#COVID19 Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza

#COVID19 Boris Jonson: Sheria za kuvaa barakoa na kukaa mbali hazitakuwa lazima Uingereza

Dah inasikitisha sana,

Ina maana vile vifo vya maelfu vilivyokuwa vinatokea ulaya ni fake? Maana kama walikuwa wanakufa watu mpaka 3000 kwa siku na leo UK wanakufa 15 kwa siku maana yake kuna maendeleo baada ya kitu fulani kufanyika inawezekana chanjo imewasaidia na research zao zinaonyesha hakuna haja tena ya watu kujifungia.

Je, sisi huku kuna hatua gani kubwa ya kitalaam tuliyochukua ambayo inaweza kutufanya tuwe huru kuzurula na kujichanganya? Je, tunajua idadi kamili ya waathirika na waliokufa mpaka sasa tukawa na uelewa wa ukubwa wa tatizo?kuna wave yeyote ambayo imeshaleta madhara kwetu? kama hakuna, kuna hatua gani za kitalaam tulizochukua ambazo zimetukinga?
 
Tatizo tokea hii corona ianze asilimia kubwa kila ukisikia vifo basi ni vya corona, sijui hata hao wazee huko ulaya takwimu zao za vifo zilikuaje before corona?
 
Mtoa mada hii ni mpumbavu,UK inalegeza mashariti ya covid baada ya kuona maambukizi yanaoungua na vaccinations inashika kasi
Acha umbumbumbu. Kasi ya maambukizo (new cases) imekuwa ikiongezeka kwa kasi kubwa miezi ya hivi karibuni baada ya wananchi wengi kuwa wamechanjwa (full vaccination ya dose mbili). Mwezi April wakati waliokuwa wamechanjwa walikuwa 30% tu maambukizi mapya yalikuwa yamepungua hadi kuwa 2,000 tu kwa siku. Jana tarehe 5 Julai wakati zaidi ya asilimia 80% ya watu kuwa wameshapata full vaccination, maambukizi mapya yalikuwa 27,334 kwa takwimu za WHO worldometer. Juzi yalikuwa 24,170. Wewe mbumbumbu unaona yanapungua.

Wenye akili wanayaona yanaongezeka kwa kasi kubwa na kwamba chanjo hizi hazisaidii kuzuia usambaaji wa dudu hili . Dalili za kupungua zilizoonekana mwezi April hazikuwa ni kwa sababu ya chanjo bali ni tabia ya asili ya kirusi hiki cha covid 19 ya kuwa seasonal. Waingereza wamenyoosha mikono na kuamua kuishi na kirusi hicho kwa kujikita zaidi na mbinu za tiba za kupunguza vifo vitokanayo na maambukizi ya kirusi hiki.

Wala kupungua kwa vifo vitokanavyo na covid 19 katika mataifa haya yaliyoendelea havina uhusiano na chanjo hizi. Vifo vinapunguzwa kwa teknolojia nyingine za kitabibu. Kwa mfano kwa hao wazungu na wachina kuna mashine za haemooxygenation yaani wakati mapafu yako hayajiwezi kwa sababu ya covid 19, damu yako huzungushwa nje ya mwili wako hadi kwenye hiyo mashine kupata oxygen na kurudi mwilini mwako. Ni kama ile mashine ya haemodialysis kwa wale ambao figo zao hazijiwezi wanavyosafishwa damu zao.

Wazungu na wachina hawa wana uwezo wa kupandikiza mapafu (lung transplant) kama ambavyo figo zinavyopandikizwa. Hivyo ikionekana mapafu yamepata illreversible damage kwa sababu ya cov -2 basi ndugu wa mgonjwa anaweza donate pafu lake moja kwa mgonjwa wake kupandikizwa. Wewe baki na umbumbumbu wako. Sisi maambukizi tulikuwa tumeyapunguza kwa kiasi kikubwa kwa kutumia nyungu na kumtanguliza Mungu.
 
Wamesalimu amri,
Au wametuachia sie msala
Wamejitoa kwenye mpango huo baada ya sisi kuingia. Wangalijitoa kabla wangalisemwa wametufuata sisi. Ndiyo maana walokuwa wanatushinikiza kujiunga na mpango huo wa dunia ili wao wajitoe na kufurahia maisha. Akili mu kichwa! Muingereza ni sungura wa dunia tangia hapo kale.
 
