Boys to men ya 1995 wamerudi, tujipange

We mbwa watu wanaongea hoja za maana wewe unaleta mambo yako ya team mange na team zari the boss lady shanzy kabisa.
Hakuna hoja ya maana hapo. Ni ujinga tu uliotopea. Zaidi ni kilio cha kukosa fursa mlizozizoea. Mbona enzi za hao mnaowasema maisha yalikuwa fresh tu. Tena acha watamalaki kabisa ili nchi irudie uchumi wake wa hapo kabla.
 
Utaitwa Sukuma gang na wale mashabiki wa Msoga line
 
Ila Msukuma aliipandisha darasa la saba mpk basi,ss kuti kavu kutesa kwa zamu.
 
Wasiwasi wa nini?...usitengeneze hofu ya kufikirika.
 
Yupi bora anaye kula na watu wachache na wanaishi kifalme kweli kweli au anaye kula na watu wengi ambao wengi wana faidika na kinacho patikana.For me bora msoga kuliko Sukuma.
Hamna cha kula na watu wachache au wengi, ishu ni huduma za kijamii ziwepo available na watu wapate huduma bila matatizo sio kuendekeza wizi na uuzaji madawa ya kulevya unaoua vijana na nguvu kazi
 
Mekuja mbio nkidhani music wa enzi hizo kumbe sio

 
Ni bora kipindi chao ajira zilikuwa nyingi na hela ilikuwepo mtaani plus uhuru wa kujieleza tofauti na kipindi cha mwendazake
 
Tatzo hawa watu waizi wa kura masandukuni
 
Jipangeni ila mjue tutafumua kila mkataba afu tuone uzalendo uchwara 👇



 
Wanahangaika bure and nothing watafanya hapo hutawasikia wakikwambia umeme ni 27,000,bei za matibabu ya figo kushuka kwa 66%, serikali kujenga vituo vya afya 202 vs vyao 78,bei za Mazao kupaa vs kwao kuanguka,mikopo kwa watoto wote vyuo vikuu, serikali kujenga mashule vs wao michango,bajeti ya barabara Tarura,Tanroads kuongezeka vs yao kiduchu n.k n.k

Legacy ilikoma baada ya kufulia Dhalimu no way out watoe povu Chief Hangaya yupo hadi 3035.
 
Acheni kujaza watu hofu na ujinga!Kwa kipindi cha miaka 6 iliyopita Nchi hii imeongozwa kikatili na kishamba sana! Deni la Taifa likapanda astronomical huku tukidanganywa eti makusanyo ya ndani na hakuna kuhoji!
Waliokula mema ya Nchi hii walikuwa ni kina Paulo Makonda, Humphrey Polepole,Cyprian Musiba na vikundi vyao katili vya watu wasiojulikana! Leo kina Polepole wanalia kilio cha mbwa mwizi!
 
Kwanza Team Mwendazake hawawezi kuthubutu kufanya lolote maana wanajua tuna mafaili yao ya ile Til.1 ya Assad,Bil.600 za uviko 19,Mabilioni waliyochota alipokufa na kashfa kibao kwenye ndege,sgr na stiglaz..

Hizo ni baadhi tuu bado hujaguza Tanroads na Mayanga,bandari nk ..

Hawa wa humu ni wajinga tuu wasio na cheo chochote wale wanaitwa bendera fuata upepo ila wenyewe waliofaidi kamwe hawawezi nyanyua mdomo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…