#COVID19 Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza

#COVID19 Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza

Pole jipe wewe unyeabudu dubwasha la Chato. Sisi tunakula maisha
Unakula vp maisha wakati unateseka chuki inakutafuna na kibaya unayemchukia ameshakufa huna lolote la kufanya kulipiza ili kupunguza machungu, sijui Magufuli kakufanya nini ila nachojua hukuwa na la kumfanya hukuweza japo hata kumtukana akakusikia mpaka anakufa na kafa kakuacha na chuki huna la kufanya zaidi ya kujilazimisha kuamini tu kuwa kafa kwa corona ili upunguze machungu.

Hahaha dah! maisha haya sio kabisa,pole sana ndugu yangu wewe utakufa nayo hiyo chuki halafu unaenda kuungana na Magufuli wote mnatafunwa na funza kudadadeki.😂😂😂😂😂😂
 
Unakula vp maisha wakati unateseka chuki inakutafuna na kibaya unayemchukia ameshakufa huna lolote la kufanya kulipiza ili kupunguza machungu, sijui Magufuli kakufanya nini ila nachojua hukuwa na la kumfanya hukuweza japo hata kumtukana akakusikia mpaka anakufa na kafa kakuacha na chuki huna la kufanya zaidi ya kujilazimisha kuamini tu kuwa kafa kwa corona ili upunguze machungu.

Hahaha dah! maisha haya sio kabisa,pole sana ndugu yangu wewe utakufa nayo hiyo chuki halafu unaenda kuungana na Magufuli wote mnatafunwa na funza kudadadeki.😂😂😂😂😂😂
Chuki ingenitafuna ningepata wapi nguvu ya kuandika leo? Ni furaha tu ndiyo imenijaa.

Kwa taarifa yako Mgufuli alikuwa na UKIMWI toka 1990s, alikuwa Bipolar vile vile plus kale kabetri kifuani (pacemaker) ndipo COVID-19 ikapita naye.
 
WeWe kachanjwe tu kama unataka wacha ngonjera mingi
hiyo sababu wameitangaza wapi in public? au ni wewe umefikiri kwa fikra zako?...
kabla ya kuchanja hiyo 70% unafikiri kwanini hawakuwaacha watu waendelee na maisha na baadala yake wanataka waendelee na maisha baada ya kuchanja 70%?..

unazijua takwimu za vifo na maambukizi huko UK kabla ya kuchanja hiyo 70%?......Kwanini isiwe maambukizi na vifo vimepungua baada ya kuchanja hiyo 70% na iwe hivyo unavyotuaminisha?...

Unazijua takwimu za vifo na maambukizi Tanzania kuanzia august 2020?...tunasimamaje kifua mbele kuambia dunia Covid Tanzania haina madhara?

Tusilete mchezo na hii kitu aisee, tumuombe Mungu, tuielimishe jamii juu ya hili gonjwa, tuache propaganda, tutumie kila mbinu tunayoona inaweza kunusuru maisha ya watu na sio kujidanganya hamna tatizo huku watu wanakatika kimyakimya, tushare mbinu na wenzetu kila zinazofaa ili kunusuru jamii maana huwezi jua wave yeyote ikikukuta inaweza kuleta athari kiasi gani...
 
Chuki ingenitafuna ningepata wapi nguvu ya kuandika leo? Ni furaha tu ndiyo imenijaa.

Kwa taarifa yako Mgufuli alikuwa na UKIMWI toka 1990s, alikuwa Bipolar vile vile plus kale kabetri kifuani (pacemaker) ndipo COVID-19 ikapita naye.
Chuki ndio inayokufanya uandike hapa na ishavuruga ubongo huo ndio maana anaropoka ropoka, cheki vitu unavyoviandika yani kwa kweli unahitaji msaada wa kisaikolojia.

Yani hapo chochote kinachokujia kichwani na utakachoambiwa kibaya kuhusu Magufuli wewe unakubali tu, ushauri wangu kubali tu dish limeyumba na hapo ndio uanze kutafuta msaada ila ukiendelea kujiona upo sawa tatizo linazidi hilo.

Usikubali Magufuli aendelee kukutesa hata baada ya kufa, hiyo chuki inatafuna ubongo huo.
 
