Boss wa GSM tajiri asie na maneno amfanyia mkewe birthday party nyumbani, haya ndiyo yaliyojiri

wee ni pimbi wala sina muda mchafu wa uchawa wa kijinga
 
Wakasahau vazi pendwa la kanzu
 
Jamaa mmoja apo juu anasema "Hawa viumbe(waarabu) akiwaona tu anapata hasira" mwingine kasema "Sherehe nzima amna mweusi zaidi ya ommy na Juksi"

Ngozi nyeusi tunashida sana,Tunataka kuonewa huruma muda wote tuu uko ulaya mchezaji mweusi akifanya kosa akaadhibiwa tunasema "Ubaguzi" kitu kidogo tu tunaliaa sasa mtu wa Oman uko GSM ata kishwaili ajui vizuri unataka sherehe ijae kina Mushi na Sele wa Bonyokwa kimara juu mabonde kuinama

BTW apo weusi ndo wamekula pesa kuanzia hao wasanii,Camera man zaidi ya 7,Mapambo wamepamba weusi wenzetu,Vinywaji na msosi vimeandaliwa na weusi ila uwezi kusikia wanalalamika coz wanazingatia maokoto na sio kutafta kuonewa huruma
 
Thread closed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…