Yajayo_yanafurahisha
Senior Member
- Jul 29, 2020
- 156
- 401
Kuunga wapi Wewe unaandika Kwa mihemkoTzn Ina Rasilimali za kuunga unga ndio maana huwezi ona serious investors wakiweka pesa
OkShida ya Burundi Iko wazi hakuna usalama na utulivu wa Kisiasa kama Rwanda so Bado nao wanajitafuta.
Wakisettle Kisiasa Burundi Ina nafasi kubwa ya kuendelea kuzidi hata Rwanda maana wanasema Ina Ardhi nzuri ya Kilimo,Madini na beaches.
Sijakuelewa. Una maana Rwanda Wana ardhi kubwa ya kilimo. Be serious ukubwa wa Rwanda ni kama mkoa mmoja wa Tanzania wewe unakuja kudai Wana eneo kubwa la kilimo. Rwanda chakula Wana import kutoka Uganda Kenya Congo au TanzaniaAliyekudanganya kwamba Rwanda Ina limited resources mwambie atunge uongo mwingine na excuses nyingine itakayomsaidia Kagame kuondoa aibu ya Kushindwa kukatoa hako Kanchi kwenye LDC
Mimi Huwa sio mtu wa story za kuambiwa 👇👇View attachment 2961489View attachment 2961490
Una uhakika Rwanda ana utajiri wa Ardhi?. Really. Nchi ilivyo ndogo.Ili kuendelea lazima uwe na Bandari? Huu ujinga alikulisha nani?
Una uhakika Rwanda Haina Madini? Nikuoneshe utajiri wa Madini Yao?
Una uhakika hana Ardhi? Nikuoneshe utajiri wa Ardhi zao?
Tzn Ina Rasilimali za kuunga unga ndio maana huwezi ona serious investors wakiweka pesa
Hiyo Paragraph ya mwisho ifute......Zaidi ya watu mil.11 .Kwani Botswana imepiga hatua lini si ni recently tuu baada ya kupata wawekezaji seriously kwenye Mali zao kuu almasi.
Watanzania tuko zaidi ya 65mln , Rasilimali za Tzn ni za kuunga unga
Sure..wish Watanzania wote walifahamu hili..CCM ni janga la TAIFASimple. Kwao hawana CCM
Mzungu kwa kenyata alikuwa kama mchepuko tu.... Lakini bwana Khama alichukua Ruth kama mke halali... Hivyo heshima ya bwana Khama ni tofauti na Kenyatta kwa wakwezeHapana mkuu, hata Kenyatta alioa Mzungu. Hao jamaa wanamind there own business. Sio Nyerere badala ya kuendeleza nchi akachukua hela za maendeleo na kwenda kupiganisha mavita ya uhuru kila mahali mikataba. Matokeo tumebaki kuimba mtakatifu Nyerere wakati mtanzania anaonekana choo tu hapo South Africa
Sasa hapo si kama M.city upige picha usiku tu,au Makumbusho usiku achana na postaWelcome to Botswana 🇧🇼
In Botswana, citizens get free land, free healthcare, and free education.
University students receive $154 in allowances monthly.
It has low debt.
It has Africa's best Police service.
It is an upper-middle-income country.
It has Africa's highest credit rating.
It is one of the safest countries in Africa.
Citizens have visa-free access or visa-on-arrival status to 87 countries including the UK.
View attachment 2961420
Huyu ni Serestse khama?Siri ni hii hapa,
View attachment 2961469
Kwa kifupi hawawezi kumuumiza shemeji yao... Dada yao atapata shida... Maana dada mtu alikolea sana kwa jamaa,, na alikuwa yupo teyari kwa lolote.... Wakaona isiwe tabu....
Nimesema kama atatokea kiongozi mwenye weledi kuendesha huo mradi.Ikija kuleta faida nitakula mavi yako
Hela zote wanakula viongoziTatizo letu ni CCM
Tanzania haina rasilimali za kuunga bali viongozi wapigaji.Tzn Ina Rasilimali za kuunga unga ndio maana huwezi ona serious investors wakiweka pesa
Ningejua km izo Kama sijafika. Udogo wa watu au wingi wa watu hauna maana kimantiki. Sawa ni watu wadogo na wachache na kubali. Kwahiyo unaona wingi wa watanzania ndiyo kunafanya tuwe tulivyo? Kwa china tunaingia Mara ngapi kwa wingi? China ina watu billion Moja na milioni mia mbili. Basi ndiyo wangekua masikini zaidi duniani Kama kuwa wengi ni kuwa masikini na udogo wa watu ndiyo kuwa na uwezo. Narudia kubali kataa Uongozi Bora wenye maono na uzalendo wa kweli ndiyo chimbuko la maendeleo kwa nchi zote duniani.Ni nchi kubwa kieneo lakini sehemu wanakoishi watu ni sehemu ndogo. Umeshawahi kufika Botswana kwanza ili tuongee ukiwa na ufahamu.
SawaNingejua km izo Kama sijafika. Udogo wa watu au wingi wa watu hauna maana kimantiki. Sawa ni watu wadogo na wachache na kubali. Kwahiyo unaona wingi wa watanzania ndiyo kunafanya tuwe tulivyo? Kwa china tunaingia Mara ngapi kwa wingi? China ina watu billion Moja na milioni mia mbili. Basi ndiyo wangekua masikini zaidi duniani Kama kuwa wengi ni kuwa masikini na udogo wa watu ndiyo kuwa na uwezo. Narudia kubali kataa Uongozi Bora wenye maono na uzalendo wa kweli ndiyo chimbuko la maendeleo kwa nchi zote duniani.
Lucas Mwasha mbwa na Chama chake cha Chanzo Cha Matatizo (CCM).watu dizain ya Lucas Mwashambwa ndio kikwazo
Nashukuru kwa ufafanuziHuyo Mr ni bwa seretse Khama na Mrs hapo Ruth Khama... Huyo bwana alikuwa raisi wa Botswana alipelekwa ulaya kusoma alivyomaliza chuo akrudi nyumbani na Binti wa kizungu ambaye ni mkewe na kisha kuanza harakati za kisiasa na bibiye huyo wa kizungu na hatimaye kuwa raisi wa nchi na bibiye huyu wa kizungu kuwa first lady wa miongoni mwa nchi tajiri kwa madini afrika..... Kipindi cha uongozi wa huyo bwana Khama ndipo kulitokea mapinduzi ya kiuchumi ya halo ya juu sanaaaa!!!......... Ila kwa kufupisha badae mwanae pia alikuja kuwa raisi wa nchi..... Zaidi ingia maktaba au kama huwezi au huna maktaba google tu... Utapata...
Huyu ni nani mkuu, huyu mzunguSiri ni hii hapa,
View attachment 2961469
Kwa kifupi hawawezi kumuumiza shemeji yao... Dada yao atapata shida... Maana dada mtu alikolea sana kwa jamaa,, na alikuwa yupo teyari kwa lolote.... Wakaona isiwe tabu....
Mradi upi umeleta hasara mkuu ?!Kuna mtu hana mdomo Nchi hii? Miaka 5 alifanya lipi Ili tuwe donor country? Au ni hayo mamiradi yanayoleta hasara?