Chuki ndio inayokufanya uandike hapa na ishavuruga ubongo huo ndio maana anaropoka ropoka, cheki vitu unavyoviandika yani kwa kweli unahitaji msaada wa kisaikolojia.

Yani hapo chochote kinachokujia kichwani na utakachoambiwa kibaya kuhusu Magufuli wewe unakubali tu, ushauri wangu kubali tu dish limeyumba na hapo ndio uanze kutafuta msaada ila ukiendelea kujiona upo sawa tatizo linazidi hilo.

Usikubali Magufuli aendelee kukutesa hata baada ya kufa, hiyo chuki inatafuna ubongo huo.
Bytes zangu na muda wangu. Hatuwezi kumuacha DIKTETA akiyechafua uchumi wa nchi yetu bila kufuchua UCHAFU wake.

Niandike Mimi UUMIE wewe na kunionea huruma Mimi. Wewe UHURU JR ndiyo tabula rasa kabisa
 
Bytes zangu na muda wangu. Hatuwezi kumuacha DIKTETA akiyechafua uchumi wa nchi yetu bila kufuchua UCHAFU wake.

Niandike Mimi UUMIE wewe na kunionea huruma Mimi. Wewe UHURU JR ndiyo tabula rasa kabisa
Mimi nakuonea huruma kwa unayopitia haupo sawa, ungekuwa unakosoa kweli ningekuelewa ila wewe kinachokusumbua ni chuki na ndio maana unaeleza hatavyasihusiana na kukosoa na mbaya zaidi hata kisaikolojia haupo sawa unaropoka kila kinachokujia kichwani. Sasa habari za Magufuli kuumwa ukimwi sijui kufa na corona, unadhani yanahusiana vp na Magufuli kuchafua uchumi? Ndio nakwambia kinachokusumbua ni chuki na inatafuna hadi ubongo.

Wewe hebu kaa tuliza akili halafu jiukize kwanini naamini Magufuli kafa na corona? ni sababu zipi zenye kufanya niamini hivyo?
 
Mimi nakuonea huruma kwa unayopitia haupo sawa, ungekuwa unakosoa kweli ningekuelewa ila wewe kinachokusumbua ni chuki na ndio maana unareeleza hatavyasihusiana na kukosoa na mbaya zaidi hata kisaikolojia haupo sawa unaropoka kila kinachokujia kichwani. Sasa habari za Magufuli kuumwa ukimwi sijui kufa na corona, unadhani yanahusiana vp na Magufuli kuchafua uchumi? Ndio nakwambia kinachokusumbua ni chuki na inatafuna hadi ubongo.

Wewe hebu kaa tuliza akili halafu jiukize kwanini naamini Magufuli kafa na corona? ni sababu zipi zenye kufanya niamini hivyo?
Kumchukia lazima nimchukie sana, mtu alikuwa anafwnya kazi kama kichwa. Angalia alibomoa nyumba zetu Kimara, tunaanzaje kumsifia?

Alijifanya Mungu mtu akaidharau Corona, wapendwa wetu wakafa kwa ujinga wake. Yàani kila mtu ashinde mechi zake. Wala usipoteze muda kuniambia nisiandike
 
Kumchukia lazima nimchukie sana, mtu alikuwa anafwnya kazi kama kichwa. Angalia alibomoa nyumba zetu Kimara, tunaanzaje kumsifia?

Alijifanya Mungu mtu akaidharau Corona, wapendwa wetu wakafa kwa ujinga wake. Yàani kila mtu ashinde mechi zake. Wala usipoteze muda kuniambia nisiandike
Sikuzuii kuandika bila kuandika ningejua vp tatizo ulilonalo? wewe endelea kuandika ila usikatae tatizo lako kuwa haupo sawa moja ya madhara ya hiyo chuki ni kukuharibu kisaikolojia na matokeo yake ndio hayo kuongea vitu visivyoeleweka na kuamini hata mambo yasiyo na sababu za msingi.

