Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Unawaza km mimiKatika ujinga ambao sitokuja kuufanya ni kuchongoa mdomo wangu eti kupigania haki ya watanzania wenzangu.
Yaani mimi nimpiganie haki mwenzangu halafu nife yeye abaki anakula raha.
Pia soma:
SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa
Aisee, nyie wazee msijidanganye vijana tutawapigania wakati nyie mlivyokua vijana mlikuwa mnakula bata.
Kila mtu apambane na hali yake, sitaki kufichwa karakana mimi!
kila la kweriKatika ujinga ambao sitokuja kuufanya ni kuchongoa mdomo wangu eti kupigania haki ya watanzania wenzangu.
Yaani mimi nimpiganie haki mwenzangu halafu nife yeye abaki anakula raha.
Pia soma:
SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa
Aisee, nyie wazee msijidanganye vijana tutawapigania wakati nyie mlivyokua vijana mlikuwa mnakula bata.
Kila mtu apambane na hali yake, sitaki kufichwa karakana mimi!
Hapana hata Nyerere alifanya makosa angeacha tu tuendelee na wazungu. Kwani si tumerudi nyuma zaidi?Umeongea ukweli mkuu, hiyo kazi alishafanya Nyerere na CCM, nchi iko huru
Ila Bangladesh noma🙌🙌Omba Mungu hali ya uchumi iendelee kuonyesha matumaini.
Nigeria mshara ni $ USD 19, hakuna ajira, n.k
Bangladesh tangu 1983 wanapokezana uongozi watu 2, ajira hakuna, ....
Kuna mtu amekuambia umpiganie au ni kiherere chako tuuKatika ujinga ambao sitokuja kuufanya ni kuchongoa mdomo wangu eti kupigania haki ya watanzania wenzangu.
Yaani mimi nimpiganie haki mwenzangu halafu nife yeye abaki anakula raha.
Pia soma:
SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa
Aisee, nyie wazee msijidanganye vijana tutawapigania wakati nyie mlivyokua vijana mlikuwa mnakula bata.
Kila mtu apambane na hali yake, sitaki kufichwa karakana mimi!
ishu ya ajira mkuu hata marekani ipo japo kidogo................. wasomi ni wengi kuliko mahitaji hakuna namna ...........hakuna pa kupelekwa serikali ipo oversuaratedOmba Mungu hali ya uchumi iendelee kuonyesha matumaini.
Nigeria mshara ni $ USD 19, hakuna ajira, n.k
Bangladesh tangu 1983 wanapokezana uongozi watu 2, ajira hakuna, ....
Kwani nimekuita hapa au kiherehere chako tuKuna mtu amekuambia umpiganie au ni kiherere chako tuu
Nani kakuita hapa au shobo tuNani kakuuliza? Nani anataka umpiganie au shobo tu?
Hawapo ukiona mtu anakufa Ili mwingine Aishi vizuri ni mjinga mmoja tu yaani unakufa Ili mwenzio Aishi vizuri halafu iwejeWako watu walio teyari kufa kwa ajili ya wengine katika ulimwengu huu.
Tanzania hawapoKila shughuli ina watu wake mkuu. Ambao hata kama watateswa vipi hawavunjiki moyo, wanachokiangalia ni kutimiza kile walichoitiwa.
Bora niwe kula kulala ila sio kufanya huo ujingaLabda kama ni Kula Kulala Kwa shemeji. Ila kama ni mtu ambae utakuwa na familia, unamiliki vitu huwezi kuandika Uzi WA namna hii maana inaweza kukutokea wewe mwenyewe haki zako zimepokonywa ukatamani jamii ikusaidie.
Kweli aiseeKuna haja gani ya kupambania maiti, maana hazina shukrani.
KiMungu?Annza kwanza kupigania haki yako kabla hujawapigania haki wengine! Na hiyo ndiyo kanuni ya ki Mungu!!!
Yesu alikufa ili amani kati ya Mungu na binadamu iwepo sasa wewe ni nani upate haki na mafanikio burebureKwenye haki lazima wengine waumie ili wengine waishi Kwa Raha.Ni kama tu wewe anavyohangaika ili familia Yako iwe na maisha mazuri
Iyo haki watu wakifa wakina nani waifaidiYesu alikufa ili amani kati ya Mungu na binadamu iwepo sasa wewe ni nani upate haki na mafanikio burebure