Mbeya kuzuri mnoo kukipewa support ya serikaliMwambie Mbeya kuna kila kitu ambacho kinapatikana kwenye majiji makubwa [emoji116]
View attachment 2220537
Mwambie ukweliKitu gani hicho ulitafuta hakipo Mbeya ikiwa Scania tuu Wana branch yao pale?
Bangi za vijana Hizo na double kikAnasahau kwamba Mbeya ni Namba 3 kuchangia Pato la Taifa sasa sijui mwenzetu anaizungumzia Mbeya ya wapi.
Wewe ni mnyaki ennh...🤣🤣🤣Wivu tu huo
Dodoma ikifika sa sita panabaki chako ni chako tuu wengine wote wanakua wamelala.. DODOMA wageni ndio wengiMbeya hii ambayo ikifika saa mbili mji wote kimya, wakati mwingine tuache chuki dodoma ya sasa hakuna asiyeipenda.
DeepPond embu tia neno basi dear
Na baridi la Mbeya utegemee swimming pool kweli hahaVitu vingi sana, kuna mwaka nilitafuta a colored printer nilikosa karibu stationery zote.
For 2yrs straight kuna mtu namjua anatafuta parts za gari lake Land rover Mby hamna hadi kaagiza mikoani japo hazikufit ila Mby hata za kujaribu tu alikosa. Infact Mbeya hakuna gereji hata moja I mean hata moja ya maana zote za kuunga unga tu kuanzia kwa Lena kule Mbalizi hadi Soweto.
Ukiacha swimming pool ya pale JM na Utengule kuna swimming pool nyingine Mby?
Ukitoa ile gym ya kienyeji pale Soweto kuna gym nyingine yenye hadhi Mby?
Viwanja vya michezo je? Bball najua bonanza pale mjini toka 90s hadi pamechoka, kipo kingine? Vya mpira wa miguu je achana na Sokoine ambayo nayo imechoka mbaya. Kuna golf course hata moja Mbeya?
Vp movie theatre?
Supermarket Mby ni kale ka store pale sheli Infinity zamani oilcom [emoji3] supermarket sio jambo la msingi ila Mby kuna hata a decent market kweli ambayo mtu unaweza pata vitu mbalimbali bila bugudha kweli?
Mbeya mjini ni wapi kule Uhindini au Mwanjelwa maana kote kupo kupo tu.
Kuna hata 4-star hotel in Mby?
Mambo mengine yanaweza kuonekana as petty ila ndo huduma zinazofanya jiji kuwa jiji.
Mkuu mambo ni mengi sana nayoweza kuorodhesha, naijua Mby nje ndani. Pamoja na yote naipenda Mbeya nikipata nauli nitakuja [emoji1787]
Ni kweli mkuu serikali ikitupa upendeleo ata kwa 20% Mbeya tutakua mbali sanaaMbeya ipewe uhuru maana hii ni zaidi ya nchi! Imetengwa na serikali kwa zaidi ya miaka 20 lakini bado huwezi kuiweka meza moja na mikoa mingi tu inayopewa mbeleko.
Eh nimefika mkuu nimechata na mbususu.. chako ni chako hakuna ata sehemu ya live bandNdio maana hata mmaza shughuli zake nyingi na maamuzi yake anayatoleaga akiwaDar na sio Dodoma. Ila Mkuu umejaribu kwenda pale chako ni chako au Toroka uje panapopatikana "mdudu" ?
We jamaa muongo sanaa njoo uowe wanyakyusa wa Mbeya ujipatie mbusus mujarabumbeya ni mji wa hovyo sana huwez gundua mwanamke yupi mwanaume yupi wote wanafanana wanawake wamekomaa kama onyango
Sawa mkuu maana DODOMA bila serikali ni sawa na eneo la ipinda kyelaNaunga mkono hoja,..Ila Bora makao makuu yawe chuga tu..au kilimanjaro
Umefika mara ya mwisho lini Mbeya... Njoo new Mbeya pazuri... Ujionee.. uzuri wake kama ulifika mwaka jana kurudi nyuma usicoment hapa
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Na baridi la Mbeya utegemee swimming pool kweli haha
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Vingine ni kweli na vingine umewaonea Mbeya. Baridi si rafiki wa Swimming pools na nightlife. Uingie kwenye swimming pools na lile baridi, au ulitaka yawe heated, kwa umeme huu?
Mbeya hakuna haja ya masupermarket, kuna masoko kila kona. Masafi na yana bidhaa fresh zinazouzwa. Na masoko ni mazuri sana kwa uchumi kuliko supermarket moja ya kampuni kubwa.
Na miji mingi utakuta maofisi na masoko yamerundikana sehemu moja. Mbeya pametengana, na ni jambo zuri. Sehemu za maofisi hazihitaji vurugu.
Kwenye suala la hotel bado sana. Nafikiri sababu hakuna watalii wala wageni wa kimataifa. Gym hakuna uhitaji, vilima vile ni gym tosha.
Hivi ni kwann kila nabii anatokea MbeyaMbeya pamezidi uhovyo. Jiji lina zaidi ya miaka 30 lakini utadhani limetangazwa kuwa jini jana!!!
Jiji ambalo kila mtu ni nabii hadi wamama duh!!!
Sasa si ndio maana inakimbia,uliwahi ona wapi wenyeji wakileta maendeleo?Dodoma ikifika sa sita panabaki chako ni chako tuu wengine wote wanakua wamelala.. DODOMA wageni ndio wengi
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Wewe mbona huna sababu za msingi,ulikuja na ororha ya kijinga ya sijui hakuna hiki na kile nikakujibu kwa mifano kwamba hizo ulizosema hakuna zipo..Mkuu I agree na unayosema ila the point I'm trying to make is Mbeya kuna lack of services.
Kuwa na milima sio excuse ya kukosa gyms. Kuwa na masoko sio excuse ya kukosa supermarket angalau moja. Sio wote wanapendelea masoko na milima.
Vp movie theaters? Viwanja vya michezo? Apartments? Garages za maana na huduma zingine.
The point is ili mji uwe jiji kweli lazima kuwe na huduma tofauti tofauti za viwango kitu ambacho Mby comes short.
Naipenda Mbeya ila huo ndo ukweli. Watu wangu wa Mbeya wana monolithic thinking wote wana mawazo sawa.
JM ni kiherehere tu. Zamani swimming pools zilikuwepo Utengule na Songwe Resort. Kule ni bondeni, kuna joto. Kwenye movie theatre ni tatizo kama mji kutokuwa nayo. Viwanja ni kama miji mingine. Timu ya basketball ya Mbeya huwa inafanya vizuri sana kwenye mashindano ya majiji. Kuna viwanja viwili vitatu. Japo Sokoine ni kichekesho. Uwanja wa majimaji ni mzuri sana ukilinganisha na sokoine, ni kama shamba hivi😀Mbona utengule na JM zipo?
Vp movie theatre?
Viwanja vya michezo je?
Gyms?
Etc etc ...
Wewe unayako bila chenga mtwara na mbeya wapi na wapi??!!Mbeya ni mji wa hovyo sana, hauna hadhi ya kuitwa jiji hata kidogo, bora hata Mtwara
Kumbe unachukia coz unabii ??!! Huna hoja mbeya ipo juu sana kiaz weweMbeya pamezidi uhovyo. Jiji lina zaidi ya miaka 30 lakini utadhani limetangazwa kuwa jini jana!!!
Jiji ambalo kila mtu ni nabii hadi wamama duh!!!