Bora Uchaguzi wa Tanzania, Ruto alishamalizwa na forgery zake huko

Siasa lakini ukweli umeshajulikana

Chebukati ni mhaini huwezi kugeuza tume kama genge la kuuzia.nyanya
Fomu imepigwa picha pembeni ya 'Tamper proof envelope', Tamper proof envelope zote zina hilo jina la mvenezuela wa Smartmatic. Kwa nini Azimio hawataki ku refer kwenye original 34A ya hiyo wanayosema imechezewa waone kama kuna namba zimechezeshwa?. I hope CJ Martha Koome atatoa uamuzi sahihi
 
Hilo swali waulize IEBC yule mvenezuela kafikaje?
 
Subiria maamuzi ya mahakama acha ushabiki bwasheee..

US katoa alert ya Usalama huko na Kwa maelezo yake kunaweza kuwa na vurugu kwenye maeneo yanayomhunga mkono Odinga hivyo huenda bado upepo ni WA upande wa Ruto.
 
Wakenya na SERIKALI Yao Wana akili kuliko hizi mburula za CCM
 
Kiwambo kimoja kimetumika mara mbili ndani ya masaa mawili Katika umbali wa km 1001 sawa na Dar - Songea
Kiwambo ndiyo nini? Hahahaa tatizo unawasikiliza hao mawakili wa Odinga wanaopika usahihi na kuwaamini moja kwa moja, hasa huyo Soweto, hawa waliofoji hadi fomu za 34A na kuzipleka mahakamani kama ushahidi
 
Hawa mawakili wala hawajibu yale maswali ya msingi waliyoulizwa na majaji kwenye rejoinder
Ni kama wanaanza kuunga unga ushahidi mwingine na kuwasilisha kesi mpya

Sema wabongo wengi hawaelewi hata kesi inavyoenda wakisikia wakili wa Odinga katoa tuhuma fulani wanalichukulia kama fact..!
 
Kiwambo ndiyo nini? Hahahaa tatizo unawasikiliza hao mawakili wa Odinga wanaopika usahihi na kuwaamini moja kwa moja, hasa huyo Soweto, hawa waliofoji hadi fomu za 34A na kuzipleka mahakamani kama ushahidi
Ukiwa na upande lazima uteseke bwashee
 
Hata mkijifariji lakini upuuzi wenu wa 2020 Hakuna atakayewasamehe labda wapuuzi wenzenu.
 
Hata mkijifariji lakini upuuzi wenu wa 2020 Hakuna atakayewasamehe labda wapuuzi wenzenu.
 
Ulifuatilia kilichisemwa na mahakama 2017 mpaka kufikia kufuta uchaguzi? Kama Ndio, kura zilizozid 2017 zingeweza kuathiri matokeo ya mwisho? Kwanini mahakama ilifuta matokeo yale?
Hawa wanasukumwa na mihemko tu wakati mahakama inaangalia process nzima ya uchaguzi.Pana swali moja limeulizwa na Judge,kulikuwa na haraka gani ya kutangaza matokeo wakati bado Tume ilikuwa na siku moja nzima ya kuweka sawa mambo? Badala wajikite katika kuangalia kwanini Majudge wanaulizs hayo maswali wao wako tu wanang'ang'na na kile wanachopenda kukisikia.Ukitoa mtazamo tofauti wanachukia.
 
Kenya ni mwalimu wa demokrasia Afrika Mashariki na kati...👍👍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…