UKISHA IPIGA CHINI CCM HALAFU UNAWAPA CHAMA GANI???? WENYE UCHUNGU NA TZDawa ni kuipiga chini CCM, miaka zaidi ya 60 kila siku ni porojo tu! Tuwape wengine nao wakizingua wapigwe chini! Ccm wamejipa hatikiliki ya nchi hii kwa hiyo wanafanya watakavyo! Ndio mana wanafunga watu kwa ajili ya kutetea katiba mpya!
Hasa huyu mtoto mwenye hizi lake oilHuu mtandao wa wahuni ulioasisiwa na jk ndio umeifikisha nchi kwenye huu umaskini na bado wanataka kuendelea kutuibia.
Nchi hii haiwezekani kupata maendeleo mpaka awa wahuni wote wafe.
Si lazima wafe. Wakae nje ya mfumo
AiseeHakuna wa kuwatoa,,, JPM alijaribu lakini bado alifeli
Yani inakuwaje nchi ina watu wanapanga kufika juu ili wapige pesa?Ukifikiria sana mambo ufisadi yanayofanyika nchi hii unaweza jikuta unapata kiharusi.
Labda kweli...ila itachukua muda sanahawa ndo watafiwa na ccm mikonon na wataish maisha magumu sana kisiasa
Ataibuka tu soon. Japo sio mtu wa muhimu sana ktk Boys II Men..Hivi Lau Marsha Mzee wa nombe aliyekatwa mkia na ndege kwareeee? Yuko wapi?
uroho tu wa madaraka ndio unaowasumbua....huwa napataga sana tabu nikiwafikiriaga huenda labda wenzangu mnaweza mkawa na jibu la kuniridhisha....hivi hao jamaa wakiachana na siasa za bongo wanahisi watakufa njaaa au kitu gan?Habari Wana JF,
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?
Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?
Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!
Je, Kuna uhusiano gani kati "Boys 2 Men", na "CCM INA WENYEWE"?
Naomba tuongee kama Taifa la watanzania. Je, nchi hii inamilikiwa?
Tafadhali sana, tuweke makundi ya kisiasa pembeni.
Binafsi nilimponda sana JK, nikamponda sana JPM, na Sasa najiuliza nianze kumponda na Samia? Au kuna tatizo sehemu Mimi sijajua? Nitaponda wangapi?
Nchi hii ni maskini sana. Je, "Boys 2 Men" ndio watakaoipeleka mbele nchi yetu?
Naomba kuwasilisha.
Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.
Kwann tupatutupa-vuta nikuvute na Mimi umetuacha au umesahauWafuatao siwafahamu ila ni watu ambao sina mashaka na kuipenda kwao Tanzania.
barafu , GENTAMYCINE , Tindo , britanicca , Salary Slip , My Son drink water , Mnyika ,
Kuna mtu ataibuka tu siku za usoni.....tena atotoka kulekule supreme leaders wa nchi yetu wanakotokeaga.....atakuja na utashangaa sanaHakuna wa kuwatoa,,, JPM alijaribu lakini bado alifeli
Dawa kunda LosPepes, wamalizwe 1 by 1.Huu mtandao wa wahuni ulioasisiwa na jk ndio umeifikisha nchi kwenye huu umaskini na bado wanataka kuendelea kutuibia.
Nchi hii haiwezekani kupata maendeleo mpaka awa wahuni wote wafe.
Bora boys 2 men kuliko Sukuma gang
Boys 2 men tuliishi vizuri watoto Shule za mana tulijenga tulinujua V8 kwa pesa zetu
VUTA-NKUVUTE napenda jinsi alivyoji position kama mwana CCM toka zamani, Hahaa, jamaa kichwaKwann tupatutupa-vuta nikuvute na Mimi umetuacha au umesahau
Mkuu fafanua kidogo hii mbinu?Dawa kunda LosPepes, wamalizwe 1 by 1.
Sasa hivi itachukua miaka tena kama 20 hivi...Kuna mtu ataibuka tu siku za usoni.....tena atotoka kulekule supreme leaders wa nchi yetu wanakotokeaga.....atakuja na utashangaa sana
Hili swali umeuliza la muhimu sana. Naongezea: Inakuwaje mtu awaze kuishi Kwa siasa tu, akimaliza yeye, anataka jamaa yake ashike, mtoto wa jamaa yake ashike, Mke wake ashike, Yani hivi bila mkondo wa kisiasa wao hawaishi? Je, hawaoni wanabana vipaji vingine kujitokeza kuongoza?!uroho tu wa madaraka ndio unaowasumbua....huwa napataga sana tabu nikiwafikiriaga huenda labda wenzangu mnaweza mkawa na jibu la kuniridhisha....hivi hao jamaa wakiachana na siasa za bongo wanahisi watakufa njaaa au kitu gan?
Angalia series ya Narcos au Google Los PepesMkuu fafanua kidogo hii mbinu?
Kuna mtu ataibuka tu siku za usoni.....tena atotoka kulekule supreme leaders wa nchi yetu wanakotokeaga.....atakuja na utashangaa sana