#COVID19 Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza

#COVID19 Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza

Mtoa mada hii ni mpumbavu,UK inalegeza mashariti ya covid baada ya kuona maambukizi yanaoungua na vaccinations inashika kasi
Watanzania wapenzi wa mwendazake wapotoshaji wakubwa janga la covid. UK imelegeza mashariti baada ya idadi kubwa ya waingereza kuchanjwa.

So far, more than 45.4 million people have had a first vaccine dose - about 86% of the adult population - and almost 34 million have had a second.
 
Tumeambia sasa hivi tuna wagonjwa 100 tu na kati yao 70 wako kwenye mitungi ya gesi.
Namba zako ni za wiki iliyopita. Tunajadili hapa mlipuko wa ugonjwa.
Guardian ya leo inaleta taarifa kuwa Bugando wanahitaji silinda za gesi 300 KILA siku, wana 100 tu ambazo hazitoshhi.

Soma:

Bugando seeking cylinders as COVID-19 infections soar​

The hospital is seeking 500 oxygen cylinders on a daily basis to help the rising number of patients with breathing complications at the facility.
A regional taskforce meeting to combat corona chaired by Regional Commissioner Robert Gabriel heard the head of the facility, Dr Fabian Massaga explain that currently there are only 100 cylinders available per day while the centre’s actual needs stand at 300l cylinders or more.
 
Kasome basi hata biology ya Form II itakusaidia. Hata mbu wanaweza wakawauma watu wote waliopo sehemu moja lakini siyo wote wakapata malaria
Biology ya form II ndio imekwambia Magufuli kafa kwa corona?
 
Tumia akili ya wastani. Wazee unaoona sokoni ni wazima - bado. Wakiwa wagonjwa hawafiki tena sokoni.
Mimi nazungumzia corona hapa na maambukizi yake na sizungumzii issue ya mtu kuumwa tu katika ya kawaida.
 
Asante sana Mwanamkiwi kwa hoja nzito dhidi ya wapuuzi wanao down play uwapo wa COVID 19 na prevention yake.

Nilichokiona kwa wengi ni kukosa maarifa ya kuchanganua mambo. Wengi bado wapo intoxicated na misinformation ya Mwendazake. Na wanamuita shujaa wakati naye katandikwa na COVID 19 baada ya kuidharau.
Corona imempiga Maalim seifu hilo halina shaka ila nashangaa mnaforce kifo cha Magufuli kuwa cha corona et kisa aliidharau, sasa wewe unayedai kafa kwa corona na waliyosema alichanjwa chanjo ya corona kisirisiri ni yupi mkweli? kila mtu mtu akiongea lake hatutaelewana.
 
Tarehe 12 Julai 2021, Uingereza inatarajia kusitisha uvaaji wa barakoa wa lazima, social distancing, uzuiaji wa mikusanyiko mikubwa ya watu, lockdowns na vizuizi vingine vyote vilivyokuwa vimewekwa kukabiliana na janga hili la covid 19.

Kiwango cha maambukizi Uingereza juzi tarehe 4 July yalikuwa wagonjwa wapya 24,170 na vifo 15. Jana tarehe 5 Julai wagonjwa wapya walikuwa 27,334 na vifo vilikuwa 9.

Sisi Tanzania tuna wagonjwa 100 (wapya + wazamani) na kati ya hao, 70 ndiyo wako kwenye mitungi ya gesi. Takwimu za vifo sisi huwa hatuziweki hadharani kutokana na tamaduni zetu kwani huleta taharuki kubwa na social stigmatization kali.

Kama hivyo ndivyo, kamati ile teule ya mapambano dhidi ya corona inapaswa kutathimini upya miongozo yao ya namna ya kushughulikia gonjwa hili. Inaelekea kamati hiyo inakumbuka shuka wakati kumeshakucha. Kwa mfano kwa nini ulazimishe watu kuvyaa barakoa waendapo kupata huduma kwenye tasisi za serikali nk.? Kwanza wengine barakoa ni hatari kwa afya zao. Utasemaje kuwa wagonjwa wote wanaoenda kumuona daktari wawe wamevaa barakoa? Si utawaua baadhi yao hususani wenye matatizo ya upumuaji?

Watu wapatiwe tu elimu. Hayo mengine wafanye kwa hiari. Huu ugonjwa uko hapa na utadumu kuwa hapa, tupende tusipende kama ambayvo ukimwi umedumu na utaendelea kudumu kama kaswende na wenzake walivyodumu! It is here to stay. Tujifunze kuishi nao.

Source: BBC

Ni tarehe19 mkuu sio 12
Ila ukiangalia London leo kama restrictions zimeondilewa
Wembley watu 60,000 wameingia
Na barakoa hawana
Watu wamechoka
 
Corona imempiga Maalim seifu hilo halina shaka ila nashangaa mnaforce kifo cha Magufuli kuwa cha corona et kisa aliidharau, sasa wewe unayedai kafa kwa corona na waliyosema alichanjwa chanjo ya corona kisirisiri ni yupi mkweli? kila mtu mtu akiongea lake hatutaelewana.
Mwendazake kama Nkurunzinza wote warundi, wote Madikteta na wote waliibishia COVID 19 na ikawatandika wote.