Virusi vya Corona haviathiri sana watu weusi kama vinavyoathiri watu wa rangi tofauti, hii ni kwa sababu za "Genetics" zaidi na wala haihitaji kumsifia mtu ni maumbile ya Mungu tu.
 
Dah inasikitisha sana,

Ina maana vile vifo vya maelfu vilivyokuwa vinatokea ulaya ni fake? Maana kama walikuwa wanakufa watu mpaka 3000 kwa siku na leo UK wanakufa 15 kwa siku maana yake kuna maendeleo baada ya kitu fulani kufanyika inawezekana chanjo imewasaidia na research zao zinaonyesha hakuna haja tena ya watu kujifungia.

Je, sisi huku kuna hatua gani kubwa ya kitalaam tuliyochukua ambayo inaweza kutufanya tuwe huru kuzurula na kujichanganya? Je, tunajua idadi kamili ya waathirika na waliokufa mpaka sasa tukawa na uelewa wa ukubwa wa tatizo?kuna wave yeyote ambayo imeshaleta madhara kwetu? kama hakuna, kuna hatua gani za kitalaam tulizochukua ambazo zimetukinga?
LisbonCourtRulesOnly0.925OfE28098VerifiedCasesE28099DiedOfCOVID2CNumbering1522CNot172C000AsCla...jpg
 
Uingereza ndilo Taifa pekee duniani lililofanikiwa kuchanja watu wake kwa zaidi ya asilimia 70. Lakini maambukizi yàliendelea kuongezeka kila siku na kwa Jana mambukizi mapya yalikuwa 28,000, na vifo vipya karibuni 30. Wemefikia hapo huku bado wako kwenye taratibu kadhaa za lockdown ambazo wanatazamia kuziondoa tarehe 19 mwezi huu was saba.

Imefika mahali wakakubali kuwa kama chanjo, na lockdown zimeshindwa kuwakinga basi inabidi wakubali kuishi na corona kama wanavyoishi na magonjwa mengine!

Kama kuchanja asilimia 70 haikufua dafu kuzuia corona, je mpango wa covax wa kuchanja watu asilimia 20 kwa ñchi zilizojiunga na mpango huo una tija ipi? Hauna faida yoyote zaidi ya matumizi mabaya ya rasilimali fedha.

Mara 100 hiyo fedha wangeiwekeza kwenye utafiti zaidi ili waje wapate chanjo sahihi itakayoweza kuwakinga watu kwa uhakika kama ilivyo chanjo ya ndui!!

Kwa bahati mbaya sana mabeberu pamoja na kukiri kuwa chanjo haizuii maambukizi bado yanataka kuitumia kupiga pesa tena kwa kulazimishà! Natamani viongozi wetu wawe na uwezo wa kusema hapana!
 
Tatizo watu wanaendeshwa na hisia.
Na wana Chuki na Marehemu, wanatamani kila kitu alichokifanya kifanywe kinyume. Ndio roho zao zitulie.

Wanaotaka chanjo wacha wapewe.
Tulipata visionary leader, ila wachumia tumbo wamevamia nchi. [emoji52]
 
Uingereza ndilo Taifa pekee duniani lililofanikiwa kuchanja watu wake kwa zaidi ya asilimia 70. Lakini maambukizi yàliendelea kuongezeka kila siku na kwa Jana mambukizi mapya yalikuwa 28,000, na vifo vipya karibuni 30. Wemefikia hapo huku bado wako kwenye taratibu kadhaa za lockdown ambazo wanatazamia kuziondoa tarehe 19 mwezi huu was saba. Imefika mahali wakakubali kuwa kama chanjo, na lockdown zimeshindwa kuwakinga basi inabidi wakubali kuishi na corona kama wanavyoishi na magonjwa mengine!
Kama kuchanja asilimia 70 haikufua dafu kuzuia corona, je mpango wa covax wa kuchanja watu asilimia 20 kwa ñchi zilizojiunga na mpango huo una tija ipi? Hauna faida yoyote zaidi ya matumizi mabaya ya rasilimali fedha. Mara 100 hiyo fedha wangeiwekeza kwenye utafiti zaidi ili waje wapate chanjo sahihi itakayoweza kuwakinga watu kwa uhakika kama ilivyo chanjo ya ndui!! Kwa bahati mbaya sana mabeberu pamoja na kukiri kuwa chanjo haizuii maambukizi bado yanataka kuitumia kupiga pesa tena kwa kulazimishà! Natamani viongozi wetu wawe na uwezo wa kusema hapana!

hio mbna kitambo walishanyoosha mikono, yaaani apa mpira unaangalia na mashabiki hadi raha!
 
