#COVID19 Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza

#COVID19 Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza

Hivi Mungu afanye nini mpaka muelewe? Mwendazake alikuwa ni COVID-19 denier kuanzia uwapo wa ugonjwa, kuchukua tahadhari na kutumia masks na vaccines.

Yeye mwenye na timu yake ambayo ilikuwa Ina muabudu wamekufa kwa COVID-19 hiyo hiyo. Namaanisha Eng Kijazi, yule msaidizi, Magufuli mwenyewe na Mfugale.

Na akiwa expose watu wengine bila tahadhari nao wakafa kama Mkapa, Agustino Mahiga, Ndassa nk.

Bado tu una underestimate makali ya COVID-19 na kumuabudu marehemu aliyekufa kwa ugonjwa huo huo??
Next time.

Naomba usiniquote Tafadhali.!
 
Nimesoma hii Habari, wamefungua kutokana na mafanikio ya kinga! Sasa sijui wewe hii habari ni Vipi!
Hujafuatilia! Maambukizi uingereza yalishuka hadi pungufu ya 1000 kwa siku!! Ilikuwa waondoe Kabisa lockdown mwezi juni. Ghafla maambukizi yakaanza kupanda hadi 7000 kwa siku pamoja na watu wengi kuwa wamechanjwa! Wakaamua kuahirisha kuondoa lockdown yote hadi tareje 19/07/2021 wakitegemea kuwa kasi ya maambukizi itakuwa imeshika kwa wakati huo. Kinyume chake maambukizi hayakushuka na yakaendelea kupanda hadi jana maambukizi kwa siku yalikiwa 38,000 na vifo takriban 30.
Kwa hiyo wakaona kwa kuwa maambukizi hayashuki, na wataalamu wameshasema chanjo haizuii maambukizi mapya, njia pekee ni kujiandaa kuishi na corona! Vinginevyo watasubiri sana!!
 
Nimesoma hii Habari, wamefungua kutokana na mafanikio ya kinga! Sasa sijui wewe hii habari ni Vipi!
Tuwekee hapa ushahidi kuwa chanjo inazuia maambukizi!! Wao wenyewe wamesema haizuii ila "eti inasaidia mtu asiugue kiasi cha kulazwa" Huu ni uongo, kupata maambukizi na kutokulazwa ndio kawaida, zaidi ya asilimia 97 ya walioambukizwa walipona wenyewe bila chanjo na bila kulazwa! Fuatilia takwimu duniani kuhakiki hill!
 
Acha povu: Maambukizi uingereza yalishuka hadi chini ya 1000 kwa siku. Yakaanza kupanda hadi 7000 na wakaamua kusogeza mbele tarehe ya kuondoa Kabisa lockdown kutoka June hadi tarehe 19 July huku wakiongeza kasi ya kuchanja. Lakini maambukizi hayakushuka lakini yakawa yanaongezeka kila siku sambamba na kuongezeka kwa vifo kila siku hadi kufikia Jana maambukizi yakawa 38,000!! Na wenyewe wamesema yataendelea kuongezeka tu na hadi yatafika 100,000 kwa siku!! Kwa hiyo inabidi wakubali matokeo na kukubali kuishi na corona!! Wamesema wenyewe na siyo Mimi!!
Sasa nikuulize, kama 70% haikutosha kukinga jamii je hiyo target ya covax ya kuchanja 20% itatosha? Haihitaji kwenda shule kujua kuwa hapa kuna watu wanataka kulazimisha kitwanga maji kwenye kinu!! Hilo zoezi ni upotevu wa rasilimali na dili kwa mabeberu

Tangu utaalamu Wa chanjo utokee duniani kazi yake ni kukinga na kuzuia ugonjwa husika. Hutakaa usikie mtoto aliyechanjwa chanjo ya ndui amepatwa na ugonjwa Wa ndui!! Wala hutakaa usikie aliyewahi kuugua ndui halafu akapona, akaugua tena ugonjwa Wa ndui!!
Hii chanjo ya corona ILIPOBUMA yakatafutwa maelezo ya uongo ya kuitetea ili waendelee kuitumia kupiga pesa!! Kazi ya chanjo si kupunguza makali ya ugonjwa bali ni kuzuia ugonjwa. Kama haizuii basi imekosa sifa ya kuitwa chanjo!!
Sawa mgonjwa wa ndui au tetekuwanga akipona haugui tena, sasa kwa nini mgonjwa wa covid akipona bado anahitaji chanjo? Au antibody ni tofauti?
 