Mungu hadhihakiwi
 
Ni tarehe19 mkuu sio 12
Ila ukiangalia London leo kama restrictions zimeondilewa
Wembley watu 60,000 wameingia
Na barakoa hawana
Watu wamechoka
Kaka unapata habari zako wapi?
1. Masharti ya Covid yanaendelea London. Hakuna kitu kilichoondolewa. Soma hapa sheria zilizopo: (COVID-19) Coronavirus restrictions: what you can and cannot do
2. Kwenye mpira angalau nchi nyingi za Ulaya zinasema ni kosa kuruhusu watu wengi kukutana pale London. Waingereza wanajitetea wakisema
a. hakuna aliyeruhusiwa kuingia asiye na uthibitisho wa chanjo kamili au cheti cha kupimwa Covid
b. wanasema idadi kubwa ya watu waliochanjwa inaunguza hatari.
c. Sehemu za kubanana kama getini au ndani ya jengo wote walipaswa kuvaa barakoa lakini waliruhusiwa kuiondoa wakifika nje kwenye viti vyao.
3. ni kweli watu wamechoka. Hata hivyo sheria ziko.

Kuhusu Chanjo ona matangazo ya leo:
1625695729844.png

Chanzo: Daily summary | Coronavirus in the UK
Unaona kwamba maambukizi yanaongezeka tena (Virus Delta, kushoto "People tested positive"), lakini vifo haviongezeki (kidogo sana) na watu walikuwa wagonjwa hadi kupelekwa hospitalini waliongezeka kidogo tu. Yote shauri wa chanjo pamoja na sheria ya kuvaa barakoa na kutokutana na watu wengi.
 
Mwendazake kama Nkurunzinza wote warundi, wote Madikteta na wote waliibishia COVID 19 na ikawatandika wote.

Mungu hadhihakiwi
Mungu sio Baba ako ndio maana kamlaani Shetani na akakwambia ni adui yako ila kamuachia aishi hadi leo ndio itakuwa huyo Magufuli? Maalim seif mbona corona hakuibishia na imemuondoa tena yeye ndio haina shaka kabisa ila hasira zenu kwa Magufuli zimewafanya kuwa kama wajinga et Magufuli alikuwa dikteta ndio maana kafa kwa corona, yani ujinga mtupu kwa kweli.
 
Kaka unapata habari zako wapi?
1. Masharti ya Covid yanaendelea London. Hakuna kitu kilichoondolewa. Soma hapa sheria zilizopo: (COVID-19) Coronavirus restrictions: what you can and cannot do
2. Kwenye mpira angalau nchi nyingi za Ulaya zinasema ni kosa kuruhusu watu wengi kukutana pale London. Waingereza wanajitetea wakisema
a. hakuna aliyeruhusiwa kuingia asiye na uthibitisho wa chanjo kamili au cheti cha kupimwa Covid
b. wanasema idadi kubwa ya watu waliochanjwa inaunguza hatari.
c. Sehemu za kubanana kama getini au ndani ya jengo wote walipaswa kuvaa barakoa lakini waliruhusiwa kuiondoa wakifika nje kwenye viti vyao.
3. ni kweli watu wamechoka. Hata hivyo sheria ziko.

Kuhusu Chanjo ona matangazo ya leo:
View attachment 1845321
Chanzo: Daily summary | Coronavirus in the UK
Unaona kwamba maambukizi yanaongezeka tena (Virus Delta, kushoto "People tested positive"), lakini vifo haviongezeki (kidogo sana) na watu walikuwa wagonjwa hadi kupelekwa hospitalini waliongezeka kidogo tu. Yote shauri wa chanjo pamoja na sheria ya kuvaa barakoa na kutokutana na watu wengi.

Sio habari nazipata wapi bali nipo London kitambo na ni kweli wengi tumeishapata chanjo za Covid na mimi nimepata mbili za Astra Zeneca

Na wamedhibiti sana ila watu wanatoka sana na biashara zimerudi
Jambo jema sana

Ukiona watu wengi hawavai barakoa madukani yaani kama tayari wameruhusu
Hakuna anaekuambia vaa tena ila hiari yako
Mimi sehemu nyingi nimeingia
Naona kwa kiasi kikubwa wameshinda
 
Yule pimbi alitandikwa na COVID 19, period!! Zingine ni hadithi tu
Hadithi unaleta wewe, yani unakuja kutuambia mtu kafa kwa ugonjwa fulani kwa kutumia hisia zako tu halafu unategemea watu wenye akili zao wakuelewe, we mzima kweli? Tukisema tusikilize hizo hisia zenu sijui tutashika lipi,maana wengine hisia zao ziliwaambia et Magu alidungwa chanjo ya China kisirisiri ndio maana akawa haogopi corona.
 
hiyo sababu wameitangaza wapi in public? au ni wewe umefikiri kwa fikra zako?...
kabla ya kuchanja hiyo 70% unafikiri kwanini hawakuwaacha watu waendelee na maisha na baadala yake wanataka waendelee na maisha baada ya kuchanja 70%?..

unazijua takwimu za vifo na maambukizi huko UK kabla ya kuchanja hiyo 70%?......Kwanini isiwe maambukizi na vifo vimepungua baada ya kuchanja hiyo 70% na iwe hivyo unavyotuaminisha?...

