Bora Uchaguzi wa Tanzania, Ruto alishamalizwa na forgery zake huko

Bora Uchaguzi wa Tanzania, Ruto alishamalizwa na forgery zake huko

Airfryer

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2021
Posts
430
Reaction score
1,039
Wakuu mambo ni live TV za Kenya, Portal ya IEBC Jamaa wa Venezuela walimbeba Ruto

Potal inafunguliwa Live mahakamani ni total forgery uchaguzi wa kenya

Fomu 34A ambazo zimekuwa uploaded ndani ya IEBC portal wamefoji kila kitu mpaka total wanakosea,

Fomu zinafunguliwa live toka kwenye Portal

Wakili wa Ruto akachanganyikiwa na Kusimama kuomba kuwa anayefungua fomu 34A kwenye portal ni kitu kipya baada ya kuona forgery zilizofanyika
Ushahidi wa Leo umemaliza kesi hii, Ruto kwisha habari yake



Bora Bongo tunaporwa kama tumesimama na tulishajikatia tamaa, Ndugu zetu hawa wanatuona sisi watanzania ni mbumbu na wao werevu sana
 
Wakuu mambo ni live TV za Kenya, Portal ya IEBC Jamaa wa Venezuela walimbeba Ruto

Potal inafunguliwa Live mahakamani ni total forgery uchaguzi wa kenya

Fomu 34A ambazo zimekuwa uploaded ndani ya IEBC portal wamefoji kila kitu mpaka total wanakosea,

Fomu zinafunguliwa live toka kwenye Portal

Wakili wa Ruto akachanganyikiwa na Kusimama kuomba kuwa anayefungua fomu 34A kwenye portal ni kitu kipya baada ya kuona forgery zilizofanyika
Ushahidi wa Leo umemaliza kesi hii, Ruto kwisha habari yake



Bora Bongo tunaporwa kama tumesimama na tulishajikatia tamaa, Ndugu zetu hawa wanatuona sisi watanzania ni mbumbu na wao werevu sana
Ngoja nimuulize Chibukati, sikuamini ndugu yangu , ingawa wewe ni ndugu yangu
 
Wewe hata huelewi kinachoendelea, huyo wakili alichoongea hapo ni famba tu, hakina uhusiano na matokeo ya mwisho

Hizo hesabu za kukosea kujumlisha ni total ya kura kwenye fomu ni kosa dogo sana ambalo haliathiri matoeo ya kura za ruto wala odinga

Chaguzi zote duniani hakuna ambao upo perfect 100% kinachoangaliwa ni je makosa yaliyofanywa ni makubwa kiasi cha kuathiri matokeo ya mwisho?

Kinachochukuliwa ni kura alizopata kila mgombea na sio ile total ya mwisho kwenye fomu hata kama imekosewa haiathiri
Subiri J3 mahakama itoe uamuzi ndio utajua ulikuwa hujui chochote
 
Wewe hata huelewi kinachoendelea, huyo wakili alichoongea hapo ni famba tu, hakina uhusiano na matokeo ya mwisho

Hizo hesabu za kukosea kujumlisha ni total ya kura kwenye fomu ni kosa dogo sana ambalo haliathiri matoeo ya kura za ruto wala odinga

Chaguzi zote duniani hakuna ambao upo perfect 100% kinachoangaliwa ni je makosa yaliyofanywa ni makubwa kiasi cha kuathiri matokeo ya mwisho?

Kinachochukuliwa ni kura alizopata kila mgombea na sio ile total ya mwisho kwenye fomu hata kama imekosewa haiathiri
Subiri J3 mahakama itoe uamuzi ndio utajua ulikuwa hujui chochote

Alichokisema mtoa mada ni kweli na sote tunaangalia Live.Mahakamani hakuna kosa dogo,kilichokuwa kinaonyeshwa ni kutoa ushahidi kuwa Wavenezuela walikuwa na access na Saver ambapo upande wa Ruto walikuwa wamekataa kuwa hawakuwa na access na wala hawakuwepo kabisa Nchini.
 
Wewe hata huelewi kinachoendelea, huyo wakili alichoongea hapo ni famba tu, hakina uhusiano na matokeo ya mwisho

Hizo hesabu za kukosea kujumlisha ni total ya kura kwenye fomu ni kosa dogo sana ambalo haliathiri matoeo ya kura za ruto wala odinga

Chaguzi zote duniani hakuna ambao upo perfect 100% kinachoangaliwa ni je makosa yaliyofanywa ni makubwa kiasi cha kuathiri matokeo ya mwisho?

Kinachochukuliwa ni kura alizopata kila mgombea na sio ile total ya mwisho kwenye fomu hata kama imekosewa haiathiri
Subiri J3 mahakama itoe uamuzi ndio utajua ulikuwa hujui chochote
Inaonekana Umezoea mambo ya umbea sana mkuu

Mwanaume unakuwa na mipasho

Kweli kuna wanaume wachache sana
 
Alichokisema mtoa mada ni kweli na sote tunaangalia Live.Mahakamani hakuna kosa dogo,kilichokuwa kinaonyeshwa ni kutoa ushahidi kuwa Wavenezuela walikuwa na access na Saver ambapo upande wa Ruto walikuwa wamekataa kuwa hawakuwa na access na wala hawakuwepo kabisa Nchini.
Wabongo mna mavi kichwani... pambaneni tu habari za simba na yanga hizi chambuzi zenu huku zinatuletea kinyaa! Hovyo sana.
 
Wewe hata huelewi kinachoendelea, huyo wakili alichoongea hapo ni famba tu, hakina uhusiano na matokeo ya mwisho

Hizo hesabu za kukosea kujumlisha ni total ya kura kwenye fomu ni kosa dogo sana ambalo haliathiri matoeo ya kura za ruto wala odinga

Chaguzi zote duniani hakuna ambao upo perfect 100% kinachoangaliwa ni je makosa yaliyofanywa ni makubwa kiasi cha kuathiri matokeo ya mwisho?

Kinachochukuliwa ni kura alizopata kila mgombea na sio ile total ya mwisho kwenye fomu hata kama imekosewa haiathiri
Subiri J3 mahakama itoe uamuzi ndio utajua ulikuwa hujui chochote
Ulifuatilia kilichisemwa na mahakama 2017 mpaka kufikia kufuta uchaguzi? Kama Ndio, kura zilizozid 2017 zingeweza kuathiri matokeo ya mwisho? Kwanini mahakama ilifuta matokeo yale?
 
Wewe hata huelewi kinachoendelea, huyo wakili alichoongea hapo ni famba tu, hakina uhusiano na matokeo ya mwisho....
Wewe. ndio hujaelewa chochote

Wakili Mahad wa IEBC alisema hakuna namna mfumo wao unaweza kuingiliwa hivyo fomu zizotolewa na walalamikaji ni za kughushi

Ndipo Wakili Msomi Soweto akamuomyesha mubashara namna mfumo huo ulivyoingiliwa na kuchezewa na Waveneziela

Ukiwa neutral hii kesi ni tamu Sana kuifuatilia
 
Back
Top Bottom