BoT yazuia matumizi ya pesa ya kidigitali - Crypto currency


Bilgate sio Mungu, although he is the richest man but he cant get everything correct: wewe unamuona bilgate witht the face of microsoft tu lakini bilgate has many failed bussiness:
 
Soma attachment uielewe mkuu !
 
Bilgate sio Mungu, although he is the richest man but he cant get everything correct: wewe unamuona bilgate witht the face of microsoft tu lakini bilgate has many failed bussiness:
How about govement of china ??
How about japani ?
How about Uk ?
Are they fool ?
Until to allow btc to destroy their economic What you don't know m pesa it's was started like btc ?
Siku utakapoijua utakuwa umechelewa
 
Ujui unachokiongea ww ni smart kuliko billagate kwny biashara ?
Kwahiyo marekani china Na ulaya nzima ni wajinga kutoizuia kitu usicho kijua ni kwamba haizuiliki ila nakupa pole kwa kutotambua mapema
Naelewa vizuri ninachokiandika, naielewa vizuri Forex, naielewa vizuri hiyo cryptocurrence na makandokando yake, Watanzania bado hatuko tayari kwa mambo haya.

Usijekuiga kila alifanyalo Billgates yule mwenzio hata University hakumaliza, sasa na wewe muige kula boom, drop out studies University halafu ndio utaijuwa tofauti ya Marekani na vinchi vya kusadikika.
 
Bilgate sio Mungu, although he is the richest man but he cant get everything correct: wewe unamuona bilgate witht the face of microsoft tu lakini bilgate has many failed bussiness:
Ninapotoa reference ya Billgate nataka upate picha ya taasisi yenye washauri makini na wasomi wa kiwango Cha dunia zaidi ya 500 wanaofanya utafiti na kumshauri boss Billgate aweke hela zake au akaushe.
Wewe unadhani Bakheressa anatoa hela hovyo hovyo kwa Sasa. Anatoa soon anaposhauriwa na board of directors ya financial advisors. Ndio sababu hawezi kufail kiboya tena.
Umesikia kijana wangu?
 
How about govement of china ??
How about japani ?
How about Uk ?
Are they fool ?
Until to allow btc to destroy their economic What you don't know m pesa it's was started like btc ?
Siku utakapoijua utakuwa umechelewa
Muache huyo kilaza aendelee kubwabwaja soon atashituka 1btc =$1million by December,31,2020 abaki kutoa mimacho yake mekundu
 

hawezi kufail? ivi unadhan baada ya microsoft kuna any biz alianzisha ilienda viral ukitoa excel, word na izi package zake? have u ever heard of traff o data?
 
hawezi kufail? ivi unadhan baada ya microsoft kuna any biz alianzisha ilienda viral ukitoa excel, word na izi package zake? have u ever heard of traff o data?
Kwann una make claming kwa billigate wakati Ni the whole world kuna makampuni ya magari unanunua kwa btc kama uption of payments
 
The Rwandan central bank is looking into ways it could potentially issue its own digital currency to make the processing of transactions more efficient and to boost economic growth.

The National Bank of Rwanda plans to learn from the experiences of central banks such as Canada, Singapore and the Netherlands, which have tested the use of blockchain technology, Financial Stability Director-General Peace Masozera Uwase said in an interview in the capital, Kigali.
 
Kwann una make claming kwa billigate wakati Ni the whole world kuna makampuni ya magari unanunua kwa btc kama uption of payments

because we are different economies: huezi chukulia mfano wa sehem kama hio ukaileta kwenye nchi kama yetu, na sipingi matumizi ya crypto maana kila mtu ana kona zake za kutoka kimaisha , ila am against kwamba sehem flan wametumia na sisi tutumie


mfano sisi nchini kwetu bado watu hawana elimu sana ya crypto: ni tafaut na bilgates ambae anajua in and out za OS yake, minning znarun kwenye OS yake: he has more data than we have, afrika sku zote tunaangukiaga pabaya so lazma elimu kwanza
 
Muache huyo kilaza aendelee kubwabwaja soon atashituka 1btc =$1million by December,31,2020 abaki kutoa mimacho yake mekundu
Hakuna shortcut wala miujiza kwenye maisha.

Tena ni afadhali hata wale wanaolima matikiti kwenye magroup ya WhatsApp wanahitaji muongozo mdogo tu waende field na watafanikiwa, lakini nyinyi mnaowaza kuingiza pesa huku una glasi ya Whisky mkononi nawapa pole.
 
Kiukweli wakubwa mimi mwenyewe nilikuwa nikiizarau sarafu ya bitcoin lakini baada ya kusoma teknolojia iliyo nyuma yake sasa hivi najichanga niwekeze huko hats tsh 1m sio mbaya kwa kipato changu cha kuunga unga
 
Kabla ya kuanza kutumia bitcoin u nashauriwa kuangalia faida na hasara utakayoweza kuipata ndipo uchukue maamuzi sahihi.
Lakini Hasara ya bitcoin ni kama ya matumizi ya vipodozi vya chemikali. Hutaipata hasara leo
 
Kiukweli wakubwa mimi mwenyewe nilikuwa nikiizarau sarafu ya bitcoin lakini baada ya kusoma teknolojia iliyo nyuma yake sasa hivi najichanga niwekeze huko hats tsh 1m sio mbaya kwa kipato changu cha kuunga unga
Miezi kadhaa iliuzwa kwa million 16 kwa Bitcoin moja Leo hii. Moja imefika zaidi ya million 20 kwa coin moja na inazidi kupanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…