Habari zaidi ambazo zimethibitishwa hadi kufikia jioni hii, wabunge wapatao 38 wamejiuzulu nafasi zao serikalini.
Pia habari ambazo zimeripotiwa na gazeti la The Times la Uingereza ni kwamba waziri mwingine mwandamizi wa mambo ya ndani bibi Priti Patel nae amemushauri bwana Boris Johnson kujiuzulu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.