Bosi wa benki ya dunia kuja kuonana na Rais Samia

Bosi wa benki ya dunia kuja kuonana na Rais Samia

Taarifa ulizo nazo siyo sahihi. WB hawatoi mkopo kwa kila nchi isipokuwa kama hiyo nchi inafikia viwango vya lazima ambavyo ni pamoja na kuzingatia ustawi wa maisha ya raia.

Utawala wa marehemu Magufuli, mwanzoni ulikubaliwa kypewa mkopo toka WB kwaajili ya ujenzi wa barabara pana toka Dar mpaka Chalinze lakini baada ya kuwabomolea watu nyumba na kugoma kuwalipa fidia, WB ilifuta mkopo ambapo tayari ulikuwa umekubaliwa.
Uwe unasoma kwanza unaelewa kabla hujakurupuka kujibu.

Hapo juu nimekuwekea links zinazoonyesha wb kufadhili serikali za kidikteta na pesa walizotoa ikiwemo Zaire, Chile, Nicaragua na nyinginezo zikiwa zinatawaliwa na mapinduzi ya kijeshi na madikteta.

Jitahidi kutafta vyanzo mbali mbali vya habari ujiongezee maarifa kwanza.
 
wametishiwa kusitishiwa mikopo/
Kutishiwa ni tofauti kabisa na kusitisha.
Hawa jamaa huwa ni biashara yenye maslahi kwao...full stop!

Ukiona wanatoa tahadhari hivyo, wameshaona mazingira hatarishi kwa pesa yao sio vinginevyo.
 
Safi sana Karibu mgeni
Bosi wa Benki ya Dunia (Managing Director of Development and Partenership), Raia wa Indonesia, Maria Pangestu, anatarajiwa kuja #Tanzania wiki ijayo. Ni katika jitihada za Rais Samia Suluhu kutuimarisha kidiplomasia.

Rais Samia anafanya kazi nzuri sana katika eneo la Diplomasia ambalo bila kupepesa maneno, tunaona kabisa lilipwaya katika kipindi cha miaka sita iliyopita.

#MamaYukokazini

View attachment 2008109
 
Bank ya Dunia haina mambo ya diplomasia, wb wanaikopesha hadi korea kaskazini iliyojaa udikteta.

Wao wb wanachotafta ni biashara hakuna mahusiano eti siju diplomasia. Hizo ngonjera za kusifia sifia wadanganyeji mataahira wengine.
Hama Nchi kenge wewe,hizo chuki zako kwa Rais zitakuua
 
Bosi wa Benki ya Dunia (Managing Director of Development and Partenership), Raia wa Indonesia, Maria Pangestu, anatarajiwa kuja #Tanzania wiki ijayo. Ni katika jitihada za Rais Samia Suluhu kutuimarisha kidiplomasia.

Rais Samia anafanya kazi nzuri sana katika eneo la Diplomasia ambalo bila kupepesa maneno, tunaona kabisa lilipwaya katika kipindi cha miaka sita iliyopita.

#MamaYukokazini

View attachment 2008109
Anna Nkya feki unajua kwanini watu wanakudharau ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Bosi wa Benki ya Dunia (Managing Director of Development and Partenership), Raia wa Indonesia, Maria Pangestu, anatarajiwa kuja #Tanzania wiki ijayo. Ni katika jitihada za Rais Samia Suluhu kutuimarisha kidiplomasia.

Rais Samia anafanya kazi nzuri sana katika eneo la Diplomasia ambalo bila kupepesa maneno, tunaona kabisa lilipwaya katika kipindi cha miaka sita iliyopita.

#MamaYukokazini

View attachment 2008109
Bosi wa Benki ya Dunia (Managing Director of Development and Partenership), Raia wa Indonesia, Maria Pangestu, anatarajiwa kuja #Tanzania wiki ijayo. Ni katika jitihada za Rais Samia Suluhu kutuimarisha kidiplomasia.

Rais Samia anafanya kazi nzuri sana katika eneo la Diplomasia ambalo bila kupepesa maneno, tunaona kabisa lilipwaya katika kipindi cha miaka sita iliyopita.

#MamaYukokazini

View attachment 2008109
Jinsi alivyogawanya Ile mkopo hakuna mkuu yoyote wa dunia ataacha kuja

Wapemba oyeee

Wabara wezi sanaaa

Akitoka samia waingie Hussein mwingi. Wakitoka mwinyi aingie jusa etc
 
Bosi wa Benki ya Dunia (Managing Director of Development and Partenership), Raia wa Indonesia, Maria Pangestu, anatarajiwa kuja #Tanzania wiki ijayo. Ni katika jitihada za Rais Samia Suluhu kutuimarisha kidiplomasia.

Rais Samia anafanya kazi nzuri sana katika eneo la Diplomasia ambalo bila kupepesa maneno, tunaona kabisa lilipwaya katika kipindi cha miaka sita iliyopita.

#MamaYukokazini

View attachment 2008109
Siyo kwamba anakuja Kumkumbuka Madeni yaliyoko na kumwambia akope kwa Malengo na wao WB wanaona Aibu kuona nchi yenye Rasilimali nyingi kama Tanzania inakopa tu 24/7 wakati Taifa dogo kama Mfano la Rwanda halikopi hovyo Kwao na hawana Rasilimali nyingi na nchi yao inapiga Maendeleo ya haraka?
 
Bank ya Dunia haina mambo ya diplomasia, wb wanaikopesha hadi korea kaskazini iliyojaa udikteta.

Wao wb wanachotafta ni biashara hakuna mahusiano eti siju diplomasia. Hizo ngonjera za kusifia sifia wadanganyeji mataahira wengine.
Umeua mkuu, wajinga wengi sana hii nchi.
 
Back
Top Bottom