Upo right mkuu mimi nilisaidiwa sana pale Pandamatenga Barracks,matengenezo ya gari ya bure,coffee safi na kuwa adviced kuwa sio vema to drive usiku na wanyama wengi mbugani,nikapewa godoro main gate!asubuhi nikaanza ila nili drop name,offcourse Nyerere!!Nilienda nikaingia hozpitali ya jeshi kasane nikapata huduma ya afya kutoka kwa kamanda na akanipa dawa za kutosha nilikuwa nasumbuliwa na mafua makali nikapewa hadi vidonge vya vitamin c , bureee nikachapa lapa
Tanzania hapa tunatakiwa mambo yote yaratibiwe na Tume ya mipango ndio wapange vipaombele,namna ya kuviteleza,mda na tuwe na assessment ya mrejesho.Democary haiwezi kufanya kazi kweny watu wengi
wanaharakati samtaim mapimbi sana. ni kama ukimani kuzimu bongo tembo kila leo wanaleta madhara makubwa. walipaswa kudhibitiwa uzalianaji waoBotswana siyo ndogo. Imeizidi Zimbabwe kwa ukubwa, inakaribia kulingana na zambia, Rwanda inaingia karibu mara ishirini kwa Botswana. Uganda ni mara mbili kwa ukubwa na Botswana.
Wana Tembo wengi hadi imekuwa kero wanataka kuwapunguza kwa kuwaua hadi wanaharakati wamewajia ulaya wamewajia juu. Majuzi wamewapa Angola Tembo 8000 na msumbiji Tembo mia 5.
CCM usipokuwa mwizi unatengwa au kufukuzwa kabisa.Botswana na Namibia wana unafuu wa maisha kwasababu wamedhibiti rushwa na ufisadi. Wee fikiria kama CCM isingekuwa inaiba tungesave zaidi ya trillion 50 kwa mwaka. Tungelipa na kupunguza deni la taifa na kuwekeza kwenye maendeleo. Ni ufisadi rushwa na utawala mbovu tu ndo chanzo cha nchi nyingi kuwa maskini.
Ukiacha hicho mnachoita wizi ila binafsi ukiniuliza Kwa nini tuna maendeleo ya kusuasua nitakwambia tuna shida ya kuchagua vipaombele na pia kufanya mambo kiujumla Jumla.Wabongo kuna watu wamejichagua wawe wanaiba chochote kinachoingia kwenye hazina
Yaani hawafiki hata 1m ila ndio kama familia ya majizi
Hakuna anaefungwa zaidi anapewa ndugu mwingine
Hatupo serious na maisha kabisa
Wenzetu mpaka Kenyans wameenda huko na kuanza Ranches za mifugo
Unapewa ardhi na unalindwa
24hrs patrol
Huwezi kuhamisha mifugo sehemu mpaka sehemu bila kuijulisha serikali ili upate kibali, hiyo ni kwa usalama wako na mifugo
Simu moja tu police wako na wewe hakuna cha ooh hatuna gari au tuwekee mafuta tuma hela kwenye Mpesa
Huyo Mr ni bwa seretse Khama na Mrs hapo Ruth Khama... Huyo bwana alikuwa raisi wa Botswana alipelekwa ulaya kusoma alivyomaliza chuo akrudi nyumbani na Binti wa kizungu ambaye ni mkewe na kisha kuanza harakati za kisiasa na bibiye huyo wa kizungu na hatimaye kuwa raisi wa nchi na bibiye huyu wa kizungu kuwa first lady wa miongoni mwa nchi tajiri kwa madini afrika..... Kipindi cha uongozi wa huyo bwana Khama ndipo kulitokea mapinduzi ya kiuchumi ya halo ya juu sanaaaa!!!......... Ila kwa kufupisha badae mwanae pia alikuja kuwa raisi wa nchi..... Zaidi ingia maktaba au kama huwezi au huna maktaba google tu... Utapata...Mkuuu fafanua tafadhali
Fisiemu ni mzigo mzitokama zile tirion zinazopotea kila siku kwenye riport ya CAG ..... zingekuwa zinawekewa sheria kali hatimaye zikarud tungekuwa tumefika mbali.....lkn tz ya viwonder inasikitisha
Hiko chama kina haki ya kulaumiwa kwa sababu kipo madarakani , ila ukiangalia kwenye hivi vyama vingine harufu ni ile ile tu.CCM usipokuwa mweizi unatengwa au kufukuzwa kabisa.
Tunaweza ila tuu kama tutapata akili za kufanya hivyo.Hivi huu ujasiri wa kusema ni nchi ndogo mara watu wachache, huwa mnautoa wapi? Ninyi wenye watu wengi patengenezeni basi hata Njombe au Makambako pawe pa kuvutia ili iwe mfano!?
Ukitaka kufahamu Tanzania ni masikini sana ukilinganisha na Botwana angalia GDP per capita.Rwanda ingekuwa kama Botswana chini ya Kagame ingekuwa kama Taiwan. Kagame licha ya ukatili wake anaweza kufanya Rwanda kuwa na unafuu licha ya limited resources. Angalia tu kama kwenye utalii yani sokwe mountain gorilla wachache amefanya utalii wa hatarii huku kwetu Tanapa wanaiba balaa.
Lakini imefeli kujiongoza yenyeweHaijawahi kuongoza nchi ika fail miserably kama ccm
Mkuu umesema kweli kabisa kuna wakati nilikuwa naendea malori Horohoro ndio border ila njia ya kuunganisha karibu na nchi jirani ilikuwa hovyo sanaUkiacha hicho mnachoita wizi ila binafsi ukiniuliza Kwa nini tuna maendeleo ya kusuasua nitakwambia tuna shida ya kuchagua vipaombele na pia kufanya mambo kiujumla Jumla.
Mfano mdogo ni kwenye Barabara.Tunahitaji Barabara zaidi kuifungua Nchi kuliko miundombinu mingine ya usafiri.
Lakini hapo hapo kwenye Barabara tunatapanya Rasilimali bila kuwa na Barabara za vipaombele utakuta Kila Mkoa tunajenga vibarabara vya km 10,6,6,15,30,8,50 nk wakati tungekuwa na Barabara kadhaa za vipaombele zingeisha Kwa wakati zinaendelea Kuzalisha na tunahamia kwingine.
Angalia hapa yaani Waziri anaenda kuweka Jiwe la msingi Barabara ya km 6 out of 60 zinazoktakiwa Sasa hizi ni akili au ujinga wa Watanzania?
View: https://twitter.com/WizarayaUJ/status/1776596912470139079?t=WAehp_fLCnWhiGbT7Xhi8Q&s=19
Nchi haiwezi kuendelea Kwa utaratibu wa kutapanya Rasilimali Kwa maslahi ya Kisiasa Kwa sababu ya watu wajinga.
Miradi ya mwamba jiwe yote Ina faida ila ufisadi wa awamu hii ndo unaolitia hasara taifaKuna mtu hana mdomo Nchi hii? Miaka 5 alifanya lipi Ili tuwe donor country? Au ni hayo mamiradi yanayoleta hasara?
Faida ipi hiyo ukiacha bwawa linaloleta Mafuriko? Nitajie mradi wowote wenye faidaMiradi ya mwamba jiwe yote Ina faida ila ufisadi wa awamu hii ndo unaolitia hasara taifa
Wewe umebeba kichwa au furushi kwani mafuriko rufiji yameanza Leo na je huko Arusha na morogoro Kuna mafuriko nayo yameletwa na bwawa?Faida ipi hiyo ukiacha bwawa linaloleta Mafuriko? Nitajie mradi wowote wenye faida
Nitajie mradi mkubwa wenye faida ukiacha bwawa sio hizi taarabu zako.Wewe umebeba kichwa au furushi kwani mafuriko rufiji yameanza Leo na je huko Arusha na morogoro Kuna mafuriko nayo yameletwa na bwawa?