Bosi huyu ataoa lini umri unaenda?

Rugemalira Wakuhaba ebye hatari hapo ndani ya Mawingu media
 
Zamaradi kapita,Dina kapita,kiuno bila mfupa kapita,sasa hivi naskia anapita kwa nanihii ndo mana binti mstimu kamtema😀😀😀😀😀😀😀
 
nani huyo funguka mkuu
 
Kimbaombao Zama alitaka
Mwenyewe kula na Bo's,alitaka

Mwenyewe kuzaa maana mimba
Ndo alibeba Kwa kutaka umaarufu
Wa kugongwa na Bo's

Waacha amevuna alichopanda
 
Hahahahah noma sana vijana, nmependa hii style ya tafsida. Hivi yule fettylicious alizingua nn hadi akachezea nyekundu wadau?
Fetty aliacha mwenyewe baada ya mchumba kumwambia aache kazi akamfungulia duka pale kino, na yule mchumba akafanya maamuzi yasiyojulikana baadae akasababisha mwenzie aache kazi na yeye akamuacha
 
Kimbaombao Zama alitaka
Mwenyewe kula na Bo's,alitaka

Mwenyewe kuzaa maana mimba
Ndo alibeba Kwa kutaka umaarufu
Wa kugongwa na Bo's

Waacha amevuna alichopanda
Kwani ukiwa mfanyakazi hutakiwi kumpenda boss? btw Ruge alishapropose kwa Zama sema Zama aligundua hakuna muoaji akajiongeza.
 
Fetty aliacha mwenyewe baada ya mchumba kumwambia aache kazi akamfungulia duka pale kino, na yule mchumba akafanya maamuzi yasiyojulikana baadae akasababisha mwenzie aache kazi na yeye akamuacha
Wanawake mufkirie kabla ya kutenda
Sasa now anajilaumu sana kuacha kaz
 
Wanawake mufkirie kabla ya kutenda
Sasa now anajilaumu sana kuacha kaz
Mapenzi kaka angu na ukizingatia alivyomuachisha kazi alimfungulia duka akaona sawa tu tena anaenda kuwa mke wa tajiri. Ila mimi huo ujinga mume wangu asiniletee kabsaaa, akiniachisha kazi anifungulie biashara inayohusiana na elimu yangu sio nimesoma sheria ukanifungulie biashara ya pharmacy
 
Kwani ukiwa mfanyakazi hutakiwi kumpenda boss? btw Ruge alishapropose kwa Zama sema Zama aligundua hakuna muoaji akajiongeza.
Inawezekna kula na Bo's wako
Lakin before unafaakuangalia
Malengo yake na ww hasahasa
Kwa kina Dada Sasa ona Zama


Alilazalishwa mara 2 inamaana
Hakua anaona mwelekeo
Wa bos wake na yy after kuzaa mtt wa 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…