Tatizo watu wanaendeahwa na hisia.
Na wana Chuki na Marehemu, wanatamani kila kitu alichokifanya kifanywe kinyume. Ndio roho zao zitulie.

Wanaotaka chanjo wacha wapewe.
Tulipata visionary leader, ila wachumia tumbo wamevamia nchi. [emoji52]
Marehemu alifanya siasa na warithi nao wanafanya siasa kwa mwelekeo mwingine ilimradi kufikia malengo japo yanaweza yasifikiwe kwani malengo hayo yana misukumo mingi
 
hiyo sababu wameitangaza wapi in public? au ni wewe umefikiri kwa fikra zako?...
kabla ya kuchanja hiyo 70% unafikiri kwanini hawakuwaacha watu waendelee na maisha na baadala yake wanataka waendelee na maisha baada ya kuchanja 70%?..

unazijua takwimu za vifo na maambukizi huko UK kabla ya kuchanja hiyo 70%?......Kwanini isiwe maambukizi na vifo vimepungua baada ya kuchanja hiyo 70% na iwe hivyo unavyotuaminisha?...

Unazijua takwimu za vifo na maambukizi Tanzania kuanzia august 2020?...tunasimamaje kifua mbele kuambia dunia Covid Tanzania haina madhara?

Tusilete mchezo na hii kitu aisee, tumuombe Mungu, tuielimishe jamii juu ya hili gonjwa, tuache propaganda, tutumie kila mbinu tunayoona inaweza kunusuru maisha ya watu na sio kujidanganya hamna tatizo huku watu wanakatika kimyakimya, tushare mbinu na wenzetu kila zinazofaa ili kunusuru jamii maana huwezi jua wave yeyote ikikukuta inaweza kuleta athari kiasi gani...
 
Msikie waziti mkuu wa uingereza anavyosema:
Boris Johnson sets out plan for living with Covid. Video, 00:03:35
Boris Johnson sets out plan for living with Covid.
 
Uingereza ndilo Taifa pekee duniani lililofanikiwa kuchanja watu wake kwa zaidi ya asilimia 70. Lakini maambukizi yàliendelea kuongezeka kila siku na kwa Jana mambukizi mapya yalikuwa 28,000, na vifo vipya karibuni 30. Wemefikia hapo huku bado wako kwenye taratibu kadhaa za lockdown ambazo wanatazamia kuziondoa tarehe 19 mwezi huu was saba. Imefika mahali wakakubali kuwa kama chanjo, na lockdown zimeshindwa kuwakinga basi inabidi wakubali kuishi na corona kama wanavyoishi na magonjwa mengine!
Kama kuchanja asilimia 70 haikufua dafu kuzuia corona, je mpango wa covax wa kuchanja watu asilimia 20 kwa ñchi zilizojiunga na mpango huo una tija ipi? Hauna faida yoyote zaidi ya matumizi mabaya ya rasilimali fedha. Mara 100 hiyo fedha wangeiwekeza kwenye utafiti zaidi ili waje wapate chanjo sahihi itakayoweza kuwakinga watu kwa uhakika kama ilivyo chanjo ya ndui!! Kwa bahati mbaya sana mabeberu pamoja na kukiri kuwa chanjo haizuii maambukizi bado yanataka kuitumia kupiga pesa tena kwa kulazimishà! Natamani viongozi wetu wawe na uwezo wa kusema hapana!
Kazi ya chanjo ni kupunguza Athari za ugonjwa kwa mtu. Chanjo inasaidia kupunguza vifo, chanjo haizuii mtu kupata ugonjwa,,inapunguza Madhara ya Ugonjwa ndugu. Najua ufahamu wako kuhusu chanjo ni mdogo
 
Back
Top Bottom