Tuwekee hapa ushahidi kuwa chanjo inazuia maambukizi!! Wao wenyewe wamesema haizuii ila "eti inasaidia mtu asiugue kiasi cha kulazwa" Huu ni uongo, kupata maambukizi na kutokulazwa ndio kawaida, zaidi ya asilimia 97 ya walioambukizwa walipona wenyewe bila chanjo na bila kulazwa! Fuatilia takwimu duniani kuhakiki hill!

Unafikiri kuna ushindani hapa? Mi nasoma mailonline UK ila kwa ajili yangu Sio ubishani!

Kama wewe unataka to feed your illusion is up to you! All the best!
 
Uingereza ndilo Taifa pekee duniani lililofanikiwa kuchanja watu wake kwa zaidi ya asilimia 70. Lakini maambukizi yàliendelea kuongezeka kila siku na kwa Jana mambukizi mapya yalikuwa 28,000, na vifo vipya karibuni 30. Wemefikia hapo huku bado wako kwenye taratibu kadhaa za lockdown ambazo wanatazamia kuziondoa tarehe 19 mwezi huu was saba.

Imefika mahali wakakubali kuwa kama chanjo, na lockdown zimeshindwa kuwakinga basi inabidi wakubali kuishi na corona kama wanavyoishi na magonjwa mengine!

Kama kuchanja asilimia 70 haikufua dafu kuzuia corona, je mpango wa covax wa kuchanja watu asilimia 20 kwa ñchi zilizojiunga na mpango huo una tija ipi? Hauna faida yoyote zaidi ya matumizi mabaya ya rasilimali fedha.

Mara 100 hiyo fedha wangeiwekeza kwenye utafiti zaidi ili waje wapate chanjo sahihi itakayoweza kuwakinga watu kwa uhakika kama ilivyo chanjo ya ndui!!

Kwa bahati mbaya sana mabeberu pamoja na kukiri kuwa chanjo haizuii maambukizi bado yanataka kuitumia kupiga pesa tena kwa kulazimishà! Natamani viongozi wetu wawe na uwezo wa kusema hapana!
Umeiandika vizuri. Ni summary safi. Tunatumaini sasa hiyo kamati teule yetu ya mapambano dhidi ya gonjwa hili wataelewa na kubadili misimamo yao.

Kamati hii teule ya mapambano dhidi ya corona inapaswa kutathimini upya miongozo yao ya namna ya kushughulikia gonjwa hili. Inaelekea kamati hiyo imekumbuka shuka wakati kumeshakucha. Kwa mfano kwa nini ulazimishe watu kuvyaa barakoa waendapo kupata huduma kwenye tasisi za serikali nk.? Kwanza wengine barakoa ni hatari kwa afya zao. Utasemaje kuwa wagonjwa wote wanaoenda kumuona daktari wawe wamevaa barakoa? Si utawaua baadhi yao hususani wenye matatizo ya upumuaji?

Watu wapatiwe tu elimu. Hayo mengine wafanye kwa hiari. Huu ugonjwa uko hapa na utadumu kuwa hapa, tupende tusipende kama ambayvo ukimwi umedumu na utaendelea kudumu kama kaswende na wenzake walivyodumu! It is here to stay. Tujifunze na kukubali kuishi nao.

Na tumeishi nao kwa miaka miwili sasa na hali yetu ni nafuu sana ukilinganisha na hizo nchi kama za Ulaya na Amerika. Tumeambia sasa hivi tuna wagonjwa 100 tu na kati yao 70 wako kwenye mitungi ya gesi. Rasilimali zetu tuzielekeze zaidi kwenye kuwahudumia (tiba) hawa wagonjwa. Hospitali na vituo vya afya hata hiyo mitungi ya gesi havina. Hao wagonjwa 70 nchi nzima wa covid 19 walio kwenye mitungi ya gesi wamemaliza mitungi yote tuliyonayo. Tumeambia hospitali kubwa ya Bugando ilikuwa na mitungi 20 tu na sasa hivi wameishiwa, mahitaji yao ni mitungi 500 kwani inatumika na kwa magonjwa mengine na kwenye operation (eg kutolea general anaethesia). Tunahitaji respirators na automatic ventilators za kutosha kwenye kila hospitali na vituo vya afya vya serikali ili kupunguza vifo vya wagonjwa wa covid 19 na magonjwa mengine. Haya mambo yafanywe haraka sana kwa fedha zetu za ndani. Tusisubiri huo mkopo wa USD 450 m wa corona toka IMF wenye masharti kibao. Wala tusisubiri urasimu wa utaratibu wa manunuzi na CAG atatuelewa. Kuishiwa mitungi ya oxygen is an emergency of the highest order.
 
