Bora Uchaguzi wa Tanzania, Ruto alishamalizwa na forgery zake huko


Wizi wa kura wa Tanzania ni kama wafanyavyo vibaka, huitaji kuwa na akili nyingi. Ni kuwaambia P***si na T**S wabebe masanduku
 

..kinachonishangaza mimi ni kwamba ilikuwaje mgombea anayeungwa mkono na Raisi na Amiri jeshi mkuu ashindwe uchaguzi?

..Kwa kweli sielewi kabisa. Hiki ni kituko kutokea ktk nchi ya Afrika, na haswa jirani na Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
 
Wana introduce new evidence na hawataki rebut, Wameumbuka, Orengo na Murgor wamegeuka vituko mahakamani
 
Kwahiyo kumbe Chebukati alikuwa akiupload vitu vya maajabu mwenye server za tume ya uchaguzi,lakini kwani hiyo program haikuwa na namna ya kuhakiki hizi fomu kabla ya kuziruhusu ziende au labda team Uhuru kafuta data na kuweka hayo maforgery
 
..kinachonishangaza mimi ni kwamba ilikuwaje mgombea anayeungwa mkono na Raisi na Amiri jeshi mkuu ashindwe uchaguzi?

..Kwa kweli sielewi kabisa. Hiki ni kituko kutokea ktk nchi ya Afrika, na haswa jirani na Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Hakuna cha ajabu hapo,kwani kuwa karibu na Tanzania ndiyo kunaifanya Kenya iweze kufanya mambo yake sawa na Tanzania? Japokuwa nimekuelewa sana ulitaka nijibu nini? Mambo ya CCM na upinzani hapa Nchini jinsi wanavyoendesha mambo yao yabaki huko huko Tanzania.
 
Naona kimeumana kwenye log ins time
 
Sio mchezo 😬😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…