Bora tozo kuliko Kutekana na wasiojulikana

Bora tozo kuliko Kutekana na wasiojulikana

Sikushangai mana ndo kawaida ya ngozi nyeusi..anaridhika kulala mitaroni na huku analipishwaa tozo lukuki zisizo na mbele wala nyuma. Hawez hata kujitetea, yaan ni kama mtoto wa mbwaa..akitishiwa anaweka mkia chini ya paja. Ndiyo type zako hizo unaejiita taikonii cjui..
Nyie ndio wanasesere mnaotajwa na Jinga lenu polepole.
 
Wakuu Kwema!!!

Tutozane.
Tukamuane,
Tuzinguane,
Tuchapane,
Tuchanane,
Lakini tusiuane.

Kwa kweli Mimi Taikon naona ni mara elfu Tozo kuliko Kutekana, kuuana, kupotezana Kwa kisingizio cha Uzalendo, sijui maendeleo, sijui vitu gani.

Nchi sasa inaenda Sawa Sawa, mambo yamenyooka.
Mapungufu kidogo hayakosekani lakini sio Yale ya kutisha, kutishana na kumalizana..

Hakika ni Bora tuwe kwenye nchi Masikini isiyomwaga Damu za watu wake kuliko kuwa na Nchi yenye maendeleo isiyojali maisha ya watu.

Sisi wote ni ndugu ndani ya taifa hili. Hata Kama upo utofauti wa kichama, Kidini, kikabila n.k lakini tunaunganishwa na udongo WA taifa letu.

Kuchikizana kupo, kukwazana kupo, kutofautiana kupo, hayo yote isiwe sehemu ya kumalizana kupotezana.

Kwa kweli, kamwe siwezi jivunia nchi inayoshindwa kuthamini maisha ya watu wake, na hapa namaanisha Uhai.

Niliwahi sema, fanya ufanyalo usiinajisi nchi Kwa kumwaga damu za watu wako mwenyewe Kwa kisingizio chochote kile. Ni laana, na Kama Mungu aishivyo itakutafuna.

Ni Bora Tozo,
Ni Bora umasikini,
Ni Bora malumbano ya hoja yenye lengo la kujenga,
Kuliko chuki zinazopelekea watu kuuana.

Ndugu Watanzania, nasisitiza, usiinajisi Nchi Kwa kumwaga damu isiyo na hatia.

Taikon Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Robert kama Robert [emoji16],achana na hao oooh sijui mama hivi sijui mama vile hivi wangepewa mama zao nchi in a week tu wangeweza kweli[emoji4]
 
Wakuu Kwema!!!

Tutozane.
Tukamuane,
Tuzinguane,
Tuchapane,
Tuchanane,
Lakini tusiuane.

Kwa kweli Mimi Taikon naona ni mara elfu Tozo kuliko Kutekana, kuuana, kupotezana Kwa kisingizio cha Uzalendo, sijui maendeleo, sijui vitu gani.

Nchi sasa inaenda Sawa Sawa, mambo yamenyooka.
Mapungufu kidogo hayakosekani lakini sio Yale ya kutisha, kutishana na kumalizana..

Hakika ni Bora tuwe kwenye nchi Masikini isiyomwaga Damu za watu wake kuliko kuwa na Nchi yenye maendeleo isiyojali maisha ya watu.

Sisi wote ni ndugu ndani ya taifa hili. Hata Kama upo utofauti wa kichama, Kidini, kikabila n.k lakini tunaunganishwa na udongo WA taifa letu.

Kuchikizana kupo, kukwazana kupo, kutofautiana kupo, hayo yote isiwe sehemu ya kumalizana kupotezana.

Kwa kweli, kamwe siwezi jivunia nchi inayoshindwa kuthamini maisha ya watu wake, na hapa namaanisha Uhai.

Niliwahi sema, fanya ufanyalo usiinajisi nchi Kwa kumwaga damu za watu wako mwenyewe Kwa kisingizio chochote kile. Ni laana, na Kama Mungu aishivyo itakutafuna.

Ni Bora Tozo,
Ni Bora umasikini,
Ni Bora malumbano ya hoja yenye lengo la kujenga,
Kuliko chuki zinazopelekea watu kuuana.

Ndugu Watanzania, nasisitiza, usiinajisi Nchi Kwa kumwaga damu isiyo na hatia.

Taikon Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
I subscribe ...
 
Tatizo kubwa la waafrika wengi wakiingia madarakani na kugundua nguvu ya vyombo vya dola, badala ya kuviimarisha na kuvitumia kulinda nchi na wananchi wake, wanazuzuka na kuvitumia kufanyia ugaidi wananchi na kufisidi nchi. Tunaishia kuwa na majeshi weak yasiyoweza kupambana na matishio ya ukweli na tawala za ovyo kabisa zinazoharibu uchumi na kudumaza maendeleo.

Ni muhimu sana kuimarisha hadhi ya ubinadamu (human dignity) sio huu ushenzi wa kutekana, kuvunjana miguu, kuuana kwa kisingizio cha kulinda uzalendo. Hata neno lenyewe "uzalendo" hutumika kinafiki sana kwa lengo la kutukuza viongozi wanaojifanya miungu watu (personality cults).
 
Wakuu Kwema!!!