Hivi Mungu afanye nini mpaka muelewe? Mwendazake alikuwa ni COVID-19 denier kuanzia uwapo wa ugonjwa, kuchukua tahadhari na kutumia masks na vaccines.

Yeye mwenye na timu yake ambayo ilikuwa Ina muabudu wamekufa kwa COVID-19 hiyo hiyo. Namaanisha Eng Kijazi, yule msaidizi, Magufuli mwenyewe na Mfugale.

Na akiwa expose watu wengine bila tahadhari nao wakafa kama Mkapa, Agustino Mahiga, Ndassa nk.

Bado tu una underestimate makali ya COVID-19 na kumuabudu marehemu aliyekufa kwa ugonjwa huo huo??
Huku mtaani kuna wazee kibao hawavai barakoa wala kuchukua tahadhari zozote na wanajimix tu na vijana kwenye mikusanyiko ila hadi sasa hawajaumwa corona, sasa huyo Magufuli corona aliipata wapi?
 
Kaka sijui unapata habari zako wapi?
1. Si kweli kwamba Uingereza wamechanja asilimia kubwa kushinda nchi zote. Nchi kama Israel, Chile hata Mongolia ziko mbele.
2. Si kweli kwamba wamechanja asilimia 70, namba halisi ni mnamo 50%.
Unahitaji kuwa mtalaamu wa suala husika kuweza kupata takwimu husika.

1.Mtu kuchanjwa (to be vaccinated) haimaanishi ndiyo kapata kinga (get immunized). Wapo wanaochanjwa lakini hawapati kinga kutegemea na efficacy ya chanjo (vaccine) husika. Hakuna vaccine yenye 100% efficacy. Hizo zilizotumiwa na waingereza zinadaiwa kuwa na efficacy ya 80% hadi 90%. Maana yake asilimia 10% hadi 20% waliopata chanjo kamilifu (full vaccination) hawatapata kinga. Na hao 80% hadi 90% watakaopata hiyo kinga, muda wa kudumu nayo hiyo kinga haijulikani inakisiwa kuwa ni miezi 3 hadi 6. Hivyo inamaanisha kwamba kila miezi 6 zoezi zima la uchanjaji lifanyike. Kumbuka chanjo hizi ni ghari. Kila chanjo ni USD 35 kwa dose moja na ili kupata chanjo kamili unahitaji chanjo mbili. Tanzania ina watu million 60. Haya zidisha $ 70 × 60,000,000 kupata USD zinazohitajika halafu zidisha exchange rate ya 2,300 kupata TSh tutakazotumia au kukopeshwa kuchanja kila mtu. Utaona ni zaidi ya bajeti yetu ya Mwigulu Nchemba!

2.Takwimu sahihi za uchanjaji huko Uingereza hadi tarehe 4 Julai zilikuwa hivi:
  • At least one dose 68.0%
  • Fully vaccinated 50.6%
Target yao ni 60% full vaccination, ambayo ndiyo ratio ya kisayansi inayohitajika kupata herdimmunity na kutokomeza any epidemic. Imeonekana wazi kuwa hiyo herdimmunity kupitia chanjo hizi ni jambo ambalo haliwezekani. Hivyo hii phase iv trial ya hizi chanjo limekamilika, bahati mbaya matokeo yake yamekuwa hasi. Tunasubiri tafiti ya chanjo aina tofauti kama tunavyosubili ile ya virusi vya HIV. It may take 100 years.

Takwimu za uchanjaji kwenye nchi ndogo ya kijeshi ya Israel ambayo population yake ni watu million 8 tu, inazidiwa kwa mbali na Burundi ni kama ifuatavyo hadi tarehe 5 Julai:
  • At least one dose 62.6%
  • Fully vaccinated 57.2%
Hivyo utaona hakuna tofauti yo yote kati ya nchi hizi mbili kiuchanjaji. There is no significant statistical difference even by the student test. Kumbuka population ya UK ni kubwa kuliko hata ya Tanzania. UK wana watu million 68.
-
 
Kama ilivyofanya Marekani miezi mitatu iliyopita, Julai 19, ni zamu ya Uingereza kulegeza mashariti ya kujikinga na COVID19 baada ya kugundua chanjo na barakoa hazina msaada wowote.

