BoT acheni Usumbufu juu ya pesa za watu

BoT acheni Usumbufu juu ya pesa za watu

minyoo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2013
Posts
22,405
Reaction score
21,100
Kutumiwa pesa toka nje ya Nchi sasa ni dhahama kubwa maofisa wa BOT wanaleta usumbufu mkubwa na baadhi wamegeuza kama kitengo cha kupigia pesa kwa kuwatisha waliotumiwa pesa kuwa watapewa kesi za utakatishaji pesa.

Utawala huu imepelekea wajanja wachache kutumia fursa hizo kujinufaisha na hapo hapo kuitengenezea BOT chuki kubwa toka kwa wafanyabiashara wakubwa na wananchi wa kawaida walioathirika na mfumo huo wa BOT ambao sasa umewapelekea baadhi ya wafanyabiashara kuhamishia pesa zao Uganda Zambia kenya kusiko na usumbufu juu ya pesa za mtu, hii ni mojawapo ya kero kubwa na imepelekea watu wengi kuzidi kumchukia Mkoloni kaburu mweusi ambaye wanaamini tarehe 28 ni bye bye na Nchi itaenda kupata uhuru upya na kuondokana na uonevu unyanyasaji uovu mwingi uliopo sasa.
 
Umeona ukisema kwa kutoa coment haitoshi ukaona uje uianzishie uzi kabisa.

Upumbavu zaidi ni hapo umeandika tu maneno ya kufikirika bila kuweka ushahidi.

Kwa taarifa yako tu huyo kibaraka wako wa Amsterdam haoati zaidi ya 20%
 
Umeona ukisema kwa kutoa coment haitoshi ukaona uje uianzishie uzi kabisa...
Hapo ulipo huna Ubongo ni mbumbumbu juha kilaza unashinda ukivuta Bangi gheto kwa cyprian Musiba unawezaje kujua chochote zaidi ya kukariri zidumu fikra zisizo za mtukufu mwenyekiti wa CCM na polepole, kwa taarifa yako Nchi inaenda kupata uhuru tarehe 28 jiandae kisakolojia
 
BOT ina akaunti za watu wa kawaida? Mi nikajua ni regulator tu na sio Bank ambayo mfanya biashara anafungua akaunti na kuhifadhi hela. Anyways, Worldremit ipo
 
Kuanzia kiasi gani ndio wanaanza mizinguo? Ukitumiwa kuanzia kiasi gani?
 
BOT ina akaunti za watu wa kawaida? Mi nikajua ni regulator tu na sio Bank ambayo mfanya biashara anafungua akaunti na kuhifadhi hela. Anyways, Worldremit ipo
Labda wanazo sensor huko kwenye watoa huduma za kifedha. Wakiwemo world remit kupitia mitandao
 
Labda wanazo sensor huko kwenye watoa huduma za kifedha. Wakiwemo world remit kupitia mitandao
Kisheria Ela yoyote kuanzia million 10 utoka nje ya nchi au inayoingua kwenye account yako lazima uitolee maelezo..hiyo Ni sheria dunia nzima
 
Labda wanazo sensor huko kwenye watoa huduma za kifedha. Wakiwemo world remit kupitia mitandao
BOT ni regulators tu. Huwezi kutumiwa pesa ukazifate BOT. Na kama umetumiwa hela nje na ni halali hamna haja ya kuogopa wala kutoa rushwa.
 
Nchi jirani wanakuza uchumi wao kwa watanzania kuweka pesa zao huko lakini BOT inadidimiza uchumi kwa kuwanyanyasa wenye pesa zao, alafu CCM wanakuja na kauli za uchumi wa kati ni uchumi wa kati upi wakati wafanyabiashara wamekimbiza pesa zao nje ya Nchi
 
Kisheria Ela yoyote kuanzia million 10 utoka nje ya nchi au inayoingua kwenye account yako lazima uitolee maelezo..hiyo Ni sheria dunia nzima
Kenya Uganda Zambia kenya hawana huo utaratibu wao ni ruksa kuingiza pesa zozote cha muhimu ni kuhakikisha kuwa pesa zote zinatumika kwenye mzunguko wa pale pale, usumbufu upo Tanzania unaweza kuingiza pesa zikiwa na Maelezo vizuri na bado wanakuletea usumbufu ndiyo maana wafanyabiashara wakubwa na wa kawaida wamehamishia A/C Nchi zingine kusiko na usumbufu kama wa BOT
 
Kutumiwa pesa toka nje ya Nchi sasa ni dhahama kubwa maofisa wa BOT wanaleta usumbufu mkubwa na baadhi wamegeuza kama kitengo cha kupigia pesa kwa kuwatisha waliotumiwa pesa kuwa watapewa kesi za utakatishaji pesa.

Dikteta wa utawala huu imepelekea wajanja wachache kutumia fursa hizo kujinufaisha na hapo hapo kuitengenezea BOT chuki kubwa toka kwa wafanyabiashara wakubwa na wananchi wa kawaida walioathirika na mfumo huo wa BOT ambao sasa umewapelekea baadhi ya wafanyabiashara kuhamishia pesa zao Uganda Zambia kenya kusiko na ushetani usumbufu juu ya pesa za mtu, hii ni mojawapo ya kero kubwa na imepelekea watu wengi kuzidi kumchukia Mkoloni kaburu mweusi ambaye wanaamini tarehe 28 ni bye bye na Nchi itaenda kupata uhuru upya na kuondokana na uonevu unyanyasaji uovu mwingi uliopo sasa.
This is hearsay. Otherwise bring evidence!
 
Uletewe hapo ulipo au uletewe wapi?
 
Mambo ya Nchi kuongozwa na limbukeni mshamba...
Ni Tabu sana Nchi inakosa pesa za kigeni kisa mtu mmoja kajipa cheo cha kuitizama pesa ya wtu binafsi kwa njia haramu za kishetani
 
Kuanzia kiasi gani ndio wanaanza mizinguo? Ukitumiwa kuanzia kiasi gani?
Kuanzia dola 5000 usipokuwa ngangari huzichukuchia, watu wengi mno wameporwa pesa zao lakini wametishwa kupewa kesi za utakatishaji pesa wakaamua kukaa kimya kwa hofu kubwa
 
Back
Top Bottom