Bora tozo kuliko Kutekana na wasiojulikana

Bora tozo kuliko Kutekana na wasiojulikana

Dah hii mada umechemka kweli....yaani unalinganisha matatizo na kuona kuna tatizo bora?
Kesho utakuja kulinganisha ugonjwa..et bora ugonjwa huu kuliko huu...
Kiufupi, ulitakiwa uje na njia ya kutatua matatizo tuliyonayo, hakuna tatizo bora
 
Upo utaratibu wa kimahakama mtu akikosea.

Sio Kwa upumbavu wako kisa unakacheo gani serikalini unateka watu utakavyo kana kwamba wewe ni MUNGU.
Hiyo hufanyika Kwa watu wasiostarabika, wahuni, waovu na hakika watajibiwa vivyo hivyo.

Kila mtu mi wathamani hapa duniani, taratibu zifuatwe.

Kumuua au kumdhuru mtu kisa unachokiita kiherehere hicho hicho ndio kitaiingiza laana kwenye kizazi chako.

Kama unaona Roho ni Priceless nafikiri sina cha kujadili na wewe katika hilo
Makachero wetu mbinu walizobobea nazo ni kutekana. Ukiwambia Mbinu za kuiba teknolojia na uchumi zero
 
Wakuu Kwema!!!

Tutozane.
Tukamuane,
Tuzinguane,
Tuchapane,
Tuchanane,
Lakini tusiuane.

Kwa kweli Mimi Taikon naona ni mara elfu Tozo kuliko Kutekana, kuuana, kupotezana Kwa kisingizio cha Uzalendo, sijui maendeleo, sijui vitu gani.

Nchi sasa inaenda Sawa Sawa, mambo yamenyooka. Mapungufu kidogo hayakosekani lakini sio Yale ya kutisha, kutishana na kumalizana.

Hakika ni Bora tuwe kwenye nchi Masikini isiyomwaga Damu za watu wake kuliko kuwa na Nchi yenye maendeleo isiyojali maisha ya watu.

Sisi wote ni ndugu ndani ya taifa hili. Hata Kama upo utofauti wa kichama, Kidini, kikabila n.k lakini tunaunganishwa na udongo WA taifa letu.

Kuchikizana kupo, kukwazana kupo, kutofautiana kupo, hayo yote isiwe sehemu ya kumalizana kupotezana.

Kwa kweli, kamwe siwezi jivunia nchi inayoshindwa kuthamini maisha ya watu wake, na hapa namaanisha Uhai.

Niliwahi sema, fanya ufanyalo usiinajisi nchi Kwa kumwaga damu za watu wako mwenyewe Kwa kisingizio chochote kile. Ni laana, na Kama Mungu aishivyo itakutafuna.

Ni Bora Tozo,
Ni Bora umasikini,
Ni Bora malumbano ya hoja yenye lengo la kujenga,
Kuliko chuki zinazopelekea watu kuuana.

Ndugu Watanzania, nasisitiza, usiinajisi Nchi Kwa kumwaga damu isiyo na hatia.

Taikon Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kwani alitekwa nani kama sio uongo mimi siamini na hicho unachokisema matendo ya akina hamuza hatukuyaona hata kidogo hatukuona mwanasiasa anaitwa gaidi


Hatukuona kiongozi wa serikali tena mkuu wa wilaya akawa mporaji

Ukitaka kujua uongozi uliokuwepo ulikuwa sawa angalia

Maedeleo na kifo cha magufuli watu walivyo mlilia hiyo indicator alikuwa kiongozi wa watu

Sasa tusubiri vifo vya wengine kama wataliliwa kizuri kikipotea wengi wanaumia


Kifo cha magufuli kinazudi hadi cha nyerere
 
Kwani alitekwa nani kama sio uongo mimi siamini na hicho unachokisema matendo ya akina hamuza hatukuyaona hata kidogo hatukuona mwanasiasa anaitwa gaidi


Hatukuona kiongozi wa serikali tena mkuu wa wilaya akawa mporaji

Ukitaka kujua uongozi uliokuwepo ulikuwa sawa angalia

Maedeleo na kifo cha magufuli watu walivyo mlilia hiyo indicator alikuwa kiongozi wa watu

Sasa tusubiri vifo vya wengine kama wataliliwa kizuri kikipotea wengi wanaumia


Kifo cha magufuli kinazudi hadi cha nyerere


Unataka Kueleza Jambo gani hapa?
 
Kwani alitekwa nani kama sio uongo mimi siamini na hicho unachokisema matendo ya akina hamuza hatukuyaona hata kidogo hatukuona mwanasiasa anaitwa gaidi


Hatukuona kiongozi wa serikali tena mkuu wa wilaya akawa mporaji

Ukitaka kujua uongozi uliokuwepo ulikuwa sawa angalia

Maedeleo na kifo cha magufuli watu walivyo mlilia hiyo indicator alikuwa kiongozi wa watu

Sasa tusubiri vifo vya wengine kama wataliliwa kizuri kikipotea wengi wanaumia


Kifo cha magufuli kinazudi hadi cha nyerere
Sina uhakika kama ni utaahira wa kuzaliwa nao au kujitoa ufahamu, Mwamedi(MO) hakutekwa au alitekwa wakati wa awamu hii ya SASHA? Lissu hakumiminiwa risasi mchana kweupe eneo ambalo kiutaratibu linalindwa 24/7? Ben Saanane baada ya kuuliza uhalali wa ile PhD maarufu alijipoteza mwenyewe?
Lile nduli halitakuja kusafishika hata mfanyeje.
 
Yote ni maumivu tu ndugu, kubinywa korodani na kukalia misumali hakuna ahueni.
 
Wakuu Kwema!!!

Tutozane.
Tukamuane,
Tuzinguane,
Tuchapane,
Tuchanane,
Lakini tusiuane.

Kwa kweli Mimi Taikon naona ni mara elfu Tozo kuliko Kutekana, kuuana, kupotezana Kwa kisingizio cha Uzalendo, sijui maendeleo, sijui vitu gani.

Nchi sasa inaenda Sawa Sawa, mambo yamenyooka. Mapungufu kidogo hayakosekani lakini sio Yale ya kutisha, kutishana na kumalizana.

Hakika ni Bora tuwe kwenye nchi Masikini isiyomwaga Damu za watu wake kuliko kuwa na Nchi yenye maendeleo isiyojali maisha ya watu.

Sisi wote ni ndugu ndani ya taifa hili. Hata Kama upo utofauti wa kichama, Kidini, kikabila n.k lakini tunaunganishwa na udongo WA taifa letu.

Kuchikizana kupo, kukwazana kupo, kutofautiana kupo, hayo yote isiwe sehemu ya kumalizana kupotezana.

Kwa kweli, kamwe siwezi jivunia nchi inayoshindwa kuthamini maisha ya watu wake, na hapa namaanisha Uhai.

Niliwahi sema, fanya ufanyalo usiinajisi nchi Kwa kumwaga damu za watu wako mwenyewe Kwa kisingizio chochote kile. Ni laana, na Kama Mungu aishivyo itakutafuna.

Ni Bora Tozo,
Ni Bora umasikini,
Ni Bora malumbano ya hoja yenye lengo la kujenga,
Kuliko chuki zinazopelekea watu kuuana.

Ndugu Watanzania, nasisitiza, usiinajisi Nchi Kwa kumwaga damu isiyo na hatia.

Taikon Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Hata Mungu usipomtii lazima ufe.hyo ni sheria kabisa.ukifa na dhambi utaenda motoni.hapo Mungu amekuua.
 
Back
Top Bottom