Bora tozo kuliko Kutekana na wasiojulikana

Bora tozo kuliko Kutekana na wasiojulikana

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Wakuu Kwema!!!

Tutozane.
Tukamuane,
Tuzinguane,
Tuchapane,
Tuchanane,
Lakini tusiuane.

Kwa kweli Mimi Taikon naona ni mara elfu Tozo kuliko Kutekana, kuuana, kupotezana Kwa kisingizio cha Uzalendo, sijui maendeleo, sijui vitu gani.

Nchi sasa inaenda Sawa Sawa, mambo yamenyooka. Mapungufu kidogo hayakosekani lakini sio Yale ya kutisha, kutishana na kumalizana.

Hakika ni Bora tuwe kwenye nchi Masikini isiyomwaga Damu za watu wake kuliko kuwa na Nchi yenye maendeleo isiyojali maisha ya watu.

Sisi wote ni ndugu ndani ya taifa hili. Hata Kama upo utofauti wa kichama, Kidini, kikabila n.k lakini tunaunganishwa na udongo WA taifa letu.

Kuchikizana kupo, kukwazana kupo, kutofautiana kupo, hayo yote isiwe sehemu ya kumalizana kupotezana.

Kwa kweli, kamwe siwezi jivunia nchi inayoshindwa kuthamini maisha ya watu wake, na hapa namaanisha Uhai.

Niliwahi sema, fanya ufanyalo usiinajisi nchi Kwa kumwaga damu za watu wako mwenyewe Kwa kisingizio chochote kile. Ni laana, na Kama Mungu aishivyo itakutafuna.

Ni Bora Tozo,
Ni Bora umasikini,
Ni Bora malumbano ya hoja yenye lengo la kujenga,
Kuliko chuki zinazopelekea watu kuuana.

Ndugu Watanzania, nasisitiza, usiinajisi Nchi Kwa kumwaga damu isiyo na hatia.

Taikon Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Inamaanisha Tunachukiwa na Serikali
 
Mbona Kuna viongozi wa bavicha walishatekwa na wasiojulikana juzijuzi hapa, au tushasahau? Hata mbowe kabla ya kupelekwa mahakamani alitekwa na wasiojulikana


Ndio maana nikasema ni Bora Tozo kuliko Kutekana
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Boss wao alidhani ataishi milele kwa kuwatoa kafara wenzie kiko wapi saa hizi anakula viroba vya magogo ya kuni
 
Wakuu Kwema!!!

Tutozane.
Tukamuane,
Tuzinguane,
Tuchapane,
Tuchanane,
Lakini tusiuane.

Kwa kweli Mimi Taikon naona ni mara elfu Tozo kuliko Kutekana, kuuana, kupotezana Kwa kisingizio cha Uzalendo, sijui maendeleo, sijui vitu gani.

Nchi sasa inaenda Sawa Sawa, mambo yamenyooka.
Mapungufu kidogo hayakosekani lakini sio Yale ya kutisha, kutishana na kumalizana..

Hakika ni Bora tuwe kwenye nchi Masikini isiyomwaga Damu za watu wake kuliko kuwa na Nchi yenye maendeleo isiyojali maisha ya watu.

Sisi wote ni ndugu ndani ya taifa hili. Hata Kama upo utofauti wa kichama, Kidini, kikabila n.k lakini tunaunganishwa na udongo WA taifa letu.

Kuchikizana kupo, kukwazana kupo, kutofautiana kupo, hayo yote isiwe sehemu ya kumalizana kupotezana.

Kwa kweli, kamwe siwezi jivunia nchi inayoshindwa kuthamini maisha ya watu wake, na hapa namaanisha Uhai.

Niliwahi sema, fanya ufanyalo usiinajisi nchi Kwa kumwaga damu za watu wako mwenyewe Kwa kisingizio chochote kile. Ni laana, na Kama Mungu aishivyo itakutafuna.

Ni Bora Tozo,
Ni Bora umasikini,
Ni Bora malumbano ya hoja yenye lengo la kujenga,
Kuliko chuki zinazopelekea watu kuuana.

Ndugu Watanzania, nasisitiza, usiinajisi Nchi Kwa kumwaga damu isiyo na hatia.

Taikon Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Sikushangai mana ndo kawaida ya ngozi nyeusi..anaridhika kulala mitaroni na huku analipishwaa tozo lukuki zisizo na mbele wala nyuma. Hawez hata kujitetea, yaan ni kama mtoto wa mbwaa..akitishiwa anaweka mkia chini ya paja. Ndiyo type zako hizo unaejiita taikonii cjui..
 
Wakuu Kwema!!!

Tutozane.
Tukamuane,
Tuzinguane,
Tuchapane,
Tuchanane,
Lakini tusiuane.

Kwa kweli Mimi Taikon naona ni mara elfu Tozo kuliko Kutekana, kuuana, kupotezana Kwa kisingizio cha Uzalendo, sijui maendeleo, sijui vitu gani.

Nchi sasa inaenda Sawa Sawa, mambo yamenyooka.
Mapungufu kidogo hayakosekani lakini sio Yale ya kutisha, kutishana na kumalizana..

Hakika ni Bora tuwe kwenye nchi Masikini isiyomwaga Damu za watu wake kuliko kuwa na Nchi yenye maendeleo isiyojali maisha ya watu.

Sisi wote ni ndugu ndani ya taifa hili. Hata Kama upo utofauti wa kichama, Kidini, kikabila n.k lakini tunaunganishwa na udongo WA taifa letu.

Kuchikizana kupo, kukwazana kupo, kutofautiana kupo, hayo yote isiwe sehemu ya kumalizana kupotezana.

Kwa kweli, kamwe siwezi jivunia nchi inayoshindwa kuthamini maisha ya watu wake, na hapa namaanisha Uhai.

Niliwahi sema, fanya ufanyalo usiinajisi nchi Kwa kumwaga damu za watu wako mwenyewe Kwa kisingizio chochote kile. Ni laana, na Kama Mungu aishivyo itakutafuna.

Ni Bora Tozo,
Ni Bora umasikini,
Ni Bora malumbano ya hoja yenye lengo la kujenga,
Kuliko chuki zinazopelekea watu kuuana.

Ndugu Watanzania, nasisitiza, usiinajisi Nchi Kwa kumwaga damu isiyo na hatia.

Taikon Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kama wanataka na mshahara wakate Tozo sawa tu. Lakini mambo ya kutekana, kuuana, Noah Nyeusi na Cocobeach ni ujinga na upumbavu.
 
Back
Top Bottom