na vitabu wanavyosoma. Kama kuna vitabu kwenye proffession yako ambavyo ungependa ku share nasi angalau katika level ya general interest naomba nikukaribishe kwa niaba ya wachangiaji wengine.
Binafsi, interests zangu katika mambo tunayoweza kudadisi kwa akili zetu hapa duniani na popote pale hazina kikomo na naamini hii ni kwa wengi ambao wanachangia kwenye huu uzi.
cc Paula Paul, Kiranga, Mwalimu RTC, Malcolm Lumumba na wengine.
You are absolutely right Nowonmai.
 
Been giving this book a passing glance in my local library for years now though I admit the title has always tempted me.
Thanks to you Paula, my yearning to read it is now very much awake and after I complete my current schedule consisting of The Emperor’s New Mind, A Bend in the River, The Future Shock, and The Life of a Spy, I will definitely start on it.
On another note Paula, do you also read poetry?
A Bend in the River It's a genuinely powerful Novel .

I rarely read poetry. I tend to prefer that is written like prose because I am not an expert. You see, I find difficult to find all the hidden meanings/massages.
 
A Bend in the River It's a genuinely powerful Novel .

I rarely read poetry. I tend to prefer that is written like prose because I am not an expert. You see, I find difficult to find all the hidden meanings/massages.
A Bend In The River, V.S Naipaul.

Jamaa aliandika kitabu kimoja kuna sehemu alikuwa anaelwzea uzuri wa milimani Kashmir India huko, ukimsima unajiona kama kakupeleka huko umefika unapaangalia.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hi,

I used to think that reading was boring until I found books that really sparked my interest. Reading became important to me because it’s fun and it teaches me new things. It keeps my mind active and inshape and it makes a difference for me if I go long periods without reading books, my mind starts to stagnate.

My favorite book of all the time is East of Eden by John Steinbeck. I liked this book and I loved every page of it. To be honest this is a masterpiece. To this day still is one of the best motivational book I’ve ever read. I enjoyed it for the massages it provides. I have been reading the book and just got to these quotes “And now that, you don’t have to be perfect you can be good.” And “ If you want to be straight allow yourself to be crooked” etc. Truthfully this book gave me a little inspiration to pursue my goals.

Another one is The Hitchhiker’s Guide to the Galaxy by Douglas Adams. It’s the funniest book I have ever read. I’ve read the book many times, but still makes me laugh. I will share favorite part that I found myself re-reading, you know, Said Arthur,” It's at times like this when I m trapped in a Vogon...... And about to die of asphyxiation in deep space that I really wish I’d listened to what my mother told me when I was young”

“Why, what did she tell you?”

Arthur “ I don’t know, I didn’t listen”.
It’s so insanely funny and It reminds me that you shouldn’t take life so damn seriously.

Do you have any favorite book(s) you real like? Tell us about it, based on how good the book was, and why you think it was the best, what is the favorite part in it?

For those who don’t like reading, y'all should know that reading is the good way to learn new things, to see things in another perspective and to expand your creativity and linguistic skills.

Welcome guys.

G’day.

Siku watanzania tukiamua kuanza kusoma vitabu ili tuelimike na sio kufaulu mitihani, lazima tutaibadilisha kabisa nchi yetu. Hakuna jamii inayopiga hatua, ikiwa ina watu wanaokaa kunywa kahawa na kusimuliana mambo tu, hata yasiyo ya kweli. Ni jamii inayoumwa
 
Siku watanzania tukiamua kuanza kusoma vitabu ili tuelimike na sio kufaulu mitihani, lazima tutaibadilisha kabisa nchi yetu. Hakuna jamii inayopiga hatua, ikiwa ina watu wanaokaa kunywa kahawa na kusimuliana mambo tu, hata yasiyo ya kweli. Ni jamii inayoumwa
Upo sahihi.
 
Kinaitwa "India: A Million Mutinies Now".

Naipaul ni Nobel Laureate (Literature, 2001) na ukisoma vitabu vyake unaona alistahili.
Unapenda kusoma Kiranga.
Yaani mimi hilo jina lilivoanza tuu na India sijui lini ningewaza kukisoma.
Yupo vizuri sana, hivi si ameshafariki?
 
Sawa.
Sasa hivi unasoma kipi nione kama naweza kukuiga nikimaliza George Orwell's 1984?.
Sasa hivi nasoma "Churchill: Walking With Destiny" cha Andrew Robers.

Historia ya maisha ya Sir Winston Churchill aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza.

Fair warning.

Kitabu halisi kina kurasa karibu 1,000, ukiongeza mazaga ya sources na index kimepita pages 1,000
 
Back
Top Bottom