Nimejifunza mambo mengi sana baada ya kunusurika kwenda jela kwa sababu ya kuwa na uhusiano na mwanafunzi ambayo yupo chuo japokuwa wanafunzi wengi wa chuo wanajitambua lakini siyo wote.bora kuwa na uhusiano na mke wa mtu kuliko mwanafunzi .
Wapo wataooa ni utani lakini ni ukweli ambayo umetokea.mwanafunzi ni sumu kali bora mke wa mtu.
twalimmenye na lori,twalimmenye na loli..tukwenda tosa tukulila...
nakumbuka hiyo nyimbo nilikuwa naimba kwa masikitiko sana baada ya rafiki angu kuuliwa kwa kutembea na mke wa mtu...mke wa mtu usijaribu mkuu..bora jela utaenda utarudi..ila ukienda futi sita ardhini hurudi
mkuu mwanafunzi ni hatari zaidi ya sumu ya mamba hukumu yake sero miaka 30 mke wa mtu mnaweza kumalizana kimya kimya.Unaongea nn kamanda!??
hakuna afadhali... mke wa mtu we piga, tena kunawengne hujilengesha... wale ndo unatawanya kabisa..
afu sijui hao wa chuo sijui.. hao ndo wenyewe sasa, damu za moto, cheap hadi unashangaa.. afu wana shobo sana... we Piga Tu (PT) ila kumbuka kinga baharia.
Pole sana kwa kupoteza ndugu yako bora kufa kuliko kukaa sero miaka 30 ukitoka huko unaanza maisha upya jamii itakuonaje bora kufa .twalimmenye na lori,twalimmenye na loli..tukwenda tosa tukulila...
nakumbuka hiyo nyimbo nilikuwa naimba kwa masikitiko sana baada ya rafiki angu kuuliwa kwa kutembea na mke wa mtu...mke wa mtu usijaribu mkuu..bora jela utaenda utarudi..ila ukienda futi sita ardhini hurudi
Nimejifunza mambo mengi sana baada ya kunusurika kwenda jela kwa sababu ya kuwa na uhusiano na mwanafunzi ambayo yupo chuo japokuwa wanafunzi wengi wa chuo wanajitambua lakini siyo wote.bora kuwa na uhusiano na mke wa mtu kuliko mwanafunzi .
Wapo wataooa ni utani lakini ni ukweli ambayo umetokea.mwanafunzi ni sumu kali bora mke wa mtu.
Labda nkuambia kitu kimoja kama ntakuwa nakosea utanisahisha ukimatwa na mwanafunzi yeyote au chuo au secondary au primary .umri hata akiwa miaka 25 bado utakuwa na hatia
Aliponea chupuchupu kuwekwa jela sasa anatafuta sababu ya kuwekwa kinyumba.....
Swali dogo, hivi umeshafahamu huyu/huyo ni mke wa mtu kuna haja gani ya kumsogelea?Bora mwanafunzi ?