BoT mulikeni huu wizi kwenye benki unaitwa "Processing fee"

BoT mulikeni huu wizi kwenye benki unaitwa "Processing fee"

Kama tujuavyo kwa sasa mfanyakazi anaweza kukopa online moja kwa moja kupitia ESS bila kwenda bank.

Lakini cha ajabu bado Riba ni kubwa na kuna Bima ya mkopo kubwa. Tukiachana na hayo ya bima na riba bado benki wanakata "Processing Fee" (gharama za mkopo, au ada ya mkopo).

Najiuliza mfanyakazi anaomba mwenyewe kwa mb zake, bado anakatwa riba ya mkopo asilimia 16-17, sasa hii gharama ya mkopo ni nini? Ni ya nini kama sio wizi? Yaani huo mkopo unagharamiwa nini?

Mfano, ukikopa ml. 15 NMB kwa miezi 108 utalipa ml 26+, utakatwa bima 1.2 m, gharama za mkopo 300k.

So katika mil 15 utakatwa 1.5, utapata 13.5 then uje kulipa milioni 26.
Duh!

Ila nani wa kutatua tatizo? Walikuwa wanakataa Dola hamna mtaani, wameanza kukubali hadi VP kaanza kuongea
 
Mikopo sio mizuri ila matatizo hayapigi hodi na inatulazimu kukopa.

Kama unakopa na hautaji kuumizwa na marejesho, kopa.

Kama unaona marejesho yatakuumiza, bora usikope pambana kwa njia nyingine.
Nina Imani wewe sio CCM. Kichwani uko vizuri mkuu.

Mkopo ni sumu!
 
Kama tujuavyo kwa sasa mfanyakazi anaweza kukopa online moja kwa moja kupitia ESS bila kwenda bank.

Lakini cha ajabu bado Riba ni kubwa na kuna Bima ya mkopo kubwa. Tukiachana na hayo ya bima na riba bado benki wanakata "Processing Fee" (gharama za mkopo, au ada ya mkopo).

Najiuliza mfanyakazi anaomba mwenyewe kwa mb zake, bado anakatwa riba ya mkopo asilimia 16-17, sasa hii gharama ya mkopo ni nini? Ni ya nini kama sio wizi? Yaani huo mkopo unagharamiwa nini?

Mfano, ukikopa ml. 15 NMB kwa miezi 108 utalipa ml 26+, utakatwa bima 1.2 m, gharama za mkopo 300k.

So katika mil 15 utakatwa 1.5, utapata 13.5 then uje kulipa milioni 26.
HV una akili Kweli wewe unaenda kukopa miezi 108 pesa kidg hvyo

Yaani milion 15 ukope kwa miaka 9 akili huwa zinakuwa wapi


HV uweI kuchanganua vzr kqamz hyo pesa Ni kidg ungetakiwa urudish milion 30 au 40
 
Huo mkopo una riba ndogo sana kama unakopa 15M, unapata 13.5 alafu utarudisha 26M kwa miezi 108.
Yaani kwa miaka 9 yote unafanya mrejesho wa mara mbili ya thamani ya sasa ya hela. Ningepata mkopo kama huu ningeukumbatia kwa nguvu zote.

Miaka 9 ijayo thamani ya TZS itakuwa imeshuka sababu ya inflation, si ajabu milioni 13.5 ya leo itakuwa sawa na milioni 20 ya 2033. Yani unipe hela leo alafu useme ndani ya miaka 9 niirudishe mara mbili yake tu, mbona kicheko kwangu.
Jamaa ni lijinga mno Kwanza anakopaje pesa kidg kwa miaka yote hyo
 
hakudumu sana akafa
20230928_200815.jpg
 
Hivi PBZ makafiri tunaruhusiwa kukopa uko, kama ambavyo wao wanaruhusiwa kutibiwa kwenye hospitali za kikafiri.
Mindset yako ndio jela yako. Ukiwa na upupu kichwani utabaki kukuna kichwa kila tatizo kumbe suluhu zipo.
 
Kama tujuavyo kwa sasa mfanyakazi anaweza kukopa online moja kwa moja kupitia ESS bila kwenda bank.

Lakini cha ajabu bado Riba ni kubwa na kuna Bima ya mkopo kubwa. Tukiachana na hayo ya bima na riba bado benki wanakata "Processing Fee" (gharama za mkopo, au ada ya mkopo).

Najiuliza mfanyakazi anaomba mwenyewe kwa mb zake, bado anakatwa riba ya mkopo asilimia 16-17, sasa hii gharama ya mkopo ni nini? Ni ya nini kama sio wizi? Yaani huo mkopo unagharamiwa nini?

Mfano, ukikopa ml. 15 NMB kwa miezi 108 utalipa ml 26+, utakatwa bima 1.2 m, gharama za mkopo 300k.

So katika mil 15 utakatwa 1.5, utapata 13.5 then uje kulipa milioni 26.
Crdb wanatuibia wanakata 13,000 kwa mwezi bila maelezo

Wakati wa mwendazake karibu na uchavuzi walislash Kila account ili kufanya uchavuzi feki
 
Tatizo watawala wakiwemo wa bunge hawatusaudii wananchi kutulinda zidi ya wezi kupitiia mabenki nchini.
 
Watu hawaangalii time value of money (TVM), mtu binafsi unaweza fanya huo ujinga kumkopesha mtu 15M akulipe 26M miaka 9 ijayo?

Benki hapo wamesaidia sana. Hiyo gharama nyingine tunayoona wala benki hawaichukui yote. Wanalipa kodi serikalini, wanalipia mifumo ya kibenki na usalama, wanalipia bima, gharama za uendeshaji, corporate social responsibility, etc.

Mkopo sawa na bure huo
Sio miaka 9. Mkopo huo anaanza kuurejesha ndan ya mwezi huo huo aliokopa.

Ndani ya miaka mitatu au minne Bank wanakuwa washachukua hiyo M 15.

Hiyo miaka 6 au 4 inayobak bank wanakomba faida tu
 
Back
Top Bottom