Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
Ila mkopo wote hausubiri miaka yote 9, si utaanza kurudisha tu baada ya mwezi?Naunga mkono hoja. Mkopo una riba ndogo sana. Maranyingi watu hawaangalii muda wa mkopo. Miaka9 kwa hiyo riba ni rafiki sana.
Duh!Kama tujuavyo kwa sasa mfanyakazi anaweza kukopa online moja kwa moja kupitia ESS bila kwenda bank.
Lakini cha ajabu bado Riba ni kubwa na kuna Bima ya mkopo kubwa. Tukiachana na hayo ya bima na riba bado benki wanakata "Processing Fee" (gharama za mkopo, au ada ya mkopo).
Najiuliza mfanyakazi anaomba mwenyewe kwa mb zake, bado anakatwa riba ya mkopo asilimia 16-17, sasa hii gharama ya mkopo ni nini? Ni ya nini kama sio wizi? Yaani huo mkopo unagharamiwa nini?
Mfano, ukikopa ml. 15 NMB kwa miezi 108 utalipa ml 26+, utakatwa bima 1.2 m, gharama za mkopo 300k.
So katika mil 15 utakatwa 1.5, utapata 13.5 then uje kulipa milioni 26.
Nina Imani wewe sio CCM. Kichwani uko vizuri mkuu.Mikopo sio mizuri ila matatizo hayapigi hodi na inatulazimu kukopa.
Kama unakopa na hautaji kuumizwa na marejesho, kopa.
Kama unaona marejesho yatakuumiza, bora usikope pambana kwa njia nyingine.
ESS wameona wajiwekee kakitega uchumiBank inakukata processing fee, na ESS wenyewe wanakukata processing fee.
Angalau ESS tunaweza kusema hicho wanachochukua ni sababu wamerahisisha kuondoa usumbufu wa kutembea umbali mrefu kuifuta huduma physically.ESS wameona wajiwekee kakitega uchumi
HV una akili Kweli wewe unaenda kukopa miezi 108 pesa kidg hvyoKama tujuavyo kwa sasa mfanyakazi anaweza kukopa online moja kwa moja kupitia ESS bila kwenda bank.
Lakini cha ajabu bado Riba ni kubwa na kuna Bima ya mkopo kubwa. Tukiachana na hayo ya bima na riba bado benki wanakata "Processing Fee" (gharama za mkopo, au ada ya mkopo).
Najiuliza mfanyakazi anaomba mwenyewe kwa mb zake, bado anakatwa riba ya mkopo asilimia 16-17, sasa hii gharama ya mkopo ni nini? Ni ya nini kama sio wizi? Yaani huo mkopo unagharamiwa nini?
Mfano, ukikopa ml. 15 NMB kwa miezi 108 utalipa ml 26+, utakatwa bima 1.2 m, gharama za mkopo 300k.
So katika mil 15 utakatwa 1.5, utapata 13.5 then uje kulipa milioni 26.
Jamaa ni lijinga mno Kwanza anakopaje pesa kidg kwa miaka yote hyoHuo mkopo una riba ndogo sana kama unakopa 15M, unapata 13.5 alafu utarudisha 26M kwa miezi 108.
Yaani kwa miaka 9 yote unafanya mrejesho wa mara mbili ya thamani ya sasa ya hela. Ningepata mkopo kama huu ningeukumbatia kwa nguvu zote.
Miaka 9 ijayo thamani ya TZS itakuwa imeshuka sababu ya inflation, si ajabu milioni 13.5 ya leo itakuwa sawa na milioni 20 ya 2033. Yani unipe hela leo alafu useme ndani ya miaka 9 niirudishe mara mbili yake tu, mbona kicheko kwangu.
yaani bodi ya staff officers imekaa na kukubaliana kitu kama hiki,na hawaoni tatizo kabisa😁😁😁.🤣🤣🤣
Yaani Ukope 1.7mil halafu wanakupa 200k Huo si utapeli kabisa..
Tatizo BOT wamekaa kimya sana
hakudumu sana akafa
Ess ukisha submit ombi la mkopo inachukua muda gani mzigo kuingia?Bank inakukata processing fee, na ESS wenyewe wanakukata processing fee.
Mindset yako ndio jela yako. Ukiwa na upupu kichwani utabaki kukuna kichwa kila tatizo kumbe suluhu zipo.Hivi PBZ makafiri tunaruhusiwa kukopa uko, kama ambavyo wao wanaruhusiwa kutibiwa kwenye hospitali za kikafiri.
Crdb wanatuibia wanakata 13,000 kwa mwezi bila maelezoKama tujuavyo kwa sasa mfanyakazi anaweza kukopa online moja kwa moja kupitia ESS bila kwenda bank.
Lakini cha ajabu bado Riba ni kubwa na kuna Bima ya mkopo kubwa. Tukiachana na hayo ya bima na riba bado benki wanakata "Processing Fee" (gharama za mkopo, au ada ya mkopo).
Najiuliza mfanyakazi anaomba mwenyewe kwa mb zake, bado anakatwa riba ya mkopo asilimia 16-17, sasa hii gharama ya mkopo ni nini? Ni ya nini kama sio wizi? Yaani huo mkopo unagharamiwa nini?
Mfano, ukikopa ml. 15 NMB kwa miezi 108 utalipa ml 26+, utakatwa bima 1.2 m, gharama za mkopo 300k.
So katika mil 15 utakatwa 1.5, utapata 13.5 then uje kulipa milioni 26.
Sio miaka 9. Mkopo huo anaanza kuurejesha ndan ya mwezi huo huo aliokopa.Watu hawaangalii time value of money (TVM), mtu binafsi unaweza fanya huo ujinga kumkopesha mtu 15M akulipe 26M miaka 9 ijayo?
Benki hapo wamesaidia sana. Hiyo gharama nyingine tunayoona wala benki hawaichukui yote. Wanalipa kodi serikalini, wanalipia mifumo ya kibenki na usalama, wanalipia bima, gharama za uendeshaji, corporate social responsibility, etc.
Mkopo sawa na bure huo
ShidaHii nchi bhana