#COVID19 Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza

#COVID19 Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza

Uingereza ndilo Taifa pekee duniani lililofanikiwa kuchanja watu wake kwa zaidi ya asilimia 70. Lakini maambukizi yàliendelea kuongezeka kila siku na kwa Jana mambukizi mapya yalikuwa 28,000, na vifo vipya karibuni 30. Wemefikia hapo huku bado wako kwenye taratibu kadhaa za lockdown ambazo wanatazamia kuziondoa tarehe 19 mwezi huu was saba. Imefika mahali wakakubali kuwa kama chanjo, na lockdown zimeshindwa kuwakinga basi inabidi wakubali kuishi na corona kama wanavyoishi na magonjwa mengine!
Kama kuchanja asilimia 70 haikufua dafu kuzuia corona, je mpango wa covax wa kuchanja watu asilimia 20 kwa ñchi zilizojiunga na mpango huo una tija ipi? Hauna faida yoyote zaidi ya matumizi mabaya ya rasilimali fedha. Mara 100 hiyo fedha wangeiwekeza kwenye utafiti zaidi ili waje wapate chanjo sahihi itakayoweza kuwakinga watu kwa uhakika kama ilivyo chanjo ya ndui!! Kwa bahati mbaya sana mabeberu pamoja na kukiri kuwa chanjo haizuii maambukizi bado yanataka kuitumia kupiga pesa tena kwa kulazimishà! Natamani viongozi wetu wawe na uwezo wa kusema hapana!
Lete hio article iliyoandikwa hivyo
 
hiyo sababu wameitangaza wapi in public? au ni wewe umefikiri kwa fikra zako?...
kabla ya kuchanja hiyo 70% unafikiri kwanini hawakuwaacha watu waendelee na maisha na baadala yake wanataka waendelee na maisha baada ya kuchanja 70%?..

unazijua takwimu za vifo na maambukizi huko UK kabla ya kuchanja hiyo 70%?......Kwanini isiwe maambukizi na vifo vimepungua baada ya kuchanja hiyo 70% na iwe hivyo unavyotuaminisha?...

Unazijua takwimu za vifo na maambukizi Tanzania kuanzia august 2020?...tunasimamaje kifua mbele kuambia dunia Covid Tanzania haina madhara?

Tusilete mchezo na hii kitu aisee, tumuombe Mungu, tuielimishe jamii juu ya hili gonjwa, tuache propaganda, tutumie kila mbinu tunayoona inaweza kunusuru maisha ya watu na sio kujidanganya hamna tatizo huku watu wanakatika kimyakimya, tushare mbinu na wenzetu kila zinazofaa ili kunusuru jamii maana huwezi jua wave yeyote ikikukuta inaweza kuleta athari kiasi gani...
Ona tapeli hili.

Corona haipo na haijawahi kuwepo!

Kilichopo ni maigizo ya matapeli na madalali wa chanjo za wazungu.
 
Kazi ya chanjo ni kupunguza Athari za ugonjwa kwa mtu. Chanjo inasaidia kupunguza vifo, chanjo haizuii mtu kupata ugonjwa,,inapunguza Madhara ya Ugonjwa ndugu. Najua ufahamu wako kuhusu chanjo ni mdogo
Hahahaaa... matapeli mnachekesha kweli kweli.

Hata ulichokiandika sijui kama wewe mwenyewe unakielewa.

Chanjo inapaswa kuwa Kinga. Ukidungwa maana yake hupaswi kupata maambukizi tena.

Lakini haya machanjo ya corona ni usanii mtupu
 
Hahahaaa... matapeli mnachekesha kweli kweli.

Hata ulichokiandika sijui kama wewe mwenyewe unakielewa.

Chanjo inapaswa kuwa Kinga. Ukidungwa maana yake hupaswi kupata maambukizi tena.

