Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Kuuliwa kunatokana na kihere here chako kwa mambo yasiokuhusu! Majanga haya yanawapata wote ambao wana shida ya kuwa viherehere kama mbelgiji wenu wa M4C
Mpeni mama yangu nchi muone kama kuna ujinga utaendelea! Labda mumuee kama mlivyomfanya mzee kiparaRobert kama Robert [emoji16],achana na hao oooh sijui mama hivi sijui mama vile hivi wangepewa mama zao nchi in a week tu wangeweza kweli[emoji4]
Zakariaa,lwajaba,mo,walimherehere nani hawaKuuliwa kunatokana na kihere here chako kwa mambo yasiokuhusu! Majanga haya yanawapata wote ambao wana shida ya kuwa viherehere kama mbelgiji wenu wa M4C
Kwani Zakaria alikuwa assasinated pia mkuu, hebu tuache utani kwanza did they kill this man? If yes imeniumiza sana yani dah😟Zakariaa,lwajaba,mo,walimherehere nani hawa
Henry kisanduku mlinzi wa bashite kapotelea wapi kimya Sana huyu mwamba
Bora umeona hiloKuuliwa kunatokana na kihere here chako kwa mambo yasiokuhusu! Majanga haya yanawapata wote ambao wana shida ya kuwa viherehere kama mbelgiji wenu wa M4C
Nimefanyaje??? Tatizo nini???KWELI MZUNGU, MWARABU, MCHINA, UJERUMANI WALILALAMIKA KWA MWAFRIRIKA R.I.P UBABE (ROBOT)
Kwani Zakaria alikuwa assasinated pia mkuu, hebu tuache utani kwanza did they kill this man? If yes imeniumiza sana yani dah😟
Kama ulinzi unaonekana na usioenekana umeshindwa kukusaidia yafaa niniMpeni mama yangu nchi muone kama kuna ujinga utaendelea! Labda mumuee kama mlivyomfanya mzee kipara
Kama wanataka na mshahara wakate Tozo sawa tu. Lakini mambo ya kutekana, kuuana, Noah Nyeusi na Cocobeach ni ujinga na upumbavu.
Roho ni kitu priceless ila pia waliodhuriwa wengi walikuwa na shida wachache ndio walionewa hao waliotaka kuporwa fedha kupitia kufanywa mateka!Nafikiri huelewi thamani ya Roho ndio maana unaona mtu auawe tuu kiholela.
Muombe Mungu msamaha vinginevyo katika maisha yako utakuja kuonyeshwa thamani ya Roho ya mtu uelewe Kwa njia ngumu
Roho ni kitu priceless ila pia waliodhuriwa wengi walikuwa na shida wachache ndio walionewa hao waliotaka kuporwa fedha kupitia kufanywa mateka!
Kutekana na kubambikiana kesi Ni unyama uliopitiliza.
We jamaa umeniwahi ku upload huu uzi. Ingekua kule story of changes ningekupa kura yangu.Wakuu Kwema!!!
Tutozane.
Tukamuane,
Tuzinguane,
Tuchapane,
Tuchanane,
Lakini tusiuane.
Kwa kweli Mimi Taikon naona ni mara elfu Tozo kuliko Kutekana, kuuana, kupotezana Kwa kisingizio cha Uzalendo, sijui maendeleo, sijui vitu gani.
Nchi sasa inaenda Sawa Sawa, mambo yamenyooka.
Mapungufu kidogo hayakosekani lakini sio Yale ya kutisha, kutishana na kumalizana..
Hakika ni Bora tuwe kwenye nchi Masikini isiyomwaga Damu za watu wake kuliko kuwa na Nchi yenye maendeleo isiyojali maisha ya watu.
Sisi wote ni ndugu ndani ya taifa hili. Hata Kama upo utofauti wa kichama, Kidini, kikabila n.k lakini tunaunganishwa na udongo WA taifa letu.
Kuchikizana kupo, kukwazana kupo, kutofautiana kupo, hayo yote isiwe sehemu ya kumalizana kupotezana.
Kwa kweli, kamwe siwezi jivunia nchi inayoshindwa kuthamini maisha ya watu wake, na hapa namaanisha Uhai.
Niliwahi sema, fanya ufanyalo usiinajisi nchi Kwa kumwaga damu za watu wako mwenyewe Kwa kisingizio chochote kile. Ni laana, na Kama Mungu aishivyo itakutafuna.
Ni Bora Tozo,
Ni Bora umasikini,
Ni Bora malumbano ya hoja yenye lengo la kujenga,
Kuliko chuki zinazopelekea watu kuuana.
Ndugu Watanzania, nasisitiza, usiinajisi Nchi Kwa kumwaga damu isiyo na hatia.
Taikon Acha nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Iliwachukua mwaka mmoja na miezi sita kuanza kuteka watu na kupoteza.Wakuu Kwema!!!
Tutozane.
Tukamuane,
Tuzinguane,
Tuchapane,
Tuchanane,
Lakini tusiuane.
Kwa kweli Mimi Taikon naona ni mara elfu Tozo kuliko Kutekana, kuuana, kupotezana Kwa kisingizio cha Uzalendo, sijui maendeleo, sijui vitu gani.
Nchi sasa inaenda Sawa Sawa, mambo yamenyooka.
Mapungufu kidogo hayakosekani lakini sio Yale ya kutisha, kutishana na kumalizana..
Hakika ni Bora tuwe kwenye nchi Masikini isiyomwaga Damu za watu wake kuliko kuwa na Nchi yenye maendeleo isiyojali maisha ya watu.
Sisi wote ni ndugu ndani ya taifa hili. Hata Kama upo utofauti wa kichama, Kidini, kikabila n.k lakini tunaunganishwa na udongo WA taifa letu.
Kuchikizana kupo, kukwazana kupo, kutofautiana kupo, hayo yote isiwe sehemu ya kumalizana kupotezana.
Kwa kweli, kamwe siwezi jivunia nchi inayoshindwa kuthamini maisha ya watu wake, na hapa namaanisha Uhai.
Niliwahi sema, fanya ufanyalo usiinajisi nchi Kwa kumwaga damu za watu wako mwenyewe Kwa kisingizio chochote kile. Ni laana, na Kama Mungu aishivyo itakutafuna.
Ni Bora Tozo,
Ni Bora umasikini,
Ni Bora malumbano ya hoja yenye lengo la kujenga,
Kuliko chuki zinazopelekea watu kuuana.
Ndugu Watanzania, nasisitiza, usiinajisi Nchi Kwa kumwaga damu isiyo na hatia.
Taikon Acha nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kutekana na kubambikiana kesi Ni unyama uliopitiliza.
We jamaa umeniwahi ku upload huu uzi. Ingekua kule story of changes ningekupa kura yangu.
Kusema ukweli maisha ya kutekana tekana sio kabisa..
Iliwachukua mwaka mmoja na miezi sita kuanza kuteka watu na kupoteza.
Hawa wanamiezi sita tu tayari tumeshaanza kufunguliana makesi ya ugaidi tuupe nafasi muda utujulishe yajayo.
Walilalamika MWAFIRIKA AKACHUKIA HATA MRUSIA ALIKUWEPONimefanyaje??? Tatizo nini???