BoT mulikeni huu wizi kwenye benki unaitwa "Processing fee"

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜
 
So painful mazee na kwa sasa ni aibu Rais wenu kayachia mabenki yamepandisha riba ni hovyo na aibu
 
mzee usibishe babu.

hao ni NMB na kama inapungua kidogo hapo nilipotaja basi ni laki au laki na nusu.
kuna bima hapo na ada,zote hizo ndio gharama zake hizo.

kama ni 17%-16% ya mkopo unadhani unadhani itakuwa shilingi ngapi kwa 15ml??
Hapa ulikuwa wachukua mkopo wa 1.7m na si 15m.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…