Lakini haya machanjo ya corona ni usanii mtupu
Hili ndio jibu, chango ni kwaajili ya kukukinga dhidi ya ugonjwa fulani au dhidi ya vijidudu fulani vinavyosababisha ugonjwa fulani kama chanjo haiwezi kukukinga dhidi ya ugonjwa fulani kwanini wachanje watu.
 
hiyo sababu wameitangaza wapi in public? au ni wewe umefikiri kwa fikra zako?...
kabla ya kuchanja hiyo 70% unafikiri kwanini hawakuwaacha watu waendelee na maisha na baadala yake wanataka waendelee na maisha baada ya kuchanja 70%?..

unazijua takwimu za vifo na maambukizi huko UK kabla ya kuchanja hiyo 70%?......Kwanini isiwe maambukizi na vifo vimepungua baada ya kuchanja hiyo 70% na iwe hivyo unavyotuaminisha?...

Unazijua takwimu za vifo na maambukizi Tanzania kuanzia august 2020?...tunasimamaje kifua mbele kuambia dunia Covid Tanzania haina madhara?

Tusilete mchezo na hii kitu aisee, tumuombe Mungu, tuielimishe jamii juu ya hili gonjwa, tuache propaganda, tutumie kila mbinu tunayoona inaweza kunusuru maisha ya watu na sio kujidanganya hamna tatizo huku watu wanakatika kimyakimya, tushare mbinu na wenzetu kila zinazofaa ili kunusuru jamii maana huwezi jua wave yeyote ikikukuta inaweza kuleta athari kiasi gani

hiyo sababu wameitangaza wapi in public? au ni wewe umefikiri kwa fikra zako?...
kabla ya kuchanja hiyo 70% unafikiri kwanini hawakuwaacha watu waendelee na maisha na baadala yake wanataka waendelee na maisha baada ya kuchanja 70%?..

unazijua takwimu za vifo na maambukizi huko UK kabla ya kuchanja hiyo 70%?......Kwanini isiwe maambukizi na vifo vimepungua baada ya kuchanja hiyo 70% na iwe hivyo unavyotuaminisha?...

Unazijua takwimu za vifo na maambukizi Tanzania kuanzia august 2020?...tunasimamaje kifua mbele kuambia dunia Covid Tanzania haina madhara?

Tusilete mchezo na hii kitu aisee, tumuombe Mungu, tuielimishe jamii juu ya hili gonjwa, tuache propaganda, tutumie kila mbinu tunayoona inaweza kunusuru maisha ya watu na sio kujidanganya hamna tatizo huku watu wanakatika kimyakimya, tushare mbinu na wenzetu kila zinazofaa ili kunusuru jamii maana huwezi jua wave yeyote ikikukuta inaweza kuleta athari kiasi gani...
Acha povu: Maambukizi uingereza yalishuka hadi chini ya 1000 kwa siku. Yakaanza kupanda hadi 7000 na wakaamua kusogeza mbele tarehe ya kuondoa Kabisa lockdown kutoka June hadi tarehe 19 July huku wakiongeza kasi ya kuchanja. Lakini maambukizi hayakushuka lakini yakawa yanaongezeka kila siku sambamba na kuongezeka kwa vifo kila siku hadi kufikia Jana maambukizi yakawa 38,000!! Na wenyewe wamesema yataendelea kuongezeka tu na hadi yatafika 100,000 kwa siku!! Kwa hiyo inabidi wakubali matokeo na kukubali kuishi na corona!! Wamesema wenyewe na siyo Mimi!!
Sasa nikuulize, kama 70% haikutosha kukinga jamii je hiyo target ya covax ya kuchanja 20% itatosha? Haihitaji kwenda shule kujua kuwa hapa kuna watu wanataka kulazimisha kutwanga maji kwenye kinu!! Hilo zoezi ni upotevu wa rasilimali na dili kwa mabeberu!
 
Corona ni ugonjwa pekee Duniani wenye Chajo ambapo waliopata Chanjo hyo bado wanaogopa kuupata ugonjwa huo huo ambao wamekuwa immune nao


Nashukuru Watanzania kuendelea kuwapuuza wale wadoctor wa chumba cha upasuaji😷😷😷😷😷😷
 
Ona tapeli hili.

