Botswana ndio wamechagua huyu wakamuacha Progressive Masisi?! Majanga matupu

Botswana ndio wamechagua huyu wakamuacha Progressive Masisi?! Majanga matupu

Demokrasia wakati mwingine huwa inaleta vitu vya ajabu sana, ni kama hamna kitu humo kwa huyo Rais mpya wa Botswana, ila ndio hivyo raia wakishachoka huwa wanasema bora wapigie hata jiwe kura kuliko establishment.

View attachment 3147305
View attachment 3147306
Kwakweli bado tunasafari ndefu sana maana kila uchao bado tuna ngangana na kuwatisha watu ili mabadiliko yasifanyike duh!
 
Huu mfumo wa kisiasa tukio nao tumeshikishwa kwa nguvu, hata hatuuelewi.
Ukomuuliza hata Waziri wa Mambo ya Nje aitetee Sera ya Kutofungamana kwa ufasaha sidhani kama ataweza.
Ikiwa tu kama uwezo wa kuitetea falsasafa ya uongozi, je itawezekana vipi kutetea mwanamke kupiga magoti kwa mumewe + tamaduni za kawaida kabisa.
Ukiona Jamii inayoshangaa mtu kukubali kushindwa ktk uchaguzi ujue kuna tatizo lililojikita kwenye miamba ya akili.
 
Kwani huyo si mke wake? kuna shida gani mke kunyenyekea mbele ya mumewe?
 
Inaumiza sana watu kuwa walafi mpaka wanajisahau kwakweli, ikifika wakati wakutoka watoke tu.
Mimi ni mtumishi... Unaweza ukaona "ukali" katika michango mbalimbali ....Nimeishi katika Imani kubwa ...Nimeishi Islamic . Nimeishi Christianity....ambacho naamini ni kuwa ... Sisi sote ni viumbe... Wote...tumeumbwa naye.... Ili niwaulize vizuri wenzangu wa Imani tofauti ambayo nimeamua kuiishi... being Pagan....ilikuwaje Musa kutembeza muda wote kwenye maji ndani ya kile kilichombeba!? ..umbali wote ule mpaka kuokotwa na Binti mfalme!!. Nani ni Ni mama wa Musa . Na Binti mfalme aliyemuokota Musa anaitwa nani!??...nimekaa paleee nasubiri majibu....
 
Hivi kwani hatuwezi kutuma JW, waivamie na kurudisha utawala rafiki na CCM ?
 
Back
Top Bottom