Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanachuo?mkuu mwanafunzi ni hatari zaidi ya sumu ya mamba hukumu yake sero miaka 30 mke wa mtu mnaweza kumalizana kimya kimya.
Labda nkuambia kitu kimoja kama ntakuwa nakosea utanisahisha ukimatwa na mwanafunzi yeyote au chuo au secondary au primary .umri hata akiwa miaka 25 bado utakuwa na hatia
boara mke wa mtu na yeye anaona aibu kujisanuamiss chagga njoo huku unitetee mtani
Wapi huko labda huko kwenu
ameona akila mke wa mtu na yeye ataliwa tigo angalau mara moja tu , lakini akienda jela ataliwa tigo kila siku mpaka kifungo chake kiishe atakuwa keshakuwa shoga.so kutinduliwa na midume ni bora kuliko jela ya mwanafunzi, haya tumekusoma
ameona akila mke wa mtu na yeye ataliwa tigo angalau mara moja tu , lakini akienda jela ataliwa tigo kila siku mpaka kifungo chake kiishe atakuwa keshakuwa shoga.
Mke wa mtu hatari zaidi ya mwanafunzi ndo unamaanisha hivyo?Hivi Wewe Umeshawai Kuona Mziki Wa Kufumaniwa Au Unasikiaga Tu, Mke Wa Mtu Ni Sum Tena Sum Mbaya, Ukikamatwa Maisha Yako Ni 50@50 Ukiliwa Tigo Umesamehewa Wewe, Mwanafunzi Nini Bwana Sasa Hivi Kila Mwanafunzi Anampenzi Na Wazazi Wake Wanajua, Lakini Hamna Chochote Digtal Imeshika Kasi Ukiwa Na Mtoto Wa Kike Ni Kumkumbusha Asisahau Kond M Ila Sio Mke Mke Achana Nae Mke Anauma, Au Haujaoa Nini Mwanangu?
labda hujaelewa vizuri mada nimesema bora kuwa uhusiano na mke wa mtu kuliko mwanafunzi.hapo unajidanganya na unapotosha umma, kwani hakuna bora. kwa sbb kitu kinachokatazwa hapo ni "KUWA NA MAHUSIANO" BILA KUJALI UNAKUWA NAYO NA NANI
Hujanisaidia kitu mimi najua mwanafunzi ndo sumu kuliko mke wa mtu.Kiukweli mke wamtu nisumu kuliko hata mwanfnz coz mtu kama umekutwa na mumewe unafanya mapenz na mke wake jamaa anaweza kuku ng'ofoa mboo iv iv ila mwanafunz utalipa hela za kutosha na yatakwisa
mke wa mtu kifoMke wa mtu siyo sumu kama mwanafunzi umeongea ukweli