Bosi huyu ataoa lini umri unaenda?

Bosi huyu ataoa lini umri unaenda?

Mbona yule Boss Many ndio kwanza kavuta kitu kibichi...kuna dhambi gani Msela akasubiri muda muafaka naye akavuta jiko lake? mbona bado mapema tu?

Alafu hakunaga kitu kinaitwa "kuchezea"....hao ni binadamu wenye akili zao timamu sio Wanasesere, sasa wanachezewa vipi?...nao huingia shambani kuvuna wakiwa na akili zao timamu ati...ni win win situation.
Mbona yule wa IPP media ameoa binti mbichiiii tena uzee.
 
Sasa Ruge tu unaogopa kumfungukia hadi unatumia mafumbo kibao je ingekuwa Mzee Kipara wa kule usukumani? Anyway, muacheni Ruge ajilie vitu laini si wanataka wenyewe?
Na siku hizi hana ndevu.
 
Hao mabinti wanajipeleka wenyewe. Ukiona sehemu ya kazi mmtumishi wa kike anazini na msimamizi wake basi elewa kuwa hajiamini katika utendaji wake na hivyo kutaka protection.

Mimi nitamlaani huyo boss kwa kumzalisha mdogo wangu akiwa na miaka 14 tu na kuharibu maisha yake kabisa mpaka mauti yakamkuta.

RIP Bezamenyo
 
Mara nyingi vijana wengi huiga mifano mizuri ya mabosi wao. Bosi huyu sasa ana umri wa miaka 47 licha ya kuonekana kama mti mkavu.

Katika umri huo hana mpango wa kuoa bali ku hang out na mabinti tofauti. Alianza kula wafanyakazi wake kama bint Embe, bint aliamini angefunga ndoa na bosi huyo kabla ya kumfukuza kazi pamoja na kijana makatuni.

Bosi huyo kaendelea kuchafua kwa kumzalisha mtumishi wake bint Mstimu watoto wawili.

My take: Najua kuwa ni maisha yake binafsi lakini unatuumiza unapowazini Dada zetu na kuwatupa, umempotezea muda sana bint Embe.
Radio ya watu
Isiyopendwa na watu
Isiyopiga nyimbo za watu
Bali za wasanii wao
Wasiopendwa na watu.



Over!!!!
 
Back
Top Bottom