Rais wetu mpendwa, mzalendo na.1 , mwalimu, mkemia Daktari JPM alilegeza mashariti toka mwaka 2020...alionekana mwendawazimu lakini leo maamuzi yake yanachukuliwa kwa umakini na dunia.

Wallah wote humu JF tutakufa...na haitatokea kupata rais shujaa na imara kama JPM.
Shujaa aendeleee kupumzika kwa amani.
 
Nina ku qoute instantly na kukuita popoma. Don't threaten me, if you can't stand the heat get out of the kitchen. Imbecile
Hilo tatizo lako.

Huwezi changia bila matusi you idiot.

Ndio maana sitaki tufike mbali..! Tukakosena adabu. You get me nigga.
 
Huku mtaani kuna wazee kibao hawavai barakoa wala kuchukua tahadhari zozote na wanajimix tu na vijana kwenye mikusanyiko ila hadi sasa hawajaumwa corona, sasa huyo Magufuli corona aliipata wapi?
Magufuli alipata corona kwenye mikutano yake ya kuzindua mabarabara, mastendi na madaraka. Mbwa yule akaidharau sana COVID 19 na ikamtenda At Calvary
 
Hilo tatizo lako.

Huwezi changia bila matusi you idiot.

Ndio maana sitaki tufike mbali..! Tukakosena adabu. You get me nigga.
Nyie misukule bado mnamuabudu yule mtu DIKTETA tumezika Chato, kama mnampenda sana kufeni na nyinyi. To hell with cheerleaders of the satan
 
Nyie misukule bado mnamuabudu yule mtu DIKTETA tumezika Chato, kama mnampenda sana kufeni na nyinyi. To hell with cheerleaders of the satan
We jamaa you have a rotten mind.
I'm done with you.
 
Magufuli alipata corona kwenye mikutano yake ya kuzindua mabarabara, mastendi na madaraka. Mbwa yule akaidharau sana COVID 19 na ikamtenda At Calvary
Sasa mbona hawa wazee huku vijiwe vya kahawa na masokoni hatuoni kupata corona?
 
Sasa mbona hawa wazee huku vijiwe vya kahawa na masokoni hatuoni kupata corona?
Kasome basi hata biology ya Form II itakusaidia. Hata mbu wanaweza wakawauma watu wote waliopo sehemu moja lakini siyo wote wakapata malaria
 
Unahitaji kuwa mtalaamu wa suala husika kuweza kupata takwimu husika.

1.Mtu kuchanjwa (to be vaccinated) haimaanishi ndiyo kapata kinga (get immunized). Wapo wanaochanjwa lakini hawapati kinga kutegemea na efficacy ya chanjo (vaccine) husika. Hakuna vaccine yenye 100% efficacy. Hizo zilizotumiwa na waingereza zinadaiwa kuwa na efficacy ya 80% hadi 90%. Maana yake asilimia 10% hadi 20% waliopata chanjo kamilifu (full vaccination) hawatapata kinga. Na hao 80% hadi 90% watakaopata hiyo kinga, muda wa kudumu nayo hiyo kinga haijulikani inakisiwa kuwa ni miezi 3 hadi 6. Hivyo inamaanisha kwamba kila miezi 6 zoezi zima la uchanjaji lifanyike. Kumbuka chanjo hizi ni ghari. Kila chanjo ni USD 35 kwa dose moja na ili kupata chanjo kamili unahitaji chanjo mbili. Tanzania ina watu million 60. Haya zidisha $ 70 × 60,000,000 kupata USD zinazohitajika halafu zidisha exchange rate ya 2,300 kupata TSh tutakazotumia au kukopeshwa kuchanja kila mtu. Utaona ni zaidi ya bajeti yetu ya Mwigulu Nchemba!

2.Takwimu sahihi za uchanjaji huko Uingereza hadi tarehe 4 Julai zilikuwa hivi:
  • At least one dose 68.0%
  • Fully vaccinated 50.6%
Target yao ni 60% full vaccination, ambayo ndiyo ratio ya kisayansi inayohitajika kupata herdimmunity na kutokomeza any epidemic. Imeonekana wazi kuwa hiyo herdimmunity kupitia chanjo hizi ni jambo ambalo haliwezekani. Hivyo hii phase iv trial ya hizi chanjo limekamilika, bahati mbaya matokeo yake yamekuwa hasi. Tunasubiri tafiti ya chanjo aina tofauti kama tunavyosubili ile ya virusi vya HIV. It may take 100 years.