Hebu jiulize hiyo chuki unayoitumikia inakusaidia nini? Mimi nisio na hiyo chuki nakosa faida gani ambayo wewe unaipata kwa kuwa na hiyo chuki? labda faida unayopata ni huko kuamini kuwa Magufuli kafa kwa corona😂😂😂 maana kama usingekuwa na hiyo chuki usingeweza kukubali kuaminishwa jambo kama hilo imani ambayo haina sababu za msingi.

Hahaha yani mtu yupo kaburini kafukiwa ila wewe anakutesa halafu mwenyewe bado unajiona ni mzima.
 
Sikuzuii kuandika bila kuandika ningejua vp tatizo ulilonalo? wewe endelea kuandika ila usikatae tatizo lako kuwa haupo sawa moja ya madhara ya hiyo chuki ni kukuharibu kisaikolojia na matokeo yake ndio hayo kuongea vitu visivyoeleweka na kuamini hata mambo yasiyo na sababu za msingi.

Hebu jiulize hiyo chuki unayoitumikia inakusaidia nini? Mimi nisio na hiyo chuki nakosa faida gani ambayo wewe unaipata kwa kuwa na hiyo chuki? labda faida unayopata ni huko kuamini kuwa Magufuli kafa kwa corona😂😂😂 maana kama usingekuwa na hiyo chuki usingeweza kukubali kuaminishwa jambo kama hilo imani ambayo haina sababu za msingi.

Hahaha yani mtu yupo kaburini kafukiwa ila wewe anakutesa halafu mwenyewe bado unajiona ni mzima.
Corona inawaa sweep watu wenye underlying health conditions. Alikuwa na VVU + Bipolar disorder+ Pacemaker+ diabetes= ASINGETOBOA
 
Corona inawaa sweep watu wenye underlying health conditions. Alikuwa na VVU + Bipolar disorder+ Pacemaker+ diabetes= ASINGETOBOA
Ningekuwa na matatizo kama yako ndio ningekuelewa maana hata nisingejisumbua kuhoji ningeamini hayo yote unayosema maana ni mambo mabaya kwa mbaya wangu.
 
Ningekuwa na matatizo kama yako ndio ningekuelewa maana hata nisingejisumbua kuhoji ningeamini hayo yote unayosema maana ni mambo mabaya kwa mbaya wangu.
Mwaka 2012 albaka Binti yake akamwambikiza VVU. Binti kuona hivyo akanywa sumu akafariki. Mwendazake was a CURSE
 
Mwaka 2012 albaka Binti yake akamwambikiza VVU. Binti kuona hivyo akanywa sumu akafariki. Mwendazake was a CURSE
Pole sana ngoja nikuache nikiendelea nitakuwa natumia tatizo lako vibaya na si jambo zuri.
 
Pole sana ngoja nikuache nikiendelea nitakuwa natumia tatizo lako vibaya na si jambo zuri.
Tunamjua Magufuri ana watoto 12 na kazaa ovyo ovyo. Namaanisha watoto wengine amezaa na shemeji zake yaani mdogo wa mke wake.

Huyu Jiwe alikuwa na tabia nyingi mbaya zisizo za kibinadamu, yeye siyo mfano mzuri wa kuiga katika malezi na makuzi ya watoto.

Alikuwana dharau sana wanawake na aliwaona kama instruments tu za kuzalisha na kustarehesha na siyo wenza katika maisha. Huyu amewahi kumuamuru mkewe Janet ahamishe mchanga kwa karai kisa Dreva wa lori kateremsha mahali ambapo hakupataka yeye
 
Tunamjua Magufuri ana watoto 12 na kazaa ovyo ovyo. Namaanisha watoto wengine amezaa na shemeji zake yaani mdogo wa mke wake.

Huyu Jiwe alikuwa na tabia nyingi mbaya zisizo za kibinadamu, yeye siyo mfano mzuri wa kuiga katika malezi na makuzi ya watoto.

Alikuwana dharau sana wanawake na aliwaona kama instruments tu za kuzalisha na kustarehesha na siyo wenza katika maisha. Huyu amewahi kumuamuru mkewe Janet ahamishe mchanga kwa karai kisa Dreva wa lori kateremsha mahali ambapo hakupataka yeye
Kweli kabisa.
 
Back
Top Bottom