Tutozane.
Tukamuane,
Tuzinguane,
Tuchapane,
Tuchanane,
Lakini tusiuane.

Kwa kweli Mimi Taikon naona ni mara elfu Tozo kuliko Kutekana, kuuana, kupotezana Kwa kisingizio cha Uzalendo, sijui maendeleo, sijui vitu gani.

Nchi sasa inaenda Sawa Sawa, mambo yamenyooka.
Mapungufu kidogo hayakosekani lakini sio Yale ya kutisha, kutishana na kumalizana..

Hakika ni Bora tuwe kwenye nchi Masikini isiyomwaga Damu za watu wake kuliko kuwa na Nchi yenye maendeleo isiyojali maisha ya watu.

Sisi wote ni ndugu ndani ya taifa hili. Hata Kama upo utofauti wa kichama, Kidini, kikabila n.k lakini tunaunganishwa na udongo WA taifa letu.

Kuchikizana kupo, kukwazana kupo, kutofautiana kupo, hayo yote isiwe sehemu ya kumalizana kupotezana.

Kwa kweli, kamwe siwezi jivunia nchi inayoshindwa kuthamini maisha ya watu wake, na hapa namaanisha Uhai.

Niliwahi sema, fanya ufanyalo usiinajisi nchi Kwa kumwaga damu za watu wako mwenyewe Kwa kisingizio chochote kile. Ni laana, na Kama Mungu aishivyo itakutafuna.

Ni Bora Tozo,
Ni Bora umasikini,
Ni Bora malumbano ya hoja yenye lengo la kujenga,
Kuliko chuki zinazopelekea watu kuuana.

Ndugu Watanzania, nasisitiza, usiinajisi Nchi Kwa kumwaga damu isiyo na hatia.

Taikon Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam

Na quote siyo mimi.
It's better to live one day as a lion than a thousand years as a lamb

ykgc5tf3bhwy.jpg
 
Sikushangai mana ndo kawaida ya ngozi nyeusi..anaridhika kulala mitaroni na huku analipishwaa tozo lukuki zisizo na mbele wala nyuma. Hawez hata kujitetea, yaan ni kama mtoto wa mbwaa..akitishiwa anaweka mkia chini ya paja. Ndiyo type zako hizo unaejiita taikonii cjui..
Kutekwa, kuuawa na tozo bora kipi. What the dude meant is simple and straightforward, naamini kama kuna kutokukubaliana naye ni kumpinga kwa mifano na facts.
 
Tatizo kubwa la waafrika wengi wakiingia madarakani na kugundua nguvu ya vyombo vya dola, badala ya kuviimarisha na kuvitumia kulinda nchi na wananchi wake, wanazuzuka na kuvitumia kufanyia ugaidi wananchi na kufisidi nchi. Tunaishia kuwa na majeshi weak yasiyoweza kupambana na matishio ya ukweli na tawala za ovyo kabisa zinazoharibu uchumi na kudumaza maendeleo.

Ni muhimu sana kuimarisha hadhi ya ubinadamu (human dignity) sio huu ushenzi wa kutekana, kuvunjana miguu, kuuana kwa kisingizio cha kulinda uzalendo. Hata neno lenyewe "uzalendo" hutumika kinafiki sana kwa lengo la kutukuza viongozi wanaojifanya miungu watu (personality cults).

Kweli kabisa Mkuu
 
Wakuu Kwema!!!

Tutozane.
Tukamuane,
Tuzinguane,
Tuchapane,
Tuchanane,
Lakini tusiuane.

Kwa kweli Mimi Taikon naona ni mara elfu Tozo kuliko Kutekana, kuuana, kupotezana Kwa kisingizio cha Uzalendo, sijui maendeleo, sijui vitu gani.

Nchi sasa inaenda Sawa Sawa, mambo yamenyooka.
Mapungufu kidogo hayakosekani lakini sio Yale ya kutisha, kutishana na kumalizana..

Hakika ni Bora tuwe kwenye nchi Masikini isiyomwaga Damu za watu wake kuliko kuwa na Nchi yenye maendeleo isiyojali maisha ya watu.

Sisi wote ni ndugu ndani ya taifa hili. Hata Kama upo utofauti wa kichama, Kidini, kikabila n.k lakini tunaunganishwa na udongo WA taifa letu.

Kuchikizana kupo, kukwazana kupo, kutofautiana kupo, hayo yote isiwe sehemu ya kumalizana kupotezana.

Kwa kweli, kamwe siwezi jivunia nchi inayoshindwa kuthamini maisha ya watu wake, na hapa namaanisha Uhai.

Niliwahi sema, fanya ufanyalo usiinajisi nchi Kwa kumwaga damu za watu wako mwenyewe Kwa kisingizio chochote kile. Ni laana, na Kama Mungu aishivyo itakutafuna.

Ni Bora Tozo,
Ni Bora umasikini,
Ni Bora malumbano ya hoja yenye lengo la kujenga,
Kuliko chuki zinazopelekea watu kuuana.

Ndugu Watanzania, nasisitiza, usiinajisi Nchi Kwa kumwaga damu isiyo na hatia.

Taikon Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kuuliwa kunatokana na kihere here chako kwa mambo yasiokuhusu! Majanga haya yanawapata wote ambao wana shida ya kuwa viherehere kama mbelgiji wenu wa M4C
 
Back
Top Bottom