Baki hivyo hivyo achana na miwigi WangMie nilidhani ni ushamba kumbe kuna wengine kama mie,juu ya kua mwanamke ila wig hua halinifurahishi,nilikua napenda sana kusuka rasta ila nyewele zangu mara zinafumka,na mara ya mwisho nikaenda kusuka kwa Wamasai
walivyonifanyia vituka niliapa sitosuka tena rashta wala nini ntabakia na hizi hizi zangu..
Hapana mkuu siyo ajarMkuu nilivyoona heading nilishtuka nilifikiri ulipata ajali katika mgegedano [emoji23]. Nilifikiri hivi; ktk kumgegeda style ya mbuzi kagoma ulishika wigi ukahisi nywele za likamvua.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
MmmhSio unafik sakayo mimi sipend wavaa wigi aisee
ok asante, basi watafute hao niliotaja inawezekana ni ndugu zakoAisee mimi ni mtu mwingine zaman nilikuwa naitwa NANYUPU
Kwa sasa BEIRA
Experience yako na aina hii ya wanawake ni kubwa,nafikiri tatizo liko kwako.Umeongea kitu cha maana sana mkuu
Lakin naongeza wananuka had vikwapa
hahahahahahha haya nasubiri muda wa geto ufike, hivi ulisema ni saa ngapi vile utarudi gheto?Nitakujibu gheto momy
Hapa tutamwaga kuku kwenye mtama wengi
jje's nakukumbusha tu kuwa Uchafu hauna Class ni tabia. Whether uko Class ya juu ya kati au ya chini kama tabia yako ni uchafu tu utakuwa mchafu. Nawapo wa class ya chini kabisa ila ni wasafi balaa. Akianza kusugua kisigino hapo unaweza dhani nyama yote ya mguu ataiacha pale kwenye jiwe la kusugulia.yaani hapa nitaona watu wote na class zao, huwezi kunambia uko na class ya juu then uje uchukue wenye kunuka mawigi, that means hao wanuka mawigi ndo class yako
if not wachukue uwabadilisha wewe kwa kuwawezesha ili wawe wanabadilisha hizo wigi
teh teh
watu mnafikiri mnachamba watu kumbe mnajionyeshe mlivyo
Ha ha haaaa kwa kweli.Mchagua km si mtmbj
mkuu usipanic bana gudume nae ana vistory story kama vyako ila sijakufananisha kwa ubayaGudumu ndo nan acha kunifananisha na ujinga ujinga
Huyo mwanaume wa dar mla kiepe unataka kumlinganisha na ngosha
Acha kuzalilisha wanaume wa mikoan