Corona haipo na haijawahi kuwepo!

Kilichopo ni maigizo ya matapeli na madalali wa chanjo za wazungu.

kwa hiyo Corona ni ugonjwa fake na vile vifo kuanzia Wuhan-China, Italy, UK, USA, SA, Brazil, Russia, France, nk vyote ni fake na uzushi tu... na haya maradhi yanayowakumba watu hata hapa na kushindwa kupumua kiasi cha kuwekewa Oxygen nayo ni fake tu...
 
hiyo sababu wameitangaza wapi in public? au ni wewe umefikiri kwa fikra zako?...
kabla ya kuchanja hiyo 70% unafikiri kwanini hawakuwaacha watu waendelee na maisha na baadala yake wanataka waendelee na maisha baada ya kuchanja 70%?..

unazijua takwimu za vifo na maambukizi huko UK kabla ya kuchanja hiyo 70%?......Kwanini isiwe maambukizi na vifo vimepungua baada ya kuchanja hiyo 70% na iwe hivyo unavyotuaminisha?...

Unazijua takwimu za vifo na maambukizi Tanzania kuanzia august 2020?...tunasimamaje kifua mbele kuambia dunia Covid Tanzania haina madhara?

Tusilete mchezo na hii kitu aisee, tumuombe Mungu, tuielimishe jamii juu ya hili gonjwa, tuache propaganda, tutumie kila mbinu tunayoona inaweza kunusuru maisha ya watu na sio kujidanganya hamna tatizo huku watu wanakatika kimyakimya, tushare mbinu na wenzetu kila zinazofaa ili kunusuru jamii maana huwezi jua wave yeyote ikikukuta inaweza kuleta athari kiasi gani

hiyo sababu wameitangaza wapi in public? au ni wewe umefikiri kwa fikra zako?...
kabla ya kuchanja hiyo 70% unafikiri kwanini hawakuwaacha watu waendelee na maisha na baadala yake wanataka waendelee na maisha baada ya kuchanja 70%?..

unazijua takwimu za vifo na maambukizi huko UK kabla ya kuchanja hiyo 70%?......Kwanini isiwe maambukizi na vifo vimepungua baada ya kuchanja hiyo 70% na iwe hivyo unavyotuaminisha?...

Unazijua takwimu za vifo na maambukizi Tanzania kuanzia august 2020?...tunasimamaje kifua mbele kuambia dunia Covid Tanzania haina madhara?

Tusilete mchezo na hii kitu aisee, tumuombe Mungu, tuielimishe jamii juu ya hili gonjwa, tuache propaganda, tutumie kila mbinu tunayoona inaweza kunusuru maisha ya watu na sio kujidanganya hamna tatizo huku watu wanakatika kimyakimya, tushare mbinu na wenzetu kila zinazofaa ili kunusuru jamii maana huwezi jua wave yeyote ikikukuta inaweza kuleta athari kiasi gani...
Acha povu: Maambukizi uingereza yalishuka hadi chini ya 1000 kwa siku. Yakaanza kupanda hadi 7000 na wakaamua kusogeza mbele tarehe ya kuondoa Kabisa lockdown kutoka June hadi tarehe 19 July huku wakiongeza kasi ya kuchanja. Lakini maambukizi hayakushuka lakini yakawa yanaongezeka kila siku sambamba na kuongezeka kwa vifo kila siku hadi kufikia Jana maambukizi yakawa 38,000!! Na wenyewe wamesema yataendelea kuongezeka tu na hadi yatafika 100,000 kwa siku!! Kwa hiyo inabidi wakubali matokeo na kukubali kuishi na corona!! Wamesema wenyewe na siyo Mimi!!
Sasa nikuulize, kama 70% haikutosha kukinga jamii je hiyo target ya covax ya kuchanja 20% itatosha? Haihitaji kwenda shule kujua kuwa hapa kuna watu wanataka kulazimisha kitwanga maji kwenye kinu!! Hilo zoezi ni upotevu wa rasilimali na dili kwa mabeberu
Kazi ya chanjo ni kupunguza Athari za ugonjwa kwa mtu. Chanjo inasaidia kupunguza vifo, chanjo haizuii mtu kupata ugonjwa,,inapunguza Madhara ya Ugonjwa ndugu. Najua ufahamu wako kuhusu chanjo ni mdogo
Tangu utaalamu Wa chanjo utokee duniani kazi yake ni kukinga na kuzuia ugonjwa husika. Hutakaa usikie mtoto aliyechanjwa chanjo ya ndui amepatwa na ugonjwa Wa ndui!! Wala hutakaa usikie aliyewahi kuugua ndui halafu akapona, akaugua tena ugonjwa Wa ndui!!
Hii chanjo ya corona ILIPOBUMA yakatafutwa maelezo ya uongo ya kuitetea ili waendelee kuitumia kupiga pesa!! Kazi ya chanjo si kupunguza makali ya ugonjwa bali ni kuzuia ugonjwa. Kama haizuii basi imekosa sifa ya kuitwa chanjo!!
 
