Bora nipigwe mawe lakini sitarudia tena kufanya mapenzi na wanawake wavaa mawigi

Nigope kipi hapo mkuu
Uogope Kipi? Hizo ndo Nguvu zao kama huna uwezo wa kuzihimili watakuuzia 'gazeti' tu mtaani.
Raha na Utamu huja ukizipambanisha: Nguvu za Kiume vs Nguvu za Kike = Jibu unalo.
 
Kwa kweli wavaa mawigi ni wachafu sana aisee. Wanatisha mno.
 
asante kwa kunikumbusha nimefurahi sana
ila kuna tabia na hali ya maisha tukubaliane yote
pili, utakavyomkuta mwenzako kama umemkubali ni rahisi kumbadilisha na akabadilika kama alikuwa mchafu akawa msafi
 
ukiona hivyo umezoea kuchukua machangudoa ndo huwa wanabingirika kama pia ila watulivu wengi staili hawazijui isitoshe hatupendi kuchoshwa
 
Hizo ni nyele tu hajaenda kuoga akarudi ukakuta make up imeondoka kabaki na sura yake y kuzaliwa hapo ndio utajua umuhimu wa CHAPUTA
 
Nilishaingiaga na demu guest, ile kuva wigi nilipiga chafya 11 bila kupumzika mpk alipolifunika mwenyewe.
Lile wigi lilikua linatema, kanakwamba likiwekwa kushoto alaf kulia kukawa na chemba ya choo, utageuzia pua kweny chemba
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2]
 
penda sana wasabato,mi huwa majiendea tu kwa wasabato sitaki shida na mtu wale watu daaaaah acha tu ni kuku wa kienyeji kweli
 
Haaaa et kama kapaka kiwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…