Bora Uchaguzi wa Tanzania, Ruto alishamalizwa na forgery zake huko

Bora Uchaguzi wa Tanzania, Ruto alishamalizwa na forgery zake huko

Wakuu mambo ni live TV za Kenya, Portal ya IEBC Jamaa wa Venezuela walimbeba Ruto

Potal inafunguliwa Live mahakamani ni total forgery uchaguzi wa kenya

Fomu 34A ambazo zimekuwa uploaded ndani ya IEBC portal wamefoji kila kitu mpaka total wanakosea,

Fomu zinafunguliwa live toka kwenye Portal

Wakili wa Ruto akachanganyikiwa na Kusimama kuomba kuwa anayefungua fomu 34A kwenye portal ni kitu kipya baada ya kuona forgery zilizofanyika
Ushahidi wa Leo umemaliza kesi hii, Ruto kwisha habari yake



Bora Bongo tunaporwa kama tumesimama na tulishajikatia tamaa, Ndugu zetu hawa wanatuona sisi watanzania ni mbumbu na wao werevu sana

Wizi wa kura wa Tanzania ni kama wafanyavyo vibaka, huitaji kuwa na akili nyingi. Ni kuwaambia P***si na T**S wabebe masanduku
 
Hawa wanasukumwa na mihemko tu wakati mahakama inaangalia process nzima ya uchaguzi.Pana swali moja limeulizwa na Judge,kulikuwa na haraka gani ya kutangaza matokeo wakati bado Tume ilikuwa na siku moja nzima ya kuweka sawa mambo? Badala wajikite katika kuangalia kwanini Majudge wanaulizs hayo maswali wao wako tu wanang'ang'na na kile wanachopenda kukisikia.Ukitoa mtazamo tofauti wanachukia.

..kinachonishangaza mimi ni kwamba ilikuwaje mgombea anayeungwa mkono na Raisi na Amiri jeshi mkuu ashindwe uchaguzi?

..Kwa kweli sielewi kabisa. Hiki ni kituko kutokea ktk nchi ya Afrika, na haswa jirani na Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
 
Hawa mawakili wala hawajibu yale maswali ya msingi waliyoulizwa na majaji kwenye rejoinder
Ni kama wanaanza kuunga unga ushahidi mwingine na kuwasilisha kesi mpya

Sema wabongo wengi hawaelewi hata kesi inavyoenda wakisikia wakili wa Odinga katoa tuhuma fulani wanalichukulia kama fact..!
Wana introduce new evidence na hawataki rebut, Wameumbuka, Orengo na Murgor wamegeuka vituko mahakamani
 
Kwahiyo kumbe Chebukati alikuwa akiupload vitu vya maajabu mwenye server za tume ya uchaguzi,lakini kwani hiyo program haikuwa na namna ya kuhakiki hizi fomu kabla ya kuziruhusu ziende au labda team Uhuru kafuta data na kuweka hayo maforgery
 
..kinachonishangaza mimi ni kwamba ilikuwaje mgombea anayeungwa mkono na Raisi na Amiri jeshi mkuu ashindwe uchaguzi?

..Kwa kweli sielewi kabisa. Hiki ni kituko kutokea ktk nchi ya Afrika, na haswa jirani na Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Hakuna cha ajabu hapo,kwani kuwa karibu na Tanzania ndiyo kunaifanya Kenya iweze kufanya mambo yake sawa na Tanzania? Japokuwa nimekuelewa sana ulitaka nijibu nini? Mambo ya CCM na upinzani hapa Nchini jinsi wanavyoendesha mambo yao yabaki huko huko Tanzania.
 
Naona kimeumana kwenye log ins time
 
Wakuu mambo ni live TV za Kenya, Portal ya IEBC Jamaa wa Venezuela walimbeba Ruto

Potal inafunguliwa Live mahakamani ni total forgery uchaguzi wa kenya

Fomu 34A ambazo zimekuwa uploaded ndani ya IEBC portal wamefoji kila kitu mpaka total wanakosea,

Fomu zinafunguliwa live toka kwenye Portal

Wakili wa Ruto akachanganyikiwa na Kusimama kuomba kuwa anayefungua fomu 34A kwenye portal ni kitu kipya baada ya kuona forgery zilizofanyika
Ushahidi wa Leo umemaliza kesi hii, Ruto kwisha habari yake



Bora Bongo tunaporwa kama tumesimama na tulishajikatia tamaa, Ndugu zetu hawa wanatuona sisi watanzania ni mbumbu na wao werevu sana
Sio mchezo 😬😳
 
Back
Top Bottom