Uingereza ndilo Taifa pekee duniani lililofanikiwa kuchanja watu wake kwa zaidi ya asilimia 70. Lakini maambukizi yàliendelea kuongezeka kila siku na kwa Jana mambukizi mapya yalikuwa 28,000, na vifo vipya karibuni 30. Wemefikia hapo huku bado wako kwenye taratibu kadhaa za lockdown ambazo wanatazamia kuziondoa tarehe 19 mwezi huu was saba. Imefika mahali wakakubali kuwa kama chanjo, na lockdown zimeshindwa kuwakinga basi inabidi wakubali kuishi na corona kama wanavyoishi na magonjwa mengine!
Kama kuchanja asilimia 70 haikufua dafu kuzuia corona, je mpango wa covax wa kuchanja watu asilimia 20 kwa ñchi zilizojiunga na mpango huo una tija ipi? Hauna faida yoyote zaidi ya matumizi mabaya ya rasilimali fedha. Mara 100 hiyo fedha wangeiwekeza kwenye utafiti zaidi ili waje wapate chanjo sahihi itakayoweza kuwakinga watu kwa uhakika kama ilivyo chanjo ya ndui!! Kwa bahati mbaya sana mabeberu pamoja na kukiri kuwa chanjo haizuii maambukizi bado yanataka kuitumia kupiga pesa tena kwa kulazimishà! Natamani viongozi wetu wawe na uwezo wa kusema hapana!

Nimesoma hii Habari, wamefungua kutokana na mafanikio ya kinga! Sasa sijui wewe hii habari ni Vipi!
 
hiyo sababu wameitangaza wapi in public? au ni wewe umefikiri kwa fikra zako?...
kabla ya kuchanja hiyo 70% unafikiri kwanini hawakuwaacha watu waendelee na maisha na baadala yake wanataka waendelee na maisha baada ya kuchanja 70%?..

unazijua takwimu za vifo na maambukizi huko UK kabla ya kuchanja hiyo 70%?......Kwanini isiwe maambukizi na vifo vimepungua baada ya kuchanja hiyo 70% na iwe hivyo unavyotuaminisha?...

Unazijua takwimu za vifo na maambukizi Tanzania kuanzia august 2020?...tunasimamaje kifua mbele kuambia dunia Covid Tanzania haina madhara?

Tusilete mchezo na hii kitu aisee, tumuombe Mungu, tuielimishe jamii juu ya hili gonjwa, tuache propaganda, tutumie kila mbinu tunayoona inaweza kunusuru maisha ya watu na sio kujidanganya hamna tatizo huku watu wanakatika kimyakimya, tushare mbinu na wenzetu kila zinazofaa ili kunusuru jamii maana huwezi jua wave yeyote ikikukuta inaweza kuleta athari kiasi gani...
upuuzi mtupu
 
Hakuna Mwafrika anayeweza kukataa jambo ngozi nyeupe inasema.

Hicho kizazi kilishapita.

