Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Unajuaje hapo suala ni mwanamke?Ndiyo, haina tofauti na ile ya kina Nape ya mwanaume kutembea juu ya migongo ya wanawake waliolala chini.
Kwani rais katembea juu ya mgongo hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajuaje hapo suala ni mwanamke?Ndiyo, haina tofauti na ile ya kina Nape ya mwanaume kutembea juu ya migongo ya wanawake waliolala chini.
Umekiona chombo lkn 😄🔥Mpk we ume comment 😄
Masisi alifanya ujinga yule. Alimwekea bifu la kijinga his predecessor one of the Botswana's best ever for nothing.Demokrasia wakati mwingine huwa inaleta vitu vya ajabu sana, ni kama hamna kitu humo kwa huyo Rais mpya wa Botswana, ila ndio hivyo raia wakishachoka huwa wanasema bora wapigie hata jiwe kura kuliko establishment .
View attachment 3147305
View attachment 3147306
Mimi ni muumini wa demokrasia bila kujali matokeo ya demokrasia, kulalamika au kukosoa matokeo ya demokrasia sio sawa na kuichukuia demokrasia, hakuna mbadala wa demokrasia, bora wendawazimu wapatikane kwa njia ya demokrasia kuliko wenye akili timamu wanaopatikana kwa udikteta/uimla.Hotuba ya Putin ina kuhusu sana,
Mnalilia demokrasia kila siku humu, demokrasia ikifanya mambo yake mnaanza Kulalamika tena.
Ni kweli mkuu Ian Khama alikuwa mmoja wa marais bora wa bara la Africa, ndio Rais pekee alikuwa anaweza kuwapa makavu madikteta wa Africa kama Mugabe, hata vikao vya AU alikuwa haendi mara nyingi anasema ni kupoteza muda tu, alimaliza kabisa uwindaji haramu Botswana. Nilishangaa sana Masisi kuanza kumsumbua na kumfanyia harassment za kipuuzi baada ya kuondoka madarakani na wakati alikuwa na mchango mkubwa sana yeye kuupata urais wenyewe.Masisi alifanya ujinga yule. Alimwekea bifu la kijinga his predecessor one of the Botswana's best ever for nothing.
Kwani wapi ninesema wanaume wa Botswana wanawapigia magoti wanaume wenzao?Inawezekana nimepotoka mkuu, labda unaweza kunionyesha picha ya mwanaume huko Botswana akiwa amempigia mwanaume mwenzake magoti wakati wanasalimiana.
Umeniuliza swali "umejuaje swala hapo ni mwanamke", mimi nimejibu kwa muktadha huo tu, sijajielekeza kwamba wanaufanya kwa hiyari au kwa kulazimishwa, sijasema nataka kuwaondolea utamaduni wao na pia sijataka kuwa na interest na tamaduni zao nyingine kwa sasa kama hizo za kuoa wanawake wengi(ikiwa kweli kama ni moja ya tamaduni zao)Kwani wapi ninesema wanaume wa Botswana wanawapigia magoti wanaume wenzao?
Hili ni suala la utamaduni wao, wanaufanya kwa hiyari yao, wewe kwa nini unataka kuwaondolea utamaduni wao?
Utataka na wanaume wanaooa wake wengi kwa utamaduni wao nao wasioe hivyo kwa sababu ya usawa wa wanawake?
General Ian Khama with British ancestry to put it clear.Ni kweli mkuu Ian Khama alikuwa mmoja wa marais bora wa bara la Africa, ndio Rais pekee alikuwa anaweza kuwapa makavu madikteta wa Africa kama Mugabe, hata vikao vya AU alikuwa haendi mara nyingi anasema ni kupoteza muda tu, alimaliza kabisa uwindaji haramu Botswana. Nilishangaa sana Masisi kuanza kumsumbua na kumfanyia harassment za kipuuzi baada ya kuondoka madarakani na wakati alikuwa na mchango mkubwa sana yeye kuupata urais wenyewe.
Hujataka kuwa na interest na tamaduni zao nyingine ila unataka kuwapangia ceremonies zao?Umeniuliza swali "umejuaje swala hapo ni mwanamke", mimi nimejibu kwa muktadha huo tu, sijajielekeza kwamba wanaufanya kwa hiyari au kwa kulazimishwa, sijasema nataka kuwaondolea utamaduni wao na pia sijataka kuwa na interest na tamaduni zao nyingine kwa sasa kama hizo za kuoa wanawake wengi(ikiwa kweli kama ni moja ya tamaduni zao)
Kuna majanga gani hapa?Demokrasia wakati mwingine huwa inaleta vitu vya ajabu sana, ni kama hamna kitu humo kwa huyo Rais mpya wa Botswana, ila ndio hivyo raia wakishachoka huwa wanasema bora wapigie hata jiwe kura kuliko establishment.
View attachment 3147305
View attachment 3147306
Kulikuwa na tuhuma na kashfa nzitonzito kwa serikali, tuhuma ambazo ni very accurate na hazijatoka serikalini kuna watu wa nje wamehusika kuzisambaza.Mkuu Yoda mimi sizijui sana Politics za Botswana unaweza ukatuekezea kwa upana kuhusu huyu Raisi mteule?!
Demokrasia wakati mwingine huwa inaleta vitu vya ajabu sana, ni kama hamna kitu humo kwa huyo Rais mpya wa Botswana, ila ndio hivyo raia wakishachoka huwa wanasema bora wapigie hata jiwe kura kuliko establishment.
View attachment 3147305
View attachment 3147306
Punguza kimbelembele kwenye mambo usiyoyajua. a kwako yamekushinda umekimbilia Botswana. Shida ipo wapi kwa mke kumpigia magoti Mme wake Kama ishara ya heshima na tamaduni?.
Nani alikwambia kukeketa wanawake ni utamaduni wa hovyo? Wazungu wao ndio huwa wanapinga vyetu na tunawasikiliza. Walikataa dini zetu za asili tukakubali tukasema za hovyo tikafuata dini zao.Hata sisi hapa tulikuwa na tamaduni za kuketa watoto wa kike ili wasiwe na matamanio ya ngono, kuna tamaduni ni za hovyo na kutupiliwa mbali katika dustbin la historia.
Kitu F1 lady,😄Umekiona chombo lkn 😄🔥