wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,455
- 4,395
Nilishaliona pia hilo pale ATM za NMB Korogwe Kuna wakuria ofisi zao zipo jirani na Ofisi za Tigo Korogwe, nap ni hivyo hivyo .cha ajabu mtu ukikopa riba yao ni 50% huu wizi wa mchana
Hao wakopeshaji Ni wajanja sn... Utakuta Ana kiduka kidogo Cha vifaa Kama redio, tv nk... Sasa ule mkataba wa mkopo utasoma ulikopa kitu fulani na kitalipwa kwa mikupuo na riba kubwa..
Sio kwamba hawajulikani... Wanafahamika kwa kazi hiyo.
Tatizo Ni mikopaji kwenda kukopa kwa hiari yake... Pasipo kutoa taarifa sehemu husika Kama tra au bot...
Mbaya zaidi wanatumia risiti za Kuandika kwa mkono.