Sasa hivi watu wanaangalia faida Kwa upande wao na familia zao .

Yaani ni ile, hapa nanufaikaje.
Wewe mbona unanufaika na CCM na watu hawalalamiki? Wacha kulalamikia wengine kunufaika na Corona! CCM na Covid-19 havitofautiani hata kidogo. Vyote ni virusi hatari.
Bora Covid-19 tumeishia nayo mwaka moja tu lakini hii kirusi ingine tumeishia nayo zaidi ya miaka 40 sasa!
 
Uingereza ndilo Taifa pekee duniani lililofanikiwa kuchanja watu wake kwa zaidi ya asilimia 70. Lakini maambukizi yàliendelea kuongezeka kila siku na kwa Jana mambukizi mapya yalikuwa 28,000, na vifo vipya karibuni 30. Wemefikia hapo huku bado wako kwenye taratibu kadhaa za lockdown ambazo wanatazamia kuziondoa tarehe 19 mwezi huu was saba. Imefika mahali wakakubali kuwa kama chanjo, na lockdown zimeshindwa kuwakinga basi inabidi wakubali kuishi na corona kama wanavyoishi na magonjwa mengine!
Kama kuchanja asilimia 70 haikufua dafu kuzuia corona, je mpango wa covax wa kuchanja watu asilimia 20 kwa ñchi zilizojiunga na mpango huo una tija ipi? Hauna faida yoyote zaidi ya matumizi mabaya ya rasilimali fedha. Mara 100 hiyo fedha wangeiwekeza kwenye utafiti zaidi ili waje wapate chanjo sahihi itakayoweza kuwakinga watu kwa uhakika kama ilivyo chanjo ya ndui!! Kwa bahati mbaya sana mabeberu pamoja na kukiri kuwa chanjo haizuii maambukizi bado yanataka kuitumia kupiga pesa tena kwa kulazimishà! Natamani viongozi wetu wawe na uwezo wa kusema hapana!
Acha upotoshaji. Kama hutaki kuchanjwa acha; hulazimishwi.
 
Uingereza ndilo Taifa pekee duniani lililofanikiwa kuchanja watu wake kwa zaidi ya asilimia 70. Lakini maambukizi yàliendelea kuongezeka kila siku na kwa Jana mambukizi mapya yalikuwa 28,000, na vifo vipya karibuni 30. Wemefikia hapo huku bado wako kwenye taratibu kadhaa za lockdown ambazo wanatazamia kuziondoa tarehe 19 mwezi huu was saba. Imefika mahali wakakubali kuwa kama chanjo, na lockdown zimeshindwa kuwakinga basi inabidi wakubali kuishi na corona kama wanavyoishi na magonjwa mengine!
Kama kuchanja asilimia 70 haikufua dafu kuzuia corona, je mpango wa covax wa kuchanja watu asilimia 20 kwa ñchi zilizojiunga na mpango huo una tija ipi? Hauna faida yoyote zaidi ya matumizi mabaya ya rasilimali fedha. Mara 100 hiyo fedha wangeiwekeza kwenye utafiti zaidi ili waje wapate chanjo sahihi itakayoweza kuwakinga watu kwa uhakika kama ilivyo chanjo ya ndui!! Kwa bahati mbaya sana mabeberu pamoja na kukiri kuwa chanjo haizuii maambukizi bado yanataka kuitumia kupiga pesa tena kwa kulazimishà! Natamani viongozi wetu wawe na uwezo wa kusema hapana!
Kaka sijui unapata habari zako wapi?
1. Si kweli kwamba Uingereza wamechanja asilimia kubwa kushinda nchi zote. Nchi kama Israel, Chile hata Mongolia ziko mbele.
2. Si kweli kwamba wamechanja asilimia 70, namba halisi ni mnamo 50%.
3. Si kweli kwamba wanakubali kuchanja ilikuwa bure.
KINYUME CHAKE
# ni kweli kwamba watu wengi wa umri mkubwa walipata chanji, hata zaidi ya asilimia 90 (walikuwa hao waliokufa hasa)
# wameona habari nzuri kwamba wale waliochanjwa wamekingwa.
# wameona kwamba vifo vimepungua kwa jumla
#wanaona sasa maambukizi kati ya watoto na vijana kwa sababu badiliko la virusi linaloitwa "Delta" ni kali zaidi kuambukiza watu pia wa umri mdogo. Na watoto pamoja na vijana hawakulengwa katika awamu za kwanza za kampeni ya chanjo
# wanaona virusi ya Covid-Delta inaweza kuathiri pia watu waliopata chanjo tayari lakini hawaoni tena dalili za ugonjwa mkali.

