Boys to men ya 1995 wamerudi, tujipange

Umeturudisha kwenye simanzi mwandishi wa Makala hii. Tunakoelekea bwawa la Mwalimu hati hati kuwekwa pembeni. Ati bandari ya Bwagamoyo tena. Ehhhhh jamani
 
Haya jamani kila zama na kitabu chake. Acha lizame
 

Shidah ya ulevi wa Konyagi Na msongo wa kutokuwa Na ajira huu! Tatzo umezoea misheni town ndo madhara haya, unashindwa kuona kesho ya Taifa lako ikoje! Magu hayupo tena achana nae
 
Akawapiga chini ila Kuna mambo mengi yaliendelea mpaka kifo chake mwaka 1999 hapo ndio lobbying ilifanyika wakaingia ulingoni na kuanza kumtishia Mkapa akaanza kubinafsisha kila kitu.
Kuna kipindi wikileaks walivujisha taarifa za Lowassa kuwa na mkono kwenye kifo cha Nyerere
 

 

Attachments

  • VID-20210927-WA0008.mp4
    2.1 MB
Mtatunga sana nadharia zenu mwaka huu!

Eti Magufuli alidhibiti Wizi? Wizi upi alizibiti?
Alupeleka wapi Trilion 1.5? Prof Assad alivyoibua hoja Alimfanyaje?

Watasema pia alikuwa mnyenyekevu na mchakato Mungu.

Hiiiiii bagosha!
 
Haya ni matatizo ya akili.

The fear of unknown.

Yaani unakaa unabuni vijineno neno vya kufikirika halafu unaanza kuogopa mwenyewe🤣
 
Kwani huyu Mungu hayaoni yote haya??? Kwanini anaacha watu wateseke ajili ya watu wachache.
Ona sasa hisia kali zimekuingia kwa nadharia tu.hata vitu vyinavyoandikwa na mtu kahisi tu yeye wewe umeshamwamini tayari.mifumo ya uchukuaji wa pesa serikalini sio rahisi kihivyo kama zamani mkuu.
 
We mbwa watu wanaongea hoja za maana wewe unaleta mambo yako ya team mange na team zari the boss lady shanzy kabisa.
Hoja gani za maana hizi mtu anaandika kwa hisia zake tu unasema hoja za maana
 
Shida zilizokuwapo kwa magufuli sio shida zilizopo kwa sasa,
Maneno ni mengi utekerezaji 0
Sida iko hapo wanasema pesa inataoka lakini kitaaa watu wanakoda tu.
N8 bora kuishi kwa kukwepana na risasi kisha ukipata muda unatafuna kuku n a nyama choma kuliko kuishi bila bughudha kisha kila unapoamka hujui unakoelekea na afya zinadhoofu,

huku kuna ka kikundi eti kanashangilia kila siku kanamwaga na bia na kuzitapika kwao zimewazidi.
 
Hayo ni Porojo yako.
 
Damu ya mwanadamu ni hatari sana, ukiidhulumu yatakukuta. Awamu ya 5 ilifanya mengi mazuri, lakini tatizo kubwa haikuthamini DAMU ya mwanadamu - Hili ni kosa kubwa linalotoa machozi mbele ya Mola wetu. Maendeleo yote unayoyafanya ni bure kama hutathamini utu wa mtu na DAMU YAKE.

Napata tabu kuchagua kati ya awamu ya 5 na awamu ya 4. Maovu ya awamu ya 4 yalikuwa bayana - UBADHILIFU WA PESA. Hivyo natakiwa nichague kati ya UBATHILIFU WA PESA against KUTOTHAMINI UTU WA MTU NA DAMU YAKE. Mmmmmm wacha tu!
 
SUKUMA GANG BHANA....MTATESEKA SANA...KIPINDI CHENU MLIKUWA MNAPIGA DEAL WACHACHE TENA KWA KILUGHA....SASA ACHA WENGI WAFAIDIKE...WACHA MAMA AENDELEE KUUPIGA MWINGI....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…