Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,440
- 8,149
[emoji23][emoji23][emoji23]Anzisha forum yako uweke hayo masharti.Mpuuzi mkubwa sana,unataka kupangia watu nini cha kujadili hapa? Wewe umekuwa Maxence?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Anzisha forum yako uweke hayo masharti.Mpuuzi mkubwa sana,unataka kupangia watu nini cha kujadili hapa? Wewe umekuwa Maxence?
Nilikuita kinyaa hukukubali leo SCOK imethibitisha.Wakuu mambo ni live TV za Kenya, Portal ya IEBC Jamaa wa Venezuela walimbeba Ruto
Potal inafunguliwa Live mahakamani ni total forgery uchaguzi wa kenya
Fomu 34A ambazo zimekuwa uploaded ndani ya IEBC portal wamefoji kila kitu mpaka total wanakosea,
Fomu zinafunguliwa live toka kwenye Portal
Wakili wa Ruto akachanganyikiwa na Kusimama kuomba kuwa anayefungua fomu 34A kwenye portal ni kitu kipya baada ya kuona forgery zilizofanyika
Ushahidi wa Leo umemaliza kesi hii, Ruto kwisha habari yake
Bora Bongo tunaporwa kama tumesimama na tulishajikatia tamaa, Ndugu zetu hawa wanatuona sisi watanzania ni mbumbu na wao werevu sana
Hukumu ya kisiasa Ile,. Wameepusha mengi mzee...najua watu walijiandaa kufanya fujo kama wasingepewa ushindiMzee baba hukumu imekuwaje?
Jomba ulijuaje, tupe miundombinuMark my words, Raila anashindwa
Mzee wa fujo Kenya anajulikana ni Raila..😂😂Hukumu ya kisiasa Ile,. Wameepusha mengi mzee...najua watu walijiandaa kufanya fujo kama wasingepewa ushindi
Ulimsikia Rut alivyoongea Mara ya mwisho hadharani....aliiponda Supreme Court...hqhahahMzee wa fujo Kenya anajulikana ni Raila..😂😂
Habari yako,karibu kwenye sherehe ya kuapishwaWakuu mambo ni live TV za Kenya, Portal ya IEBC Jamaa wa Venezuela walimbeba Ruto
Potal inafunguliwa Live mahakamani ni total forgery uchaguzi wa kenya
Fomu 34A ambazo zimekuwa uploaded ndani ya IEBC portal wamefoji kila kitu mpaka total wanakosea,
Fomu zinafunguliwa live toka kwenye Portal
Wakili wa Ruto akachanganyikiwa na Kusimama kuomba kuwa anayefungua fomu 34A kwenye portal ni kitu kipya baada ya kuona forgery zilizofanyika
Ushahidi wa Leo umemaliza kesi hii, Ruto kwisha habari yake
Bora Bongo tunaporwa kama tumesimama na tulishajikatia tamaa, Ndugu zetu hawa wanatuona sisi watanzania ni mbumbu na wao werevu sana