Ona chini takwimu ya Vifo katika Uingereza kutoka tovuti rasmi ya serikali
1625654209340.png

Tafadhali ujielimisha kwanza kabla ya kuleta habari yasiyo na msingi!
 
Ona chini takwimu ya Vifo katika Uingereza kutoka tovuti rasmi ya serikali
View attachment 1844475
Tafadhali ujielimisha kwanza kabla ya kuleta habari yasiyo na msingi!
Ukijua kusoma kichoro kama hiki utaona:
1. mwaka jana mwezi wa Machi watu walianza kufa kutokana na Covid, katika Mei na Juni lockdown na hatua nyingine zilisaidia kupunguza vifo katika Julai hadi Septemba.
2. Mwezi wa Oktoba vifo vilianza kuwa nyingi tena (watu walilegea kuchua tahadhari)
3. Vifo vilikuwa vingi mwanzo wa 2021.
4. Februari programu za chanjo zilianza na kupunguza vifo (pamoja na marudio ya lockdown)
 
Waambie waje tuwape majani ya kujifukiza, waache ubishi waje wapate dozi ya bupeji.....
 
Tatizo watu wanaendeshwa na hisia.
Na wana Chuki na Marehemu, wanatamani kila kitu alichokifanya kifanywe kinyume. Ndio roho zao zitulie.

Wanaotaka chanjo wacha wapewe.
Tulipata visionary leader, ila wachumia tumbo wamevamia nchi. [emoji52]
Hivi Mungu afanye nini mpaka muelewe? Mwendazake alikuwa ni COVID-19 denier kuanzia uwapo wa ugonjwa, kuchukua tahadhari na kutumia masks na vaccines.

Yeye mwenye na timu yake ambayo ilikuwa Ina muabudu wamekufa kwa COVID-19 hiyo hiyo. Namaanisha Eng Kijazi, yule msaidizi, Magufuli mwenyewe na Mfugale.

Na akiwa expose watu wengine bila tahadhari nao wakafa kama Mkapa, Agustino Mahiga, Ndassa nk.

Bado tu una underestimate makali ya COVID-19 na kumuabudu marehemu aliyekufa kwa ugonjwa huo huo??
 
Kazi ya chanjo ni kupunguza Athari za ugonjwa kwa mtu. Chanjo inasaidia kupunguza vifo, chanjo haizuii mtu kupata ugonjwa,,inapunguza Madhara ya Ugonjwa ndugu. Najua ufahamu wako kuhusu chanjo ni mdogo
Hawa ndiyo wale wapuuzi walimeza ujuha wa mwendazake kuwa virusi vya Corona ni mafuta hivyo ukijifukiza yale mafuta yanayeyuka na kuondoka mwilini. Jiwe aliwajaza watu wake upumbavu mwingi sana.
 
Corona husababishwa na Virus.
Hivyo siku chanjo ya Covid 19 ikikubali kufanya kazi ni wazi hata HIV nayo Chanjo yake itapatikana.
 
Hahahaaa... matapeli mnachekesha kweli kweli.

Hata ulichokiandika sijui kama wewe mwenyewe unakielewa.

Chanjo inapaswa kuwa Kinga. Ukidungwa maana yake hupaswi kupata maambukizi tena.

Lakini haya machanjo ya corona ni usanii mtupu
Hujalazimishwa kale malimao na tangawizi usitupigie kelele zako
 
Back
Top Bottom