Bora nikae kimya milele kuliko kupigania haki ya Watanzania!

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Sasa unatafuta nini humu wewe!?
 
Hata ikitokea ya kupigania haki, unadhani kwenye kundi la wajinga kama wewe utakuwa peke yako?

Mtakuwa wengi tu, ila mtatulia tu halafu wachache watasababisha na nyinyi mambugila haki zenu zitamvulike
Kapiganie wewe haki
 
Ni Kama watu hawana cha kufanya au kufikiri, mjadala kama huu hauna maana sababu ni utashi wa mtu kuamua alichoamua
 
Msigwa mwenyewe kaona Kila akiwatetea hawabadiliki akajionea Cha kujifia umasikini wa nini wakati akirudi Kwa walamba asali na yeye atalamba asali kwann kupoteza muda na wajinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…