Bora kuwa na uhusiano na mke wa mtu kuliko mwanafunzi

Bora kuwa na uhusiano na mke wa mtu kuliko mwanafunzi

Mlinda mlango mkongwe Aldina Hashimu ambaye amechezea AFC Arusha,Mtibwa,Mount Meru Warriors na Nyota ya Arusha akipata kibano baada ya kufumaniwa akila vyombo vya mke wa aliyewahi kuwa beki wa kulia Emmanuel Mwambinje huko Guest Kasoli makao mapya
Aibu hii ya kumla mke wa mchezaji mwenzake na beki wa kulia imemletelezea kula kichapo cha haja na kupata manundu mwilini
 

Attachments

  • 1431511184901.jpg
    1431511184901.jpg
    75.2 KB · Views: 265
  • 1431511199641.jpg
    1431511199641.jpg
    44.9 KB · Views: 270
Nimejifunza mambo mengi sana baada ya kunusurika kwenda jela kwa sababu ya kuwa na uhusiano na mwanafunzi ambaye yupo chuo, japokuwa wanafunzi wengi wa chuo wanajitambua lakini siyo wote.

Bora kuwa na uhusiano na mke wa mtu kuliko mwanafunzi.Wapo wataoona ni utani lakini ni ukweli ambao umetokea mwanafunzi ni sumu kali bora mke wa mtu.
Unaruka mkojo unataka kukanyaga mavi
 
Back
Top Bottom