Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

Tangu nafundishwa niko mdogo, niliambiwa haya yafuatayo kuhusu vitabu na usomaji wake.

1. Adabu za kusoma vitabu na kutunza vitabu.
2. Kabla hujasoma kitabu yaani kujua nini kimeandikwa ndani, lazima ujue yafuatayo kuhusu kitabu :

a. Jina la kitabu
b. Muandishi wa kitabu
c. Kuna chapa ngapi mpaka kufikia hicho kitabu ulicho nacho na kimechapishwa na kampuni gani ?
d. Kitabu bora ni kile ambacho kipo katika "Hard Copy" hivi vya "Soft Copy" kwa ajili ya dharura.

Kwahiyo ukiishi katika somo la "Adabu la usomaji wa vitabu" suala la kuhifadhi majina na mambo muhimu ya juu ya vitabu ni rahisi sana, wala sio jambo la ajabu.

Ahsante.

Good, nitajitahidi kufata hizo taratibu.

Ila kwenye hardcopy ni ngumu kupafata.
 
Tangu nafundishwa niko mdogo, niliambiwa haya yafuatayo kuhusu vitabu na usomaji wake.

1. Adabu za kusoma vitabu na kutunza vitabu.
2. Kabla hujasoma kitabu yaani kujua nini kimeandikwa ndani, lazima ujue yafuatayo kuhusu kitabu :

a. Jina la kitabu
b. Muandishi wa kitabu
c. Kuna chapa ngapi mpaka kufikia hicho kitabu ulicho nacho na kimechapishwa na kampuni gani ?
d. Kitabu bora ni kile ambacho kipo katika "Hard Copy" hivi vya "Soft Copy" kwa ajili ya dharura.

Kwahiyo ukiishi katika somo la "Adabu la usomaji wa vitabu" suala la kuhifadhi majina na mambo muhimu ya juu ya vitabu ni rahisi sana, wala sio jambo la ajabu.

Ahsante.
Ila nadhani ni jambo linalohusiana na uwezo wa Ubongo wa MTU kuhifadhi kumbukumbu
Wengine uwezo wa kutunza no mdogo hats kwenye mambo nje ya vitabu ikiwemo majina,maeneo na hata matukio.
 
umenifanya nicheke
huwa nasoma Vitabu Ila Mara nyingi ukiniuliza author ama Tittle sikumbuki
ninakumbuka tu contents.

Mimi author, main star na naadhi ya contents napatia, ila changamoto ni zile details za ndani ndani. Unakuta napenda kusimulia ila points zinayeyuka. Mpaka nirudie kusoma.
 
Ila nadhani ni jambo linalohusiana na uwezo wa Ubongo wa MTU kuhifadhi kumbukumbu
Wengine uwezo wa kutunza no mdogo hats kwenye mambo nje ya vitabu ikiwemo majina,maeneo na hata matukio.

Sitaki niandike mengi, ila kwenye uwezo mdogo wa kufanya mambo, kuna kisa fulani nachelea kurefusha maneno kingekupa faida kubwa sana katika kuondoa au kuhisi una uwezo mdogo. Almuhimu rudia rudia kukariri jambo mara kwa mara hatimae hukaa.

Tunaambiwa hivi "Hata kamba hukata jiwe". Bila shaka umeielewa bibie.
 
Sitaki niandike mengi, ila kwenye uwezo mdogo wa kufanya mambo, kuna kisa fulani nachelea kurefusha maneno kingekupa faida kubwa sana katika kuondoa au kuhisi una uwezo mdogo. Almuhimu rudia rudia kukariri jambo mara kwa mara hatimae hukaa.

Tunaambiwa hivi "Hata kamba hukata jiwe". Bila shaka umeielewa bibie.
Binafsi sipendi kuweka vitu vingi Kichwani...
 
Huku sasa ndio kuna ladha ya usomaji vitabu.

Nimeshindwa siku hizi kwa sababu inakuwa shida kutembea na hard copy halafu watu wakiazima hakirudi.

Nilikuwa na utaratibu wa kuwa na Library ila kwa novel nimeshindwa, nimeweza kwa academic books.
 
Hi,

I used to think that reading was boring until I found books that really sparked my interest. Reading became important to me because it’s fun and it teaches me new things. It keeps my mind active and inshape and it makes a difference for me if I go long periods without reading books, my mind starts to stagnate.

My favorite book of all the time is East of Eden by John Steinbeck. I liked this book and I loved every page of it. To be honest this is a masterpiece. To this day still is one of the best motivational book I’ve ever read. I enjoyed it for the massages it provides. I have been reading the book and just got to these quotes “And now that, you don’t have to be perfect you can be good.” And “ If you want to be straight allow yourself to be crooked” etc. Truthfully this book gave me a little inspiration to pursue my goals.

Another one is The Hitchhiker’s Guide to the Galaxy by Douglas Adams. It’s the funniest book I have ever read. I’ve read the book many times, but still makes me laugh. I will share favorite part that I found myself re-reading, you know, Said Arthur,” It's at times like this when I m trapped in a Vogon...... And about to die of asphyxiation in deep space that I really wish I’d listened to what my mother told me when I was young”

“Why, what did she tell you?”

Arthur “ I don’t know, I didn’t listen”.
It’s so insanely funny and It reminds me that you shouldn’t take life so damn seriously.

Do you have any favorite book(s) you real like? Tell us about it, based on how good the book was, and why you think it was the best, what is the favorite part in it?

For those who don’t like reading, y'all should know that reading is the good way to learn new things, to see things in another perspective and to expand your creativity and linguistic skills.

Welcome guys.

G’day.
alfu lela lela, the reason behind is a truelies on it
 
1. Feel the fear but do it anyway by Susa jeffrey

2. Atomic habits by james clear

3. The power of now by eckhart tolle

4. Magic of thinking big

5. Change your thinking, change your life by brian tracy

6. The One Thing
 
Back
Top Bottom