Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Wakati ukitumiwa kwa worldremit au money wave ndani ya dakika umeshatuma na zimepokewa hata zaidi ya hizo.Unaandika kama mpumbavu, Unafikiri watu hawajui taratibu unajua wewe tu.
Transactions zimekua ngumu sana kwa sasa, wiki 2 unafuatilia muhamala wako.Ujinga mtupu.