BoT Inawatambua Wakopeshaji wa Mitandaoni Wanne Pekee!

BoT Inawatambua Wakopeshaji wa Mitandaoni Wanne Pekee!

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema kati ya maombi 16 ya ‘aplikesheni’ yaliyopokelewa kwa ajili ya kutoa mikopo mtandaoni, manne pekee ndiyo yamekidhi vigezo na kupewa leseni za kukopesha, huku aplikesheni 55 zikikabidhiwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili ziondolewe mtandaoni.
1731329723519.png
Meneja Msaidizi Idara ya Huduma Ndogo za Fedha BoT, Mary Ngasa amesema programu zilizopewa kibali zinatakiwa kuweka wazi kuwa zinafanya kazi kwa mujibu wa leseni inayotolewa na BoT, kuweka wazi masharti ya mikopo pamoja na mawasiliano ambayo wateja wanaweza kuwasiliana nao kwa jambo lolote.

Aidha, amesema BoT imebaini ukiukwaji wa sheria kwa watoa huduma ndogo za fedha (microfinance) kwa kuanzisha programu za kukopesha mtandaoni kinyume cha sheria zilizowekwa.

Soma, Pia:
 
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema kati ya maombi 16 ya ‘aplikesheni’ yaliyopokelewa kwa ajili ya kutoa mikopo mtandaoni, manne pekee ndiyo yamekidhi vigezo na kupewa leseni za kukopesha, huku aplikesheni 55 zikikabidhiwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili ziondolewe mtandaoni.
Meneja Msaidizi Idara ya Huduma Ndogo za Fedha BoT, Mary Ngasa amesema programu zilizopewa kibali zinatakiwa kuweka wazi kuwa zinafanya kazi kwa mujibu wa leseni inayotolewa na BoT, kuweka wazi masharti ya mikopo pamoja na mawasiliano ambayo wateja wanaweza kuwasiliana nao kwa jambo lolote.

Aidha, amesema BoT imebaini ukiukwaji wa sheria kwa watoa huduma ndogo za fedha (microfinance) kwa kuanzisha programu za kukopesha mtandaoni kinyume cha sheria zilizowekwa.

Soma, Pia:
sawa
 
Mimi hili suala nimelivalia njuga na mpaka kieleweke labda kwa kuwasaidia ni kuwa Kuna makampuni kweli nayaona kwenye list ya watoa huduma ndogo ndogo za kifedha walioidhinishwa na BOT makampuni hayo ni
1. Singularity ambao Wanamiliki apps kama Mkopowako, na pesax
2. Nchimika company inayomiliki app ya mkopo poa
3. Sharp financial services inayomiliki app ya Flex cash
4. Puissant microfinance inayomiliki app ya Kili loan.
 
Taasisi husika zimelala. Mtu anaanzisha kukopesha kausha damu na anaofanya matangazo mtandaoni na anakausha damu za watu eti BOT au Wengine hawajastuka. Walaji wametapakaa kila taasisi, mnyonge atazidi kunyong'onyea.
Kwani nchi hii Kuna kausha damu kama ccm,hao wengine wote cha mtoto,ccm ndo kubwa lao
 
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema kati ya maombi 16 ya ‘aplikesheni’ yaliyopokelewa kwa ajili ya kutoa mikopo mtandaoni, manne pekee ndiyo yamekidhi vigezo na kupewa leseni za kukopesha, huku aplikesheni 55 zikikabidhiwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili ziondolewe mtandaoni.
Meneja Msaidizi Idara ya Huduma Ndogo za Fedha BoT, Mary Ngasa amesema programu zilizopewa kibali zinatakiwa kuweka wazi kuwa zinafanya kazi kwa mujibu wa leseni inayotolewa na BoT, kuweka wazi masharti ya mikopo pamoja na mawasiliano ambayo wateja wanaweza kuwasiliana nao kwa jambo lolote.

Aidha, amesema BoT imebaini ukiukwaji wa sheria kwa watoa huduma ndogo za fedha (microfinance) kwa kuanzisha programu za kukopesha mtandaoni kinyume cha sheria zilizowekwa.

Soma, Pia:
Nilikua na plani mbadala kuziondoa. Tuhamasishane tukope kwa wingi tusiwalipe zifilisike
 
Back
Top Bottom