The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
-
- #21
Tupe za uhalisia mkuu ikiwa exports zimeongezek,utalii umeongezeka,huduma mbalimbali zinaongezeka, makusanyo ya serikali yanaongezeka nk wewe unasema ni blaa blaa?Hizi ni takwimu za kisiasa, hazina uhalisia
Sasa Mzee kwani contraction ndio recessionYaani utoe hela kwenye mikono ya watu kupitia tozo, hela ambazo wangetumia kununulia = reduction in purchasing power.
High inflation duniani kutokana na bei ya nishati na chakula = reduction in purchasing power
Variable zote hizo duniani zinakwambia kutakuwa na contraction ya uchumi.
Uchumi ni science events zilizopo zinabashiri hali ya uchumi. Ndio maana sidhani kama kuna nchi ina project growth zaidi ya zile ambazo serikali ina vyanzo vya nishati.
Mambo mengine ndio maana duniani tunaonekana watu wa ovyo; ata ukiangalia news za kimataifa wakizungumzia masoko ya hisa africa na E.A unaweza sikia shares za masoko ya Uganda na Kenya; lakini kamwe Tanzania is not mentioned ni kwamba data
Hapana, lakini contraction ni one of the stages kuelekea recession.Sasa Mzee kwani contraction ndio recession
Uko juu sana kulinganisha na wapi?Ndiyo maana mfumuko wa bei uko juu sana
Ndio hivyo , uchumi umereboundHapana, lakini contraction ni one of the stages kuelekea recession.
Ebu niambie wewe difference.Sasa Mzee kwani contraction ndio recession
Wewe Mwigulu kama unajiamini toka mafichoni uwe verified userTupe za uhalisia mkuu ikiwa exports zimeongezek,utalii umeongezeka,huduma mbalimbali zinaongezeka, makusanyo ya serikali yanaongezeka nk wewe unasema ni blaa blaa?
Saizi hadi Vijijini huko Kuna lami π
Ukisema rebound ni another concept- inamaanisha uchumi ume-recover either from contraction or other shocks.Ndio hivyo , uchumi umerebound
Kwanini usijadili Takwimu zilizowekwa hapo juu badala yake unamtaka mh Waziri, kwa hiyo akija hapa ndio zitabadili hizo takwimu au wewe unatakajeWewe Mwigulu kama unajiamini toka mafichoni uwe verified user
Binafsi nilivyomwelewa mjibu hoja ni kwamba,Sasa Mzee kwani contraction ndio recession
Mkuu umepotea sana! Tulikumiss jukwaani, ulikuwa wapi?Research inapingwa Kwa research...no research no right to speak
Toa upuuzi wako hapa, hio 5.4% imeongezeka kwenye mifuko ya walamba asali na sio kwawaalahoi BOT wawe makini.Nawasalimu kwa jina la JMT,
Kwa mujibu wa Gavana wa BOT Prof. Luaga, uhumi wa Tanzania umekuwa kwa asilimia 5.4% kwa robo ya kwanza ya mwaka 2022 kinyume na malengo ya matarajio yaliwekwa ya ukuaji wa asilimia 4.7%.
Moja ya sekta zilizochangia ukuaji mkubwa ni kuimarika kwa sekta ya utalii.
Kwa mwendo huu "The future is bright na nchi iko kwenye right track", in Jiwe's voice.
Kongole nyingi sana kwa Rais Samia na Waziri wa Fedha Comrede Mwigulu.πView attachment 2367489View attachment 2367490
Hivi aliyewadanganga kwamba inflation manake Hali ya uchumi itakuwa mbaya ni nani?Binafsi nilivyomwelewa mjibu hoja ni kwamba,
Ni ngumu uchumi ku-rebound hasa ukizingatia kiwango kikubwa cha inflation ndani ya nchi, from an economic point of view in make sense kwa sehemu fulani.
Inflation ina affect disposable income ambayo ina direct effect kwenye household consumption na GDP growth..
Sawa tuu kwani kuna shida? Waliopata pesa miongoni mwao ni Hawa hapa πToa upuuzi wako hapa, hio 5.4% imeongezeka kwenye mifuko ya walamba asali na sio kwawaalahoi BOT wawe makini.
Yes kwa sababu last year ulikua kwa wastani WA 4.8 so kama first kota imefika 5.4% ni wazi hautapungua chini ya 5% mwaka huu maana kotanya kwanza ndio huwa base ya projection..Ukisema rebound ni another concept- inamaanisha uchumi ume-recover either from contraction or other shocks.
Kwa takwimu ulizoleta, if accurate, YES, uchumi utakuwa ume- rebound.
Recession ni growth below zero au negative growth na contraction ni increase at decreasing rate.Ebu niambie wewe difference.
πππππNina wasiwasi izo dta nbs hawajaweka na walisema atatangaza raisi ila yeye anazo za census 2022 huyu mwigulu au makambaWewe Mwigulu kama unajiamini toka mafichoni uwe verified user
Rais atatangaza data za Uchumi aunza idadi ya watu? Acha ujinga.πππππNina wasiwasi izo dta nbs hawajaweka na walisema atatangaza raisi ila yeye anazo za census 2022 huyu mwigulu au makamba