Bora kuwa na uhusiano na mke wa mtu kuliko mwanafunzi

Bora kuwa na uhusiano na mke wa mtu kuliko mwanafunzi

Wasichana wa mtaani hawafai kabisa.

Hakuna binadamu asiye wa mtaani. Ukitafuta msichana mwanachuo/mwanafunzi (akiwa chuo au shuleni) ujue naye ametokea mtaani na baada ya masomo anarudi mtaani. Na hao wake za watu unaowafikiria nao ni watu wa mitaani.
 
Mtoa mada una umri gani, kiwango gani cha elimu na umekulia mazingira gani?
 
Wanafunzi
Ni viumbe hatari sana bora uende kimboka ujue moja
Wanafwata mikumbo
They are cheep
Hawajithamini
They are after money
Yaan wanatumika mbaya kabisa
E
Wengi wao wakitoka vyuon wameathirika tayar
 
Hakuna binadamu asiye wa mtaani. Ukitafuta msichana mwanachuo/mwanafunzi (akiwa chuo au shuleni) ujue naye ametokea mtaani na baada ya masomo anarudi mtaani. Na hao wake za watu unaowafikiria nao ni watu wa mitaani.

kwani wake za watu wanaishi mtaani au
 
mkuu si ungelimwaga hapa tukio zima ili shule ieleweke vizuri!

hapana hilo halitawezekana kwani inaweza kunisababishia matatizo zaidi hujui kuna vyombo vya usalama humu JF.
 
kweli aissss...ni inbox mimi basi!!mi si chombo cha usalama!!!

ntawezaje kukuamini wakati sikujui wewe ndo nakuogopa zaidi kwani inaonekana una nia kujua kila kitu ili uweze kulifutilia .
 
Back
Top Bottom