Unazijua takwimu za vifo na maambukizi Tanzania kuanzia august 2020?...tunasimamaje kifua mbele kuambia dunia Covid Tanzania haina madhara?

Tusilete mchezo na hii kitu aisee, tumuombe Mungu, tuielimishe jamii juu ya hili gonjwa, tuache propaganda, tutumie kila mbinu tunayoona inaweza kunusuru maisha ya watu na sio kujidanganya hamna tatizo huku watu wanakatika kimyakimya, tushare mbinu na wenzetu kila zinazofaa ili kunusuru jamii maana huwezi jua wave yeyote ikikukuta inaweza kuleta athari kiasi gani...
Huna akili
 
Kazi ya chanjo ni kupunguza Athari za ugonjwa kwa mtu. Chanjo inasaidia kupunguza vifo, chanjo haizuii mtu kupata ugonjwa,,inapunguza Madhara ya Ugonjwa ndugu. Najua ufahamu wako kuhusu chanjo ni mdogo
Una uhakika gani kuwa inapunguza athari,akili za kuambiwa changanya na za kwako
 
Mungu sio Baba ako ndio maana kamlaani Shetani na akakwambia ni adui yako ila kamuachia aishi hadi leo ndio itakuwa huyo Magufuli? Maalim seif mbona corona hakuibishia na imemuondoa tena yeye ndio haina shaka kabisa ila hasira zenu kwa Magufuli zimewafanya kuwa kama wajinga et Magufuli alikuwa dikteta ndio maana kafa kwa corona, yani ujinga mtupu kwa kweli.
Nafuu hasira zetu kwa DIKTETA Magufuli zina sababu kuliko nyie misukule yake bado mnampa sifa za uwongo. KUFENI basi na nyinyi ili muendelee kuwa naye
 
Nafuu hasira zetu kwa DIKTETA Magufuli zina sababu kuliko nyie misukule yake bado mnampa sifa za uwongo. KUFENI basi na nyinyi ili muendelee kuwa naye
Kibaya hapa ni athari zinazopatikana kwa hiyo chuki au mahaba kupitiliza,ndio kama hivyo unajikuta unaamini vitu ambavyo hata havina msingi kwa sababu ya hiyo chuki. Binafsi sina chuki na Magufuli hakuna jambo alilonifanyia hadi nijenge chuki kiasi hicho na wala sina sababu ya kufanya niwe na mahaba nae.
Siwezi kujua Magufuli wewe alikufanya nini kiasi cha kumjengea chuki hivyo, ila nachojua hiyo chuki aliyokuachia ndio inakutafuna kuliko alichokufanyia Magufuli.
 
Kibaya hapa ni athari zinazopatikana kwa hiyo chuki au mahaba kupitiliza,ndio kama hivyo unajikuta unaamini vitu ambavyo hata havina msingi kwa sababu ya hiyo chuki. Binafsi sina chuki na Magufuli hakuna jambo alilonifanyia hadi nijenge chuki kiasi hicho na wala sina sababu ya kufanya niwe na mahaba nae.
Siwezi kujua Magufuli wewe alikufanya nini kiasi cha kumjengea chuki hivyo, ila nachojua hiyo chuki aliyokuachia ndio inakutafuna kuliko alichokufanyia Magufuli.
Sawa Mimi chuki inanitafuna ila yeye anatafunwa na minyoo na sisimizi DAADDADDEKI
 
Sawa Mimi chuki inanitafuna ila yeye anatafunwa na minyoo na sisimizi DAADDADDEKI
Sasa hapo si bora yeye maana mpaka anakufa hujampiga hata konzi amekubakiza na chuki tu inayokutafuna hadi sasa na ukifa nawe unaenda kutafunwa na funza pia.

Hahaha maisha sio fair kabisa,pole sana mkuu.
 
Sasa hapo si bora yeye maana mpaka anakufa hujampiga hata konzi amekubakiza na chuki tu inayokutafuna hadi sasa na ukifa nawe unaenda kutafunwa na funza pia.

Hahaha maisha sio fair kabisa,pole sana mkuu.
Pole jipe wewe unyeabudu dubwasha la Chato. Sisi tunakula maisha
 
Back
Top Bottom