Takwimu za uchanjaji kwenye nchi ndogo ya kijeshi ya Israel ambayo population yake ni watu million 8 tu, inazidiwa kwa mbali na Burundi ni kama ifuatavyo hadi tarehe 5 Julai:
  • At least one dose 62.6%
  • Fully vaccinated 57.2%
Hivyo utaona hakuna tofauti yo yote kati ya nchi hizi mbili kiuchanjaji. There is no significant statistical difference even by the student test. Kumbuka population ya UK ni kubwa kuliko hata ya Tanzania. UK wana watu million 68.
-
Sina uhakika unalenga nini.
Kusudi la chanjo ni kuokoa uhai. Walio hatarini ni
a. wazee b. watu waliodhoofika (mfano kutokana na magonjwa, udhaifu wa kinga)
Hao ndio watu waliokufa kwa idadi kubwa kwenye nchi za kaskazini. Walikufa pia hapa, isipokuwa idadi ya wazee ni ndogo TZ. Halafu wengi wao wanaishi vijijini, ni watu ambao hawasafiri sana, jinsi kwa jumla watu wa vijijini hawasafiri sana. Halafu wanaishi mazingira isiyofungwa, hali inayopunguza uwezekano wa kuambukizwa.

Hadi sasa nchi nyingi za Afrika zimepita vizuri kiasi kwa sababu 1) mfumo wa umri wa wananchi una wazee wachache; 2) watu wengi wako vijijini ambako hawakutani na watu wengi 3) sehemu kubwa ya maisha hutokea nje au angalau katika nyumba zisizofungwa
Ila virusi aina mpya kama ya Delta ni kali zaidi.
Kwa hiyo ni busara -kama uwezo wa chanjo kwa wote haupo- kuchanja angalau wazee, wafanyakazi wa sekta ya afya, polisi, viongozi

Sijui umechukua wapi hoja matokeo ya chanjo hadi sasa ni hasi???? Kila takwimu ninayoona inaonyesha kinyume. Chanjo zinafanya kazi, zinaokoa maisha, zinawezesha hata wazee kurudi maisha ya kawaida.
 
Sina uhakika unalenga nini.
Kusudi la chanjo ni kuokoa uhai. Walio hatarini ni
a. wazee b. watu waliodhoofika (mfano kutokana na magonjwa, udhaifu wa kinga)
Hao ndio watu waliokufa kwa idadi kubwa kwenye nchi za kaskazini. Walikufa pia hapa, isipokuwa idadi ya wazee ni ndogo TZ. Halafu wengi wao wanaishi vijijini, ni watu ambao hawasafiri sana, jinsi kwa jumla watu wa vijijini hawasafiri sana. Halafu wanaishi mazingira isiyofungwa, hali inayopunguza uwezekano wa kuambukizwa.

Hadi sasa nchi nyingi za Afrika zimepita vizuri kiasi kwa sababu 1) mfumo wa umri wa wananchi una wazee wachache; 2) watu wengi wako vijijini ambako hawakutani na watu wengi 3) sehemu kubwa ya maisha hutokea nje au angalau katika nyumba zisizofungwa
Ila virusi aina mpya kama ya Delta ni kali zaidi.
Kwa hiyo ni busara -kama uwezo wa chanjo kwa wote haupo- kuchanja angalau wazee, wafanyakazi wa sekta ya afya, polisi, viongozi

Sijui umechukua wapi hoja matokeo ya chanjo hadi sasa ni hasi???? Kila takwimu ninayoona inaonyesha kinyume. Chanjo zinafanya kazi, zinaokoa maisha, zinawezesha hata wazee kurudi maisha ya kawaida.
Asante sana Mwanamkiwi kwa hoja nzito dhidi ya wapuuzi wanao down play uwapo wa COVID 19 na prevention yake.

Nilichokiona kwa wengi ni kukosa maarifa ya kuchanganua mambo. Wengi bado wapo intoxicated na misinformation ya Mwendazake. Na wanamuita shujaa wakati naye katandikwa na COVID 19 baada ya kuidharau.
 
Back
Top Bottom