Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu wamemfanyia makusudi kwa sababu anajulikana sana sisi ambayo siyo maarufu hatuna shida .Mlinda mlango mkongwe Aldina Hashimu ambaye amechezea AFC Arusha,Mtibwa,Mount Meru Warriors na Nyota ya Arusha akipata kibano baada ya kufumaniwa akila vyombo vya mke wa aliyewahi kuwa beki wa kulia Emmanuel Mwambinje huko Guest Kasoli makao mapya
Aibu hii ya kumla mke wa mchezaji mwenzake na beki wa kulia imemletelezea kula kichapo cha haja na kupata manundu mwilini
wewe unaona mwana chuo siyo msala .
We kula tu ili na wewe siku ukiliwa ujipe matumaini kuwa walau uliafaidiHao nitawala wengi sana
Haya ndugu nakutakia kila la heri kwenye project yako ya kuwala wake za watu ila ukiliwa tafadhali sana usisite kuja kutujulisha.mwanaume hawezi kuliwa bhana mkuu Tata
wewe unaniombea mabaya poa bhana dua za kuku hazimpati mwewe kabisa.
huyu wamemfanyia makusudi kwa sababu anajulikana sana sisi ambayo siyo maarufu hatuna shida .
Jamaa yangu huwa nakufuatilia baadhi ya topic unazochangia, nimegungua unapenda tag sana, maana post picture ya mtu mwingine wewe unaidaka juu kwa juu na ku_tag as umepost wewe.