Ila hiyo haiwezi kuwa sababu peke yake, ni lazima viongozi wao waliamua kubadili maisha ya wananchi. Angalia Equitoria Guinea, ina watu takribani 1.7 milioni na utajiri mkubwa kabisa wa mafuta, lakini maisha ni ya kuunga unga.Ila watu 